Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Wakolosai 3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Wakolosai—Yaliyomo

      • Utu wa zamani na utu mpya (1-17)

        • Viueni viungo vya mwili wenu (5)

        • Upendo, kifungo kikamilifu cha muungano (14)

      • Ushauri kwa familia za Kikristo (18-25)

Wakolosai 3:1

Marejeo

  • +Efe 2:6
  • +Zb 110:1; 1Pe 3:22

Wakolosai 3:2

Marejeo

  • +Flp 3:20; 4:8; 1Pe 1:13
  • +1Yo 2:15

Wakolosai 3:4

Marejeo

  • +Yoh 11:25
  • +1Ko 15:42, 43

Wakolosai 3:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Neno la Kigiriki porneiʹa. Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Mk 9:43; Gal 5:24
  • +1Ko 6:18; Efe 5:3

Wakolosai 3:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mlikuwa mkitembea.”

  • *

    Au “mlipokuwa mkiishi hivyo.”

Marejeo

  • +1Ko 6:9-11; Efe 2:3; Tit 3:3

Wakolosai 3:8

Marejeo

  • +1Pe 2:1
  • +Efe 4:31
  • +Efe 5:3, 4

Wakolosai 3:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Mvueni mtu.”

Marejeo

  • +Efe 4:25; Ufu 21:8
  • +Efe 4:22

Wakolosai 3:10

Marejeo

  • +Ro 12:2; Efe 4:24
  • +Mwa 1:26, 27; 1Pe 1:16

Wakolosai 3:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Neno “Msikithe” lilimaanisha mtu asiye mstaarabu.

Marejeo

  • +Gal 3:28

Wakolosai 3:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “unyenyekevu wa akili.”

Marejeo

  • +1Pe 2:9
  • +Flp 2:1, 2
  • +Ro 12:16
  • +Tit 3:2
  • +Efe 4:1, 2; 1Th 5:14

Wakolosai 3:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Met 19:11; Efe 4:32; 1Pe 4:8
  • +Mt 18:15
  • +Mt 6:14; Mk 11:25

Wakolosai 3:14

Marejeo

  • +1Yo 3:23
  • +1Ko 13:4-7

Wakolosai 3:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “idhibiti mioyo yenu.”

Marejeo

  • +Yoh 14:27; Flp 4:7

Wakolosai 3:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuonyana.”

  • *

    Au “neema.”

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +1Ko 14:26
  • +Efe 5:19

Wakolosai 3:17

Marejeo

  • +1Ko 10:31

Wakolosai 3:18

Marejeo

  • +Efe 5:22; 1Pe 3:1

Wakolosai 3:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “msiwe wakali kwao.”

Marejeo

  • +Efe 5:25; 1Pe 3:7
  • +Efe 4:31

Wakolosai 3:20

Marejeo

  • +Met 6:20; Lu 2:51; Efe 6:1

Wakolosai 3:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “msiwachokoze; msiwaudhi.”

  • *

    Au “wasife moyo.”

Marejeo

  • +Efe 6:4

Wakolosai 3:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kwa njia ya kimwili.”

  • *

    Tnn., “si kwa matendo ya utumishi wa macho, kama wanaowapendeza wanadamu.”

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Efe 6:5, 6; Tit 2:9; 1Pe 2:18

Wakolosai 3:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi, “Nafsi.”

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Lu 10:27; Ro 12:11

Wakolosai 3:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Efe 6:8; 1Pe 1:3, 4

Wakolosai 3:25

Marejeo

  • +Ro 2:6; Gal 6:7
  • +Ro 2:11; 1Pe 1:17

Jumla

Kol. 3:1Efe 2:6
Kol. 3:1Zb 110:1; 1Pe 3:22
Kol. 3:2Flp 3:20; 4:8; 1Pe 1:13
Kol. 3:21Yo 2:15
Kol. 3:4Yoh 11:25
Kol. 3:41Ko 15:42, 43
Kol. 3:5Mk 9:43; Gal 5:24
Kol. 3:51Ko 6:18; Efe 5:3
Kol. 3:71Ko 6:9-11; Efe 2:3; Tit 3:3
Kol. 3:81Pe 2:1
Kol. 3:8Efe 4:31
Kol. 3:8Efe 5:3, 4
Kol. 3:9Efe 4:25; Ufu 21:8
Kol. 3:9Efe 4:22
Kol. 3:10Ro 12:2; Efe 4:24
Kol. 3:10Mwa 1:26, 27; 1Pe 1:16
Kol. 3:11Gal 3:28
Kol. 3:121Pe 2:9
Kol. 3:12Flp 2:1, 2
Kol. 3:12Ro 12:16
Kol. 3:12Tit 3:2
Kol. 3:12Efe 4:1, 2; 1Th 5:14
Kol. 3:13Mt 6:14; Mk 11:25
Kol. 3:13Met 19:11; Efe 4:32; 1Pe 4:8
Kol. 3:13Mt 18:15
Kol. 3:141Yo 3:23
Kol. 3:141Ko 13:4-7
Kol. 3:15Yoh 14:27; Flp 4:7
Kol. 3:161Ko 14:26
Kol. 3:16Efe 5:19
Kol. 3:171Ko 10:31
Kol. 3:18Efe 5:22; 1Pe 3:1
Kol. 3:19Efe 5:25; 1Pe 3:7
Kol. 3:19Efe 4:31
Kol. 3:20Met 6:20; Lu 2:51; Efe 6:1
Kol. 3:21Efe 6:4
Kol. 3:22Efe 6:5, 6; Tit 2:9; 1Pe 2:18
Kol. 3:23Lu 10:27; Ro 12:11
Kol. 3:24Efe 6:8; 1Pe 1:3, 4
Kol. 3:25Ro 2:6; Gal 6:7
Kol. 3:25Ro 2:11; 1Pe 1:17
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Wakolosai 3:1-25

Barua kwa Wakolosai

3 Hata hivyo, ikiwa mlifufuliwa pamoja na Kristo,+ endeleeni kutafuta mambo yaliyo juu, ambako Kristo ameketi kwenye mkono wa kuume wa Mungu.+ 2 Endeleeni kukaza akili zenu kwenye mambo yaliyo juu,+ si kwenye mambo yaliyo duniani.+ 3 Kwa maana mlikufa, na uhai wenu umefichwa pamoja na Kristo katika muungano na Mungu. 4 Wakati Kristo, aliye uhai wetu,+ atakapofunuliwa, ndipo ninyi pia mtakapofunuliwa pamoja naye katika utukufu.+

5 Kwa hiyo, viueni viungo vya mwili wenu+ vilivyo duniani kuhusiana na uasherati,* uchafu, hamu isiyodhibitiwa ya ngono,+ tamaa yenye madhara, na pupa, ambayo ni ibada ya sanamu. 6 Kwa sababu ya mambo hayo ghadhabu ya Mungu inakuja. 7 Hivyo ndivyo pia ninyi mlikuwa mkijiendesha* katika maisha yenu ya zamani.*+ 8 Lakini sasa, kwa kweli, lazima myaondoe mambo haya yote kutoka kwenu: ghadhabu, hasira, ubaya,+ matusi,+ na maneno machafu+ kutoka kinywani mwenu. 9 Msiambiane uwongo.+ Uvueni utu* wa zamani+ pamoja na mazoea yake, 10 na mjivike utu mpya,+ ambao kupitia ujuzi sahihi unafanywa kuwa mpya kulingana na mfano wa Yule aliyeuumba,+ 11 ambapo hakuna Mgiriki wala Myahudi, kutahiriwa wala kutotahiriwa, mgeni, Msikithe,* mtumwa, au mtu huru; bali Kristo ni kila kitu na yumo katika vitu vyote.+

12 Basi, kama waliochaguliwa wa Mungu,+ watakatifu na wapendwa, jivikeni upendo mwororo wenye huruma,+ fadhili, unyenyekevu,*+ upole,+ na subira.+ 13 Endeleeni kuvumiliana na kusameheana kwa hiari+ hata ikiwa yeyote ana sababu ya kulalamika juu ya mwingine.+ Kama vile Yehova* alivyowasamehe kwa hiari, nanyi lazima mfanye vivyo hivyo.+ 14 Lakini zaidi ya mambo haya yote, jivikeni upendo,+ kwa maana huo ni kifungo kikamilifu cha muungano.+

15 Pia, acheni amani ya Kristo itawale mioyoni mwenu,*+ kwa maana ninyi, mliitwa kwenye amani hiyo katika mwili mmoja. Na mjionyeshe kuwa wenye shukrani. 16 Neno la Kristo na likae ndani yenu kwa wingi katika hekima yote. Endeleeni kufundishana na kutiana moyo* kwa zaburi,+ sifa kwa Mungu, nyimbo za kiroho zinazoimbwa kwa shukrani,* mkimwimbia Yehova* mioyoni mwenu.+ 17 Jambo lolote mnalofanya kwa maneno au kwa matendo, fanyeni mambo yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba kupitia kwake.+

18 Enyi wake, jitiisheni kwa waume zenu,+ kwa kuwa inafaa katika Bwana. 19 Enyi waume, endeleeni kuwapenda wake zenu+ nanyi msiwakasirikie kwa uchungu.*+ 20 Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika kila jambo,+ kwa maana hilo humpendeza Bwana. 21 Enyi akina baba, msiwe mkiwakasirisha* watoto wenu,+ ili wasivunjike moyo.* 22 Enyi watumwa, watiini katika kila jambo wale ambao ni mabwana wenu wanadamu,*+ si wakati tu wanapowatazama, ili tu kuwapendeza wanadamu,* bali kwa unyoofu wa moyo, kwa kumwogopa Yehova.* 23 Lolote mnalofanya, lifanyeni kwa nafsi* yote kama kwa Yehova,*+ na si kwa wanadamu, 24 kwa maana mnajua kwamba mtapokea kutoka kwa Yehova* urithi kama thawabu.+ Mtumikieni Bwana, Kristo. 25 Hakika yule anayetenda kosa atapokea malipo kwa lile kosa alilotenda,+ na hakuna ubaguzi wowote.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki