Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Petro 3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Petro—Yaliyomo

      • Wadhihaki wapuuza uharibifu unaokuja (1-7)

      • Yehova hakawii (8-10)

      • Fikirieni mnapaswa kuwa watu wa aina gani (11-16)

        • Mbingu mpya na dunia mpya (13)

      • Jilindeni ili msipotoshwe (17, 18)

2 Petro 3:1

Marejeo

  • +Ro 15:15; 2Pe 1:13

2 Petro 3:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mambo yaliyotabiriwa.”

2 Petro 3:3

Marejeo

  • +Yud 17, 18

2 Petro 3:4

Marejeo

  • +Yer 17:15; Mt 24:48; Lu 12:45
  • +Eze 12:22, 27

2 Petro 3:5

Marejeo

  • +Mwa 1:6, 9

2 Petro 3:6

Marejeo

  • +Mwa 7:11, 23; Mt 24:38, 39

2 Petro 3:7

Marejeo

  • +Kum 7:10; 2Th 1:7-9

2 Petro 3:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Zb 90:4

2 Petro 3:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

  • *

    Au “wanavyoona kukawia.”

Marejeo

  • +Hab 2:3
  • +Ro 2:4

2 Petro 3:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

  • *

    Au “sauti ya kuvuma.”

Marejeo

  • +Yoe 2:31; Sef 1:14
  • +1Th 5:2
  • +Ufu 21:1
  • +Zb 37:10; Isa 13:9; Sef 1:18; Ufu 6:14

2 Petro 3:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

2 Petro 3:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kutamani sana.” Tnn., “kuharakisha.”

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Sef 1:14
  • +Isa 34:4

2 Petro 3:13

Marejeo

  • +Isa 65:17; 66:22; Ufu 21:1
  • +Isa 11:4, 5

2 Petro 3:14

Marejeo

  • +2Ko 13:11

2 Petro 3:15

Marejeo

  • +Ro 2:4

2 Petro 3:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ambao hawajafundishwa.”

2 Petro 3:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “thabiti.”

Marejeo

  • +Mt 24:24; Efe 4:14

Jumla

2 Pet. 3:1Ro 15:15; 2Pe 1:13
2 Pet. 3:3Yud 17, 18
2 Pet. 3:4Yer 17:15; Mt 24:48; Lu 12:45
2 Pet. 3:4Eze 12:22, 27
2 Pet. 3:5Mwa 1:6, 9
2 Pet. 3:6Mwa 7:11, 23; Mt 24:38, 39
2 Pet. 3:7Kum 7:10; 2Th 1:7-9
2 Pet. 3:8Zb 90:4
2 Pet. 3:9Hab 2:3
2 Pet. 3:9Ro 2:4
2 Pet. 3:10Yoe 2:31; Sef 1:14
2 Pet. 3:101Th 5:2
2 Pet. 3:10Ufu 21:1
2 Pet. 3:10Zb 37:10; Isa 13:9; Sef 1:18; Ufu 6:14
2 Pet. 3:12Sef 1:14
2 Pet. 3:12Isa 34:4
2 Pet. 3:13Isa 65:17; 66:22; Ufu 21:1
2 Pet. 3:13Isa 11:4, 5
2 Pet. 3:142Ko 13:11
2 Pet. 3:15Ro 2:4
2 Pet. 3:17Mt 24:24; Efe 4:14
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
2 Petro 3:1-18

Barua ya Pili ya Petro

3 Wapendwa, sasa hii ndiyo barua ya pili ninayowaandikia, ambayo kama katika barua yangu ya kwanza, ninachochea uwezo wenu wa kufikiri vizuri kwa kuwakumbusha,+ 2 ili mkumbuke maneno yaliyosemwa hapo mwanzoni* na manabii watakatifu na amri ya Bwana na Mwokozi kupitia mitume wenu. 3 Kwanza kabisa mjue kwamba katika siku za mwisho wadhihaki watakuja na dhihaka zao, wakitenda kulingana na tamaa zao wenyewe+ 4 na kusema: “Kuko wapi huko kuwapo kwake kulikoahidiwa?+ Kwani tangu siku mababu zetu walipolala usingizi katika kifo, mambo yote yanaendelea kama yalivyokuwa tangu mwanzo wa uumbaji.”+

5 Kwa maana, wanapuuza kimakusudi jambo hili, kwamba zamani za kale kulikuwa na mbingu na dunia iliyokuwa imesimama imara kutoka katika maji na katikati ya maji kwa neno la Mungu;+ 6 na kwamba kwa njia hizo ulimwengu wa wakati huo uliangamia kwa gharika ya maji.+ 7 Lakini kwa neno hilohilo, mbingu na dunia zilizopo sasa zimewekwa akiba kwa ajili ya moto na zinawekwa mpaka siku ya hukumu na ya kuangamizwa kwa watu wasiomwogopa Mungu.+

8 Hata hivyo, wapendwa, msikose kujua jambo hili, kwamba siku moja kwa Yehova* ni kama miaka elfu na miaka elfu ni kama siku moja.+ 9 Yehova* hakawii kuhusiana na ahadi yake,+ kama watu fulani wanavyodhani,* bali ni mwenye subira kwenu kwa sababu hataki yeyote aangamizwe bali hutaka wote wafikie toba.+ 10 Lakini siku ya Yehova*+ itakuja kama mwizi,+ siku ambayo mbingu zitapitilia mbali+ kwa mngurumo,* lakini vitu vyake vya msingi vikiwa moto sana vitayeyushwa, na dunia na kazi zilizo ndani yake zitafunuliwa.+

11 Kwa kuwa vitu hivyo vyote vitayeyushwa kwa njia hiyo, fikirieni mnapaswa kuwa watu wa aina gani katika matendo matakatifu ya mwenendo na vitendo vya ujitoaji-kimungu,* 12 huku mkisubiri na kuweka karibu akilini* kuwapo kwa siku ya Yehova,*+ siku ambayo mbingu zitateketezwa+ kwa moto na vitu vya msingi vitayeyuka kwa joto kali! 13 Lakini kulingana na ahadi yake tunangojea mbingu mpya na dunia mpya,+ na humo uadilifu utakaa.+

14 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa mnangojea mambo hayo, fanyeni yote mnayoweza ili mwishowe awapate mkiwa bila doa wala dosari na mkiwa katika amani.+ 15 Zaidi ya hayo, ioneni subira ya Bwana wetu kuwa wokovu, kama ndugu yetu mpendwa Paulo alivyowaandikia pia kulingana na hekima aliyopewa,+ 16 akizungumza kuhusu mambo hayo kama anavyofanya katika barua zake zote. Hata hivyo, ni vigumu kuyaelewa mambo fulani katika barua hizo, na watu wasio na ujuzi* na wasio imara wanayapotosha, kama wanavyoyafanya Maandiko mengine pia, kwa maangamizi yao wenyewe.

17 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa mmepata ujuzi huu mapema, jilindeni ili msipotoshwe pamoja nao kwa kosa la waasi sheria, na kuanguka kutoka kwenye msimamo wenu imara.*+ 18 Hapana, bali endeleeni kukua katika fadhili zisizostahiliwa na ujuzi kumhusu Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. Na awe na utukufu sasa na mpaka siku ya umilele. Amina.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki