Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wathesalonike 5
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wathesalonike 5:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Sef 1:14
  • +Mt 24:36; 2Pe 3:10

1 Wathesalonike 5:3

Marejeo

  • +Zb 37:10; Yer 8:11

1 Wathesalonike 5:5

Marejeo

  • +Yoh 12:36; Ro 13:12; Efe 5:8
  • +Yoh 8:12; Kol 1:13; 1Pe 2:9

1 Wathesalonike 5:6

Marejeo

  • +Ro 13:11
  • +Mt 24:42
  • +1Pe 5:8

1 Wathesalonike 5:7

Marejeo

  • +Ro 13:13

1 Wathesalonike 5:8

Marejeo

  • +Efe 6:14-17

1 Wathesalonike 5:9

Marejeo

  • +2Th 2:13

1 Wathesalonike 5:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “tumelala usingizi katika kifo.”

Marejeo

  • +Ro 5:8
  • +1Th 4:16, 17

1 Wathesalonike 5:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kufarijiana.”

Marejeo

  • +Ro 1:11, 12; 15:2

1 Wathesalonike 5:13

Marejeo

  • +Flp 2:29, 30; 1Ti 5:17; Ebr 13:7
  • +Mk 9:50; 2Ko 13:11

1 Wathesalonike 5:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mwakaripie.”

  • *

    Au “wale waliovunjika moyo.” Tnn., “wale walio na nafsi ndogo.”

Marejeo

  • +Law 19:17; 2Ti 4:2
  • +1Ko 13:4; Gal 5:22; Efe 4:1, 2; Kol 3:13

1 Wathesalonike 5:15

Marejeo

  • +Mt 5:39
  • +Ro 12:17, 19

1 Wathesalonike 5:16

Marejeo

  • +2Ko 6:4, 10; Flp 4:4

1 Wathesalonike 5:17

Marejeo

  • +Lu 18:1; Ro 12:12

1 Wathesalonike 5:18

Marejeo

  • +Efe 5:20; Kol 3:17

1 Wathesalonike 5:19

Marejeo

  • +Efe 4:30

1 Wathesalonike 5:20

Marejeo

  • +1Ko 14:1

1 Wathesalonike 5:21

Marejeo

  • +1Yo 4:1

1 Wathesalonike 5:22

Marejeo

  • +Ayu 2:3

1 Wathesalonike 5:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “uhai.” Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +1Ko 1:8

1 Wathesalonike 5:25

Marejeo

  • +Ro 15:30

1 Wathesalonike 5:27

Marejeo

  • +Kol 4:16

Jumla

1 The. 5:2Sef 1:14
1 The. 5:2Mt 24:36; 2Pe 3:10
1 The. 5:3Zb 37:10; Yer 8:11
1 The. 5:5Yoh 12:36; Ro 13:12; Efe 5:8
1 The. 5:5Yoh 8:12; Kol 1:13; 1Pe 2:9
1 The. 5:6Ro 13:11
1 The. 5:6Mt 24:42
1 The. 5:61Pe 5:8
1 The. 5:7Ro 13:13
1 The. 5:8Efe 6:14-17
1 The. 5:92Th 2:13
1 The. 5:10Ro 5:8
1 The. 5:101Th 4:16, 17
1 The. 5:11Ro 1:11, 12; 15:2
1 The. 5:13Flp 2:29, 30; 1Ti 5:17; Ebr 13:7
1 The. 5:13Mk 9:50; 2Ko 13:11
1 The. 5:14Law 19:17; 2Ti 4:2
1 The. 5:141Ko 13:4; Gal 5:22; Efe 4:1, 2; Kol 3:13
1 The. 5:15Mt 5:39
1 The. 5:15Ro 12:17, 19
1 The. 5:162Ko 6:4, 10; Flp 4:4
1 The. 5:17Lu 18:1; Ro 12:12
1 The. 5:18Efe 5:20; Kol 3:17
1 The. 5:19Efe 4:30
1 The. 5:201Ko 14:1
1 The. 5:211Yo 4:1
1 The. 5:22Ayu 2:3
1 The. 5:231Ko 1:8
1 The. 5:25Ro 15:30
1 The. 5:27Kol 4:16
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
1 Wathesalonike 5:1-28

Barua ya Kwanza kwa Wathesalonike

5 Sasa akina ndugu, hamhitaji kuandikiwa chochote kuhusu nyakati na majira. 2 Kwa maana ninyi wenyewe mnajua vema kwamba siku ya Yehova*+ inakuja kama vile mwizi anavyokuja usiku.+ 3 Wakati watakapokuwa wakisema: “Amani na usalama!” ndipo uharibifu wa ghafla utakapowapata mara moja,+ kama vile maumivu ya kuzaa ya mwanamke mwenye mimba, nao hawataponyoka kamwe. 4 Lakini ninyi, akina ndugu, hamko gizani, hivi kwamba siku hiyo iwafikie ghafla kama vile ingewafikia wezi, 5 kwa maana ninyi nyote ni wana wa nuru na wana wa mchana.+ Sisi si wa usiku wala wa giza.+

6 Basi, tusiendelee kulala usingizi kama wengine wanavyofanya,+ bali tukae macho+ na kutunza akili zetu.+ 7 Kwa maana wale wanaolala usingizi hulala usiku, na wale wanaolewa, hulewa usiku.+ 8 Lakini sisi tulio wa mchana, na tutunze akili zetu na kuvaa bamba la kifuani la imani na upendo na tumaini la wokovu kama kofia ya chuma+ 9 kwa sababu Mungu hakutuchagua ili tupatwe na hasira, bali tupate wokovu+ kupitia Bwana wetu Yesu Kristo. 10 Alikufa kwa ajili yetu,+ ili kama tuko macho au tumelala usingizi,* tuishi pamoja naye.+ 11 Kwa hiyo endeleeni kutiana moyo* na kujengana,+ kama vile kwa kweli mnavyofanya.

12 Sasa tunawaomba, akina ndugu, waheshimuni wale wanaofanya kazi kwa bidii miongoni mwenu na wanaowasimamia katika Bwana na kuwaonya ninyi; 13 na mwafikirie kwa njia inayozidi ile ya kawaida katika upendo kwa sababu ya kazi yao.+ Dumisheni amani miongoni mwenu.+ 14 Kwa upande mwingine, tunawahimiza akina ndugu, waonyeni* wale wasiofuata utaratibu,+ wafarijini wale walioshuka moyo,* wasaidieni walio dhaifu, iweni na subira kwa watu wote.+ 15 Hakikisheni hakuna yeyote anayelipa ubaya kwa ubaya,+ bali sikuzote mwendelee kutendeana mema kati yenu na kwa wengine wote.+

16 Shangilieni sikuzote.+ 17 Salini bila kuacha.+ 18 Toeni shukrani kuhusu kila jambo.+ Hayo ndiyo mapenzi ya Mungu kwa ajili yenu katika Kristo Yesu. 19 Msiuzime moto wa roho.+ 20 Msitendee unabii kwa dharau.+ 21 Hakikisheni mambo yote;+ shikamaneni na yaliyo mema. 22 Epukeni kila aina ya uovu.+

23 Mungu wa amani na awatakase kikamili. Na bila kasoro yoyote, roho na nafsi* na mwili wenu akina ndugu, na vihifadhiwe bila lawama wakati wa kuwapo kwa Bwana wetu Yesu Kristo.+ 24 Yule anayewaita ninyi ni mwaminifu, na kwa hakika atafanya hivyo.

25 Akina ndugu, endeleeni kusali kwa ajili yetu.+

26 Wasalimuni ndugu wote kwa busu takatifu.

27 Ninawaweka chini ya wajibu mzito kwa Bwana mhakikishe kwamba ndugu wote wanasomewa barua hii.+

28 Fadhili zisizostahiliwa za Bwana wetu Yesu Kristo ziwe pamoja nanyi.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki