Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wathesalonike 4
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wathesalonike—Yaliyomo

      • Onyo dhidi ya uasherati (1-8)

      • Kupendana kikamili zaidi (9-12)

        • “Kushughulika na mambo yenu wenyewe” (11)

      • Waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza (13-18)

      • Kuja kwa siku ya Yehova (1-5)

1 Wathesalonike 4:1

Marejeo

  • +Kol 1:10; 1Pe 2:12

1 Wathesalonike 4:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “maagizo tuliyowapa.”

1 Wathesalonike 4:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Neno la Kigiriki, por·neiʹa. Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Yoh 17:19; Efe 5:25-27; 2Th 2:13; 1Pe 1:15, 16
  • +Efe 5:3

1 Wathesalonike 4:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “chombo chake.”

Marejeo

  • +Kol 3:5; 2Ti 2:22
  • +Ro 6:19

1 Wathesalonike 4:5

Marejeo

  • +1Ko 6:18; Efe 5:5
  • +Zb 79:6; Efe 4:17, 19; 1Pe 4:3

1 Wathesalonike 4:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

1 Wathesalonike 4:7

Marejeo

  • +Ebr 12:14; 1Pe 1:15, 16

1 Wathesalonike 4:8

Marejeo

  • +1Ko 6:18, 19
  • +1Yo 3:24

1 Wathesalonike 4:9

Marejeo

  • +Ro 12:10
  • +Yoh 13:34, 35; 1Pe 1:22; 1Yo 4:21

1 Wathesalonike 4:11

Marejeo

  • +2Th 3:11, 12
  • +1Pe 4:15
  • +1Ko 4:11, 12; Efe 4:28; 2Th 3:10; 1Ti 5:8

1 Wathesalonike 4:12

Marejeo

  • +Ro 12:17

1 Wathesalonike 4:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “msikose kujua.”

Marejeo

  • +Yoh 11:11; Mdo 7:59, 60; 1Ko 15:6
  • +1Ko 15:32

1 Wathesalonike 4:14

Marejeo

  • +Ro 14:9; 1Ko 15:3, 4
  • +1Ko 15:22, 23; Flp 3:20, 21; 2Th 2:1; Ufu 20:4

1 Wathesalonike 4:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

1 Wathesalonike 4:16

Marejeo

  • +Yud 9
  • +1Ko 15:51, 52

1 Wathesalonike 4:17

Marejeo

  • +Mdo 1:9
  • +2Th 2:1
  • +Yoh 14:3; 17:24; 2Ko 5:8; Flp 1:23; Ufu 20:6

Jumla

1 The. 4:1Kol 1:10; 1Pe 2:12
1 The. 4:3Yoh 17:19; Efe 5:25-27; 2Th 2:13; 1Pe 1:15, 16
1 The. 4:3Efe 5:3
1 The. 4:4Kol 3:5; 2Ti 2:22
1 The. 4:4Ro 6:19
1 The. 4:51Ko 6:18; Efe 5:5
1 The. 4:5Zb 79:6; Efe 4:17, 19; 1Pe 4:3
1 The. 4:7Ebr 12:14; 1Pe 1:15, 16
1 The. 4:81Ko 6:18, 19
1 The. 4:81Yo 3:24
1 The. 4:9Ro 12:10
1 The. 4:9Yoh 13:34, 35; 1Pe 1:22; 1Yo 4:21
1 The. 4:112Th 3:11, 12
1 The. 4:111Pe 4:15
1 The. 4:111Ko 4:11, 12; Efe 4:28; 2Th 3:10; 1Ti 5:8
1 The. 4:12Ro 12:17
1 The. 4:13Yoh 11:11; Mdo 7:59, 60; 1Ko 15:6
1 The. 4:131Ko 15:32
1 The. 4:14Ro 14:9; 1Ko 15:3, 4
1 The. 4:141Ko 15:22, 23; Flp 3:20, 21; 2Th 2:1; Ufu 20:4
1 The. 4:16Yud 9
1 The. 4:161Ko 15:51, 52
1 The. 4:17Mdo 1:9
1 The. 4:172Th 2:1
1 The. 4:17Yoh 14:3; 17:24; 2Ko 5:8; Flp 1:23; Ufu 20:6
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
1 Wathesalonike 4:1-18

Barua ya Kwanza kwa Wathesalonike

4 Mwishowe, akina ndugu, kama tulivyowaagiza jinsi mnavyopaswa kutembea ili kumpendeza Mungu,+ kama vile kwa kweli mnavyotembea, tunawaomba na kuwahimiza katika Bwana Yesu mwendelee kufanya hivyo kwa ukamili zaidi. 2 Kwa maana mnajua mwongozo tuliowapa* kupitia kwa Bwana Yesu.

3 Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu, kwamba mnapaswa kuwa watakatifu+ na mjiepushe na uasherati.*+ 4 Kila mmoja wenu anapaswa kujua jinsi ya kuudhibiti mwili wake* mwenyewe+ katika utakatifu+ na heshima, 5 si kwa hamu yenye pupa ya ngono+ kama ya watu wa mataifa wasiomjua Mungu.+ 6 Mtu yeyote hapaswi kuvuka mipaka inayofaa na kumdhulumu ndugu yake katika jambo hilo, kwa sababu Yehova* ndiye hutoa adhabu kwa mambo yote haya, kama tulivyowaambia mapema na pia kuwaonya kwa uthabiti. 7 Kwa maana Mungu hakutuita tuishi maisha ya uchafu, bali tuwe watakatifu.+ 8 Kwa hiyo, mtu anayepuuza jambo hili, hampuuzi mwanadamu, bali Mungu,+ anayewapa ninyi roho yake takatifu.+

9 Hata hivyo, kuhusu upendo wa kindugu,+ hatuhitaji kuwaandikia ninyi, kwa maana ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu kupendana.+ 10 Kwa kweli, mnawatendea hivyo ndugu zenu wote katika Makedonia. Hata hivyo, tunawahimiza, akina ndugu, endeleeni kufanya hivyo kwa ukamili zaidi. 11 Muwe na lengo la kuishi kwa utulivu+ na kushughulika na mambo yenu wenyewe+ na kufanya kazi kwa mikono yenu,+ kama tulivyowaagiza, 12 ili mtembee kwa adabu machoni pa watu walio nje+ na msipungukiwe chochote.

13 Zaidi ya hayo, akina ndugu, tunataka mwelewe* kuhusu wale wanaolala usingizi katika kifo,+ ili msihuzunike kama wanavyofanya watu wasio na tumaini.+ 14 Kwa maana ikiwa tunaamini kwamba Yesu alikufa na kufufuliwa,+ vivyo hivyo Mungu atawafufua wale ambao wamelala usingizi katika kifo kupitia Yesu.+ 15 Kwa maana tunawaambia hivi kwa neno la Yehova,* kwamba sisi tulio hai ambao tutabaki mpaka kuwapo kwa Bwana hatutawatangulia kwa vyovyote wale ambao wamelala usingizi katika kifo; 16 kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni akiwa na mwito wenye amri, kwa sauti ya malaika mkuu+ na tarumbeta ya Mungu, na wale waliokufa katika muungano na Kristo watafufuliwa kwanza.+ 17 Baadaye, sisi tulio hai ambao tumebaki, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu+ ili tukutane na Bwana+ hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana sikuzote.+ 18 Kwa hiyo endeleeni kufarijiana kwa maneno hayo.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki