Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Timotheo 2
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Timotheo—Yaliyomo

      • Kusali kwa ajili ya watu wa namna zote (1-7)

        • Mungu mmoja, mpatanishi mmoja (5)

        • Fidia inayolingana kwa ajili ya wote (6)

      • Maagizo kwa wanaume na wanawake (8-15)

        • Kuvaa kwa kiasi (9, 10)

1 Timotheo 2:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wenye mamlaka.”

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Mt 5:44
  • +Yer 29:7

1 Timotheo 2:3

Marejeo

  • +Yud 25

1 Timotheo 2:4

Marejeo

  • +Isa 45:22; Mdo 17:30; Ro 5:18; 1Ti 4:10

1 Timotheo 2:5

Marejeo

  • +Kum 6:4; Ro 3:30
  • +Ebr 8:6; 9:15
  • +1Ko 11:25
  • +Mdo 4:12; Ro 5:15; 2Ti 1:9, 10

1 Timotheo 2:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “watu wa namna zote.”

Marejeo

  • +Mt 20:28; Mk 10:45; Kol 1:13, 14

1 Timotheo 2:7

Marejeo

  • +Mdo 9:15
  • +Gal 2:7, 8
  • +Gal 1:15, 16

1 Timotheo 2:8

Marejeo

  • +Zb 141:2
  • +Yak 1:20
  • +Flp 2:14

1 Timotheo 2:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “yenye kuheshimika.”

  • *

    Au “kufanya maamuzi mazuri; busara.”

Marejeo

  • +1Pe 3:3, 4

1 Timotheo 2:10

Marejeo

  • +Met 31:30

1 Timotheo 2:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kwa utulivu.”

Marejeo

  • +Efe 5:24

1 Timotheo 2:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “awe mtulivu.”

Marejeo

  • +1Ko 14:34

1 Timotheo 2:13

Marejeo

  • +Mwa 2:18, 22; 1Ko 11:8

1 Timotheo 2:14

Marejeo

  • +Mwa 3:6, 13

1 Timotheo 2:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wanaendelea.”

  • *

    Au “kufanya maamuzi mazuri; busara.”

Marejeo

  • +1Ti 5:14
  • +1Ti 2:9, 10

Jumla

1 Tim. 2:2Mt 5:44
1 Tim. 2:2Yer 29:7
1 Tim. 2:3Yud 25
1 Tim. 2:4Isa 45:22; Mdo 17:30; Ro 5:18; 1Ti 4:10
1 Tim. 2:5Kum 6:4; Ro 3:30
1 Tim. 2:5Ebr 8:6; 9:15
1 Tim. 2:51Ko 11:25
1 Tim. 2:5Mdo 4:12; Ro 5:15; 2Ti 1:9, 10
1 Tim. 2:6Mt 20:28; Mk 10:45; Kol 1:13, 14
1 Tim. 2:7Mdo 9:15
1 Tim. 2:7Gal 2:7, 8
1 Tim. 2:7Gal 1:15, 16
1 Tim. 2:8Zb 141:2
1 Tim. 2:8Yak 1:20
1 Tim. 2:8Flp 2:14
1 Tim. 2:91Pe 3:3, 4
1 Tim. 2:10Met 31:30
1 Tim. 2:11Efe 5:24
1 Tim. 2:121Ko 14:34
1 Tim. 2:13Mwa 2:18, 22; 1Ko 11:8
1 Tim. 2:14Mwa 3:6, 13
1 Tim. 2:151Ti 5:14
1 Tim. 2:151Ti 2:9, 10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
1 Timotheo 2:1-15

Barua ya Kwanza kwa Timotheo

2 Basi, kwanza kabisa, ninahimiza kwamba dua, shukrani, sala, na maombi yatolewe kwa ajili ya watu wa namna zote, 2 kutia ndani wafalme na wote wenye vyeo vya juu,*+ ili tuendelee kuishi kwa amani na utulivu na ujitoaji-kimungu* kamili na kuchukua mambo kwa uzito.+ 3 Jambo hilo ni zuri na linampendeza Mwokozi wetu, Mungu,+ 4 ambaye mapenzi yake ni kwamba watu wa namna zote waokolewe+ na kupata ujuzi sahihi wa kweli. 5 Kwa maana kuna Mungu mmoja,+ na mpatanishi mmoja+ kati ya Mungu na wanadamu,+ mwanadamu, Kristo Yesu,+ 6 aliyejitoa kuwa fidia inayolingana kwa ajili ya wote*+—hilo litatolewa ushahidi kwa wakati wake unaofaa. 7 Kwa ajili ya ushahidi huo+ niliwekwa rasmi niwe mhubiri na mtume+—ninasema ukweli, sisemi uwongo⁠—mwalimu wa mataifa+ kuhusu imani na kweli.

8 Basi ninatamani kwamba kila mahali wanaume waendelee kusali, wakiinua mikono yenye ushikamanifu,+ bila hasira+ wala mabishano.+ 9 Vivyo hivyo, wanawake wanapaswa kujipamba kwa mavazi yanayofaa,* kwa kiasi na utimamu wa akili,* si kwa mitindo ya kusuka nywele, dhahabu, lulu, au mavazi ya bei ghali sana,+ 10 bali kwa njia inayowafaa wanawake wanaokiri kwamba wanamtumikia Mungu,+ yaani, kupitia matendo mema.

11 Mwanamke na ajifunze akiwa kimya* na kwa ujitiisho kamili.+ 12 Simruhusu mwanamke afundishe wala kuwa na mamlaka juu ya mwanamume, bali akae kimya.*+ 13 Kwa maana Adamu aliumbwa kwanza, kisha Hawa.+ 14 Pia, Adamu hakudanganywa, bali mwanamke alidanganywa kabisa+ akawa mtenda dhambi. 15 Hata hivyo, atalindwa kupitia kuzaa watoto,+ maadamu anaendelea* kuwa na imani, upendo, utakatifu, na utimamu wa akili.*+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki