Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 35
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Paradiso yarudishwa (1-7)

        • Vipofu wataona; viziwi watasikia (5)

      • Njia ya Utakatifu kwa ajili ya waliokombolewa (8-10)

Isaya 35:1

Marejeo

  • +Isa 29:17; 32:14, 15
  • +Isa 4:2; 27:6; 35:6; 51:3; Eze 36:35

Isaya 35:2

Marejeo

  • +Ho. 14:5, 6
  • +Isa 60:13
  • +Yer 50:19
  • +Isa 65:10

Isaya 35:3

Marejeo

  • +Ebr 12:12

Isaya 35:4

Marejeo

  • +Yer 51:56
  • +Isa 25:9; Sef 3:16, 17

Isaya 35:5

Marejeo

  • +Zb 146:8; Isa 42:16; Mt 9:28-30
  • +Isa 29:18; Yer 6:10; Mk 7:32-35; Lu 7:22

Isaya 35:6

Marejeo

  • +Mt 11:5; Mdo 8:7; 14:8-10
  • +Mt 15:30

Isaya 35:7

Marejeo

  • +Isa 44:3
  • +Yer 9:11

Isaya 35:8

Marejeo

  • +Ezr 1:3; Isa 11:16; 49:11; 62:10; Yer 31:21
  • +Isa 52:1

Isaya 35:9

Marejeo

  • +Isa 11:6, 7; 65:25; Eze 34:25; Ho. 2:18
  • +Zb 107:2, 3; Isa 62:12

Isaya 35:10

Marejeo

  • +Kum 30:4
  • +Isa 51:11; Yer 31:11, 12
  • +Yer 33:10, 11
  • +Isa 30:19; 65:19

Jumla

Isa. 35:1Isa 29:17; 32:14, 15
Isa. 35:1Isa 4:2; 27:6; 35:6; 51:3; Eze 36:35
Isa. 35:2Ho. 14:5, 6
Isa. 35:2Isa 60:13
Isa. 35:2Yer 50:19
Isa. 35:2Isa 65:10
Isa. 35:3Ebr 12:12
Isa. 35:4Yer 51:56
Isa. 35:4Isa 25:9; Sef 3:16, 17
Isa. 35:5Zb 146:8; Isa 42:16; Mt 9:28-30
Isa. 35:5Isa 29:18; Yer 6:10; Mk 7:32-35; Lu 7:22
Isa. 35:6Mt 11:5; Mdo 8:7; 14:8-10
Isa. 35:6Mt 15:30
Isa. 35:7Isa 44:3
Isa. 35:7Yer 9:11
Isa. 35:8Ezr 1:3; Isa 11:16; 49:11; 62:10; Yer 31:21
Isa. 35:8Isa 52:1
Isa. 35:9Isa 11:6, 7; 65:25; Eze 34:25; Ho. 2:18
Isa. 35:9Zb 107:2, 3; Isa 62:12
Isa. 35:10Kum 30:4
Isa. 35:10Isa 51:11; Yer 31:11, 12
Isa. 35:10Yer 33:10, 11
Isa. 35:10Isa 30:19; 65:19
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 35:1-10

Isaya

35 Nyika na nchi iliyokauka zitafurahi,+

Na jangwa tambarare litashangilia na kuchanua maua kama zafarani.+

 2 Hakika itachanua maua;+

Itashangilia na kupiga vigelegele vya shangwe.

Itapewa utukufu wa Lebanoni,+

Fahari ya Karmeli+ na ya Sharoni.+

Watauona utukufu wa Yehova, fahari ya Mungu wetu.

 3 Itieni nguvu mikono iliyo dhaifu,

Na myaimarishe magoti yanayotetemeka.+

 4 Waambieni wale wanaohangaika moyoni:

“Iweni na nguvu. Msiogope.

Tazameni! Mungu wenu atakuja na kisasi,

Mungu atakuja na malipo.+

Atakuja na kuwaokoa ninyi.”+

 5 Wakati huo macho ya vipofu yatafunguliwa,+

Na masikio ya viziwi yatazibuliwa.+

 6 Wakati huo kilema ataruka kama paa,+

Na ulimi wa bubu utapiga vigelegele vya shangwe.+

Kwa maana maji yatabubujika nyikani,

Na vijito katika jangwa tambarare.

 7 Na ardhi iliyokaushwa na joto itakuwa kama dimbwi lenye matete,

Na ardhi yenye kiu itakuwa kama mabubujiko ya maji.+

Katika makao ambamo mbwamwitu walipumzika,+

Kutakuwa na majani mabichi na matete na mafunjo.

 8 Na huko kutakuwa na barabara kuu,+

Naam, njia inayoitwa Njia ya Utakatifu.

Mtu asiye safi hatasafiri kwenye njia hiyo.+

Imetengwa kwa ajili ya yule anayetembea katika njia hiyo;

Hakuna mtu yeyote mpumbavu atakayepotea na kuingia katika njia hiyo.

 9 Hakuna simba atakayekuwa huko,

Na hakuna wanyama hatari wa mwituni watakaokuja kwenye njia hiyo.

Hawatapatikana huko;+

Wale waliokombolewa tu ndio watakaotembea katika njia hiyo.+

10 Wale waliokombolewa na Yehova watarudi+ na kuja Sayuni kwa kilio cha shangwe.+

Shangwe isiyo na kikomo itakuwa taji la vichwa vyao.+

Watapata shangwe na furaha,

Na huzuni na kilio cha uchungu vitatoweka.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki