Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 14
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Waisraeli wataishi katika nchi yao (1, 2)

      • Dhihaka dhidi ya mfalme wa Babiloni (3-23)

        • Anayeng’aa ataanguka kutoka mbinguni (12)

      • Mkono wa Yehova utamponda Mwashuru (24-27)

      • Tangazo dhidi ya Ufilisti (28-32)

Isaya 14:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Atawapumzisha.”

Marejeo

  • +Law 26:42
  • +Zek 1:17
  • +Kum 30:1-3; Isa 66:20; Yer 24:6; Eze 36:24
  • +Isa 56:6, 7; 60:3; Zek 8:22, 23

Isaya 14:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wasimamizi wao wa kazi.”

Marejeo

  • +Isa 61:5; Zek 2:8, 9

Isaya 14:3

Marejeo

  • +Ezr 3:1; 9:8; Yer 30:10

Isaya 14:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “dhihaka.”

  • *

    Au “msimamizi wa kazi.”

Marejeo

  • +Yer 50:23

Isaya 14:5

Marejeo

  • +Zb 125:3

Isaya 14:6

Marejeo

  • +2Nya 36:17; Yer 50:17
  • +Hab 1:6; Zek 1:15

Isaya 14:7

Marejeo

  • +Zb 126:2; Isa 49:13; Yer 51:48; Ufu 18:20

Isaya 14:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

  • *

    Tnn., “Mbuzi dume wote wa dunia wanaokandamiza.”

Isaya 14:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Ufu 18:22

Isaya 14:12

Marejeo

  • +2Nya 36:17; Yer 51:7; Eze 29:19; Da 5:18, 19

Isaya 14:13

Marejeo

  • +Isa 47:7; Da 4:30
  • +Da 5:22, 23
  • +Zb 48:1, 2

Isaya 14:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

Isaya 14:16

Marejeo

  • +Yer 51:25

Isaya 14:17

Marejeo

  • +2Fa 25:21; Isa 64:10
  • +2Fa 24:12, 14; 25:11

Isaya 14:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nyumba yake.”

Isaya 14:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “tawi.”

Isaya 14:22

Marejeo

  • +Isa 43:14; Yer 50:25; 51:56
  • +Yer 51:62

Isaya 14:23

Marejeo

  • +Isa 13:1, 21; Yer 50:35, 39; Ufu 18:2

Isaya 14:25

Marejeo

  • +2Nya 32:21, 22; Isa 30:31; 31:8; 37:36, 37
  • +Isa 10:24

Isaya 14:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Hili ndilo shauri lililotolewa.”

  • *

    Au “ulio tayari kupiga.”

Isaya 14:27

Marejeo

  • +Zb 33:11; Met 19:21; 21:30; Isa 46:11
  • +2Nya 20:5, 6; Isa 43:13

Isaya 14:28

Marejeo

  • +2Fa 16:20; 2Nya 28:27

Isaya 14:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nyoka mwenye sumu anayerukaruka.”

Marejeo

  • +2Nya 26:3, 6
  • +2Fa 18:1, 8

Isaya 14:30

Marejeo

  • +Yer 47:1; Eze 25:16; Yoe 3:4; Amo 1:6-8; Sef 2:4; Zek 9:5

Isaya 14:32

Marejeo

  • +Zb 48:1-3; 87:1, 2; 132:13, 14

Jumla

Isa. 14:1Law 26:42
Isa. 14:1Zek 1:17
Isa. 14:1Kum 30:1-3; Isa 66:20; Yer 24:6; Eze 36:24
Isa. 14:1Isa 56:6, 7; 60:3; Zek 8:22, 23
Isa. 14:2Isa 61:5; Zek 2:8, 9
Isa. 14:3Ezr 3:1; 9:8; Yer 30:10
Isa. 14:4Yer 50:23
Isa. 14:5Zb 125:3
Isa. 14:62Nya 36:17; Yer 50:17
Isa. 14:6Hab 1:6; Zek 1:15
Isa. 14:7Zb 126:2; Isa 49:13; Yer 51:48; Ufu 18:20
Isa. 14:11Ufu 18:22
Isa. 14:122Nya 36:17; Yer 51:7; Eze 29:19; Da 5:18, 19
Isa. 14:13Isa 47:7; Da 4:30
Isa. 14:13Da 5:22, 23
Isa. 14:13Zb 48:1, 2
Isa. 14:16Yer 51:25
Isa. 14:172Fa 25:21; Isa 64:10
Isa. 14:172Fa 24:12, 14; 25:11
Isa. 14:22Isa 43:14; Yer 50:25; 51:56
Isa. 14:22Yer 51:62
Isa. 14:23Isa 13:1, 21; Yer 50:35, 39; Ufu 18:2
Isa. 14:252Nya 32:21, 22; Isa 30:31; 31:8; 37:36, 37
Isa. 14:25Isa 10:24
Isa. 14:27Zb 33:11; Met 19:21; 21:30; Isa 46:11
Isa. 14:272Nya 20:5, 6; Isa 43:13
Isa. 14:282Fa 16:20; 2Nya 28:27
Isa. 14:292Nya 26:3, 6
Isa. 14:292Fa 18:1, 8
Isa. 14:30Yer 47:1; Eze 25:16; Yoe 3:4; Amo 1:6-8; Sef 2:4; Zek 9:5
Isa. 14:32Zb 48:1-3; 87:1, 2; 132:13, 14
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 14:1-32

Isaya

14 Kwa maana Yehova atamwonyesha rehema Yakobo,+ naye atawachagua tena Waisraeli.+ Atawafanya waishi* katika nchi yao,+ na wakaaji wageni watajiunga nao na kushikamana na nyumba ya Yakobo.+ 2 Na watu watawachukua na kuwaleta mahali pao wenyewe, na nyumba ya Israeli itawamiliki katika nchi ya Yehova wakiwa watumishi wa kiume na wa kike;+ nao watawateka wale waliokuwa wamewateka, nao watawatiisha wale waliokuwa wakiwalazimisha kufanya kazi.*

3 Siku ambayo Yehova atakupumzisha kutokana na uchungu wako na kutokana na msukosuko wako na kutokana na utumwa mgumu uliowekwa chini yake,+ 4 utaisema methali* hii dhidi ya mfalme wa Babiloni:

“Jinsi yule anayewalazimisha wengine kufanya kazi* alivyofikia mwisho wake!

Jinsi ukandamizaji ulivyokwisha!+

 5 Yehova ameivunja fimbo ya waovu,

Gongo la watawala,+

 6 Yule anayewapiga watu kwa hasira kwa mapigo yasiyokoma,+

Yule anayeyatiisha mataifa kwa hasira kwa mateso yasiyoisha.+

 7 Dunia nzima imepumzika sasa, haina usumbufu.

Watu wanapaza sauti kwa shangwe.+

 8 Hata miberoshi inakushangilia,

Pamoja na mierezi ya Lebanoni.

Inasema, ‘Tangu ulipoanguka,

Hakuna mkataji wa miti anayekuja kutukata.’

 9 Hata Kaburi* chini limevurugika

Ili likupokee utakapoingia.

Kwa sababu yako, linawaamsha wale waliokufa ambao hawana uwezo,

Viongozi wote wa dunia wanaokandamiza.*

Linawafanya wafalme wote wa mataifa wasimame kutoka kwenye viti vyao vya ufalme.

10 Wote wanaanza kusema na kukuambia,

‘Je, wewe pia umedhoofika kama sisi?

Je, umekuwa kama sisi?

11 Kiburi chako kimeshushwa chini mpaka Kaburini,*

Sauti ya vinanda vyako.+

Funza wametandikwa chini yako kama kitanda,

Na blanketi lako ni minyoo.’

12 Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni,

Ewe unayeng’aa, mwana wa mapambazuko!

Jinsi ulivyokatwa ukaangushwa duniani,

Wewe uliyeyashinda mataifa!+

13 Ulisema moyoni mwako, ‘Nitapanda juu mbinguni.+

Nitakiinua kiti changu cha ufalme juu ya nyota za Mungu,+

Nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano,

Katika sehemu za mbali zaidi za kaskazini.+

14 Nitaenda juu ya mawingu;

Nitajifananisha na Aliye Juu Zaidi.’

15 Badala yake, utashushwa chini mpaka Kaburini,*

Katika sehemu zenye kina zaidi za shimo.

16 Wale wanaokuona watakukodolea macho;

Watakuchunguza kwa makini, wakisema,

‘Je, huyu ndiye yule mtu aliyekuwa akiitikisa dunia,

Aliyekuwa akizitetemesha falme,+

17 Aliyeifanya dunia inayokaliwa iwe kama nyika

Na kuyapindua majiji yake,+

Aliyekataa kuwaruhusu wafungwa wake waende nyumbani?’+

18 Wafalme wengine wote wa mataifa,

Naam, wote, wamelala chini katika utukufu,

Kila mmoja katika kaburi lake* mwenyewe.

19 Lakini wewe, umetupwa bila kaburi,

Kama chipukizi* lililochukiwa,

Ukiwa umevishwa watu waliouawa kwa kuchomwa upanga,

Wanaoshuka chini kwenye mawe ya shimoni,

Kama mzoga uliokanyagiwa chini kwa miguu.

20 Hutaungana nao kaburini,

Kwa maana uliiharibu nchi yako mwenyewe,

Uliwaua watu wako mwenyewe.

Uzao wa watenda maovu hautatajwa tena kamwe.

21 Tayarisheni ubao wa kuwachinjia wanawe

Kwa sababu ya hatia ya mababu zao,

Ili wasiinuke na kuimiliki dunia

Na kuyajaza majiji yao katika nchi.”

22 “Nitainuka dhidi yao,”+ asema Yehova wa majeshi.

“Nami nitafuta kabisa kutoka Babiloni jina na watu waliobaki na watoto na wazao,”+ asema Yehova.

23 “Nami nitamfanya kuwa makao ya nungunungu na eneo lenye umajimaji, nami nitamfagia kwa ufagio wa maangamizi,”+ asema Yehova wa majeshi.

24 Yehova wa majeshi ameapa hivi:

“Kama nilivyokusudia, ndivyo itakavyotukia,

Na kama nilivyoamua, ndivyo itakavyotimia.

25 Nitamponda Mwashuru katika nchi yangu

Nami nitamkanyaga-kanyaga kwenye milima yangu.+

Nira yake itaondolewa juu yao,

Na mzigo wake utaondolewa juu ya bega lao.”+

26 Hili ndilo jambo lililoamuliwa* dhidi ya dunia yote,

Na huu ndio mkono ulionyooshwa* dhidi ya mataifa yote.

27 Kwa maana Yehova wa majeshi ameamua,

Na ni nani anayeweza kulizuia?+

Mkono wake umenyooshwa,

Ni nani anayeweza kuurudisha nyuma?+

28 Katika mwaka ambao Mfalme Ahazi alikufa,+ tangazo hili lilitolewa:

29 “Usishangilie, ewe Ufilisti, yeyote kati yenu,

Kwa sababu tu gongo la yule anayewapiga limevunjwa.

Kwa maana kwenye mzizi wa nyoka+ atatoka nyoka mwenye sumu,+

Na uzao wake utakuwa nyoka wa moto arukaye.*

30 Huku wazaliwa wa kwanza wa watu wa hali ya chini wakila

Na maskini wakilala kwa usalama,

Nitauua mzizi wako kwa njaa kali,

Na kile kitakachobaki kwako kitauawa.+

31 Omboleza kwa sauti, ewe lango! Paza kilio, ewe jiji!

Ninyi nyote mtavunjika moyo, ewe Ufilisti!

Kwa maana moshi unakuja kutoka kaskazini,

Na hakuna wavivu katika vikosi vyake.”

32 Watawajibuje wajumbe wa taifa lile?

Kwamba Yehova ameuweka msingi wa Sayuni,+

Na kwamba watu wa hali ya chini kati ya watu wake watakimbilia ndani yake.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki