Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 126
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Sayuni litarudishwa kwa shangwe

        • ‘Yehova ametenda mambo makuu’ (3)

        • Baada ya kutokwa na machozi, kutakuwa na shangwe (5, 6)

Zaburi 126:1

Marejeo

  • +Ezr 1:2, 3; Zb 85:1

Zaburi 126:2

Marejeo

  • +Ezr 3:11; Zb 106:47; Isa 49:13; Yer 31:12
  • +Yos 2:9, 10; Ne 6:15, 16

Zaburi 126:3

Marejeo

  • +Ezr 7:27, 28; Isa 11:11

Zaburi 126:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “makorongo ya kusini.”

Zaburi 126:6

Marejeo

  • +Zb 30:5; Isa 61:1-3
  • +Isa 9:3

Jumla

Zab. 126:1Ezr 1:2, 3; Zb 85:1
Zab. 126:2Ezr 3:11; Zb 106:47; Isa 49:13; Yer 31:12
Zab. 126:2Yos 2:9, 10; Ne 6:15, 16
Zab. 126:3Ezr 7:27, 28; Isa 11:11
Zab. 126:6Zb 30:5; Isa 61:1-3
Zab. 126:6Isa 9:3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 126:1-6

Zaburi

Wimbo wa Safari za Kupanda.

126 Yehova alipowakusanya na kuwarudisha mateka wa Sayuni,+

Tulifikiri tunaota ndoto.

 2 Wakati huo kinywa chetu kilijaa kicheko

Na ulimi wetu kelele za shangwe.+

Wakati huo ilisemwa miongoni mwa mataifa:

“Yehova amewatendea mambo makuu.”+

 3 Yehova ametutendea mambo makuu,+

Nasi tuna shangwe nyingi sana.

 4 Wakusanye na kuwarudisha watu wetu waliotekwa, Ee Yehova,

Kama vijito vya Negebu.*

 5 Wale wanaopanda mbegu kwa machozi

Watavuna kwa kelele za shangwe.

 6 Yule anayetoka kwenda nje, ingawa analia,

Akiwa amebeba mfuko wake uliojaa mbegu,

Kwa hakika atarudi kwa kelele za shangwe,+

Akiwa amebeba masuke yake.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki