Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 100
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Kumshukuru Muumba

        • “Mtumikieni Yehova kwa kushangilia” (2)

        • ‘Ni Mungu aliyetuumba’ (3)

Zaburi 100:1

Marejeo

  • +Zb 95:1, 2; 98:4

Zaburi 100:2

Marejeo

  • +Kum 12:12; Ne 8:10

Zaburi 100:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Tambueni.”

  • *

    Au labda, “hatukujiumba wenyewe.”

Marejeo

  • +Kum 6:4
  • +Zb 149:2
  • +Zb 95:6, 7; Eze 34:31; 1Pe 2:25

Zaburi 100:4

Marejeo

  • +Zb 50:23; 66:13; 122:1, 2
  • +Zb 65:4
  • +Zb 96:2; Ebr 13:15

Zaburi 100:5

Marejeo

  • +Zb 86:5; Lu 18:19
  • +Kut 34:6, 7; Kum 7:9; Zb 98:3

Jumla

Zab. 100:1Zb 95:1, 2; 98:4
Zab. 100:2Kum 12:12; Ne 8:10
Zab. 100:3Kum 6:4
Zab. 100:3Zb 149:2
Zab. 100:3Zb 95:6, 7; Eze 34:31; 1Pe 2:25
Zab. 100:4Zb 50:23; 66:13; 122:1, 2
Zab. 100:4Zb 65:4
Zab. 100:4Zb 96:2; Ebr 13:15
Zab. 100:5Zb 86:5; Lu 18:19
Zab. 100:5Kut 34:6, 7; Kum 7:9; Zb 98:3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 100:1-5

Zaburi

Muziki wa shukrani.

100 Mpazieni Yehova sauti ya ushindi, dunia yote.+

 2 Mtumikieni Yehova kwa kushangilia.+

Njooni mbele zake kwa kelele za shangwe.

 3 Jueni* kwamba Yehova ni Mungu.+

Yeye ndiye aliyetuumba, na sisi ni mali yake.*+

Sisi ni watu wake na kondoo wa malisho yake.+

 4 Ingieni katika malango yake kwa shukrani,+

Katika nyua zake kwa sifa.+

Mshukuruni yeye; lisifuni jina lake.+

 5 Kwa maana Yehova ni mwema;+

Upendo wake mshikamanifu unadumu milele,

Na uaminifu wake katika vizazi vyote.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki