Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Wakolosai 2
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Wakolosai—Yaliyomo

      • Siri takatifu ya Mungu, Kristo (1-5)

      • Jihadharini na wadanganyifu (6-15)

      • Uhalisi ni wa Kristo (16-23)

Wakolosai 2:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “hawajauona uso wangu katika mwili.”

Marejeo

  • +Kol 4:16

Wakolosai 2:2

Marejeo

  • +2Ko 1:6
  • +Kol 3:14
  • +1Ko 2:7; Efe 3:5, 6

Wakolosai 2:3

Marejeo

  • +1Ko 1:30; 2:16

Wakolosai 2:5

Marejeo

  • +1Ko 14:40
  • +1Ko 15:58; Ebr 3:14

Wakolosai 2:7

Marejeo

  • +Efe 2:20; 3:17
  • +Mt 7:24, 25
  • +Efe 5:20; 1Th 5:18

Wakolosai 2:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “asiwachukue kama mawindo yake.”

Marejeo

  • +Efe 5:6; Ebr 13:9

Wakolosai 2:9

Marejeo

  • +Kol 1:19

Wakolosai 2:10

Marejeo

  • +Efe 1:20, 21; 1Pe 3:22

Wakolosai 2:11

Marejeo

  • +Ro 6:6
  • +Ro 2:29; Flp 3:3

Wakolosai 2:12

Marejeo

  • +Ro 6:4
  • +Efe 2:6; Kol 3:1
  • +Mdo 2:24; Efe 1:19, 20

Wakolosai 2:13

Marejeo

  • +Efe 2:1, 5
  • +Mdo 2:38

Wakolosai 2:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuiondoa.”

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Kut 34:27; Kum 31:24-26; Ebr 7:18
  • +Efe 2:14, 15
  • +Ro 7:10; Gal 3:10
  • +Gal 3:13; Ebr 9:15; 1Pe 2:24

Wakolosai 2:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “kupitia yeye.”

Marejeo

  • +1Yo 5:4; Ufu 3:21

Wakolosai 2:16

Marejeo

  • +Ro 14:3, 17
  • +Zb 81:3
  • +Ro 14:6

Wakolosai 2:17

Marejeo

  • +Ebr 8:5; 10:1
  • +Yoh 14:6; Ebr 9:11, 12

Wakolosai 2:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Yamenukuliwa kutoka kwenye desturi za mafumbo (jando) ya kipagani.

Marejeo

  • +Flp 3:14

Wakolosai 2:19

Marejeo

  • +Efe 1:22, 23
  • +Efe 2:21; 4:16

Wakolosai 2:20

Marejeo

  • +Gal 4:3; Kol 2:8
  • +Efe 2:15; Kol 2:14

Wakolosai 2:22

Marejeo

  • +Mt 15:9

Wakolosai 2:23

Marejeo

  • +1Ti 4:3

Jumla

Kol. 2:1Kol 4:16
Kol. 2:22Ko 1:6
Kol. 2:2Kol 3:14
Kol. 2:21Ko 2:7; Efe 3:5, 6
Kol. 2:31Ko 1:30; 2:16
Kol. 2:51Ko 14:40
Kol. 2:51Ko 15:58; Ebr 3:14
Kol. 2:7Efe 2:20; 3:17
Kol. 2:7Mt 7:24, 25
Kol. 2:7Efe 5:20; 1Th 5:18
Kol. 2:8Efe 5:6; Ebr 13:9
Kol. 2:9Kol 1:19
Kol. 2:10Efe 1:20, 21; 1Pe 3:22
Kol. 2:11Ro 6:6
Kol. 2:11Ro 2:29; Flp 3:3
Kol. 2:12Ro 6:4
Kol. 2:12Efe 2:6; Kol 3:1
Kol. 2:12Mdo 2:24; Efe 1:19, 20
Kol. 2:13Efe 2:1, 5
Kol. 2:13Mdo 2:38
Kol. 2:14Kut 34:27; Kum 31:24-26; Ebr 7:18
Kol. 2:14Efe 2:14, 15
Kol. 2:14Ro 7:10; Gal 3:10
Kol. 2:14Gal 3:13; Ebr 9:15; 1Pe 2:24
Kol. 2:151Yo 5:4; Ufu 3:21
Kol. 2:16Ro 14:3, 17
Kol. 2:16Zb 81:3
Kol. 2:16Ro 14:6
Kol. 2:17Ebr 8:5; 10:1
Kol. 2:17Yoh 14:6; Ebr 9:11, 12
Kol. 2:18Flp 3:14
Kol. 2:19Efe 1:22, 23
Kol. 2:19Efe 2:21; 4:16
Kol. 2:20Gal 4:3; Kol 2:8
Kol. 2:20Efe 2:15; Kol 2:14
Kol. 2:22Mt 15:9
Kol. 2:231Ti 4:3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Wakolosai 2:1-23

Barua kwa Wakolosai

2 Kwa maana ninataka mjue jinsi ninavyopambana sana kwa ajili yenu na kwa ajili ya wale walio huko Laodikia+ na kwa ajili ya wote ambao hawajaniona mimi binafsi.* 2 Ninafanya hivyo ili mioyo yao ifarijiwe+ na ili waunganishwe kwa upatano katika upendo+ na wawe na utajiri wote unaotokana na uhakikisho kamili wa uelewaji wao, ili wapate ujuzi sahihi wa siri takatifu ya Mungu, yaani, Kristo.+ 3 Hazina zote za hekima na za ujuzi zimefichwa kwa uangalifu ndani yake.+ 4 Ninasema hivyo ili mtu yeyote asiwadanganye kwa hoja zenye kushawishi. 5 Ingawa sipo katika mwili, nipo pamoja nanyi katika roho, nikishangilia kuona utaratibu wenu mzuri+ na uthabiti wa imani yenu katika Kristo.+

6 Kwa hiyo, kama vile ambavyo mmempokea Kristo Yesu aliye Bwana, endeleeni kutembea katika muungano naye, 7 mkiwa mmetia mizizi na kujengwa katika yeye+ na kuimarishwa katika imani,+ kama vile mlivyofundishwa, mkijawa kabisa na shukrani.+

8 Jihadharini ili mtu yeyote asiwachukue mateka* kupitia falsafa na udanganyifu+ mtupu kulingana na mapokeo ya wanadamu, kulingana na mambo ya msingi ya ulimwengu na si kulingana na Kristo; 9 kwa sababu ndani yake ujazo wote wa sifa ya Mungu hukaa kimwili.+ 10 Basi mmepata ujazo kupitia kwake, yule aliye kichwa cha serikali na mamlaka yote.+ 11 Kwa uhusiano wenu pamoja naye, ninyi pia mlitahiriwa kwa tohara iliyofanywa bila mikono kwa kuuvua mwili wenye nyama,+ kwa tohara ambayo ni ya Kristo.+ 12 Kwa maana mlizikwa pamoja naye katika ubatizo wake,+ na kwa uhusiano wenu pamoja naye mlifufuliwa+ pia pamoja kupitia imani yenu katika matendo yenye nguvu ya Mungu, aliyemfufua Kristo kutoka kwa wafu.+

13 Zaidi ya hilo, ingawa mlikuwa wafu katika makosa yenu na katika hali ya kutotahiriwa ya mwili wenu, Mungu aliwafanya muwe hai pamoja naye.+ Alitusamehe kwa fadhili makosa yetu yote+ 14 na kuifuta* hati iliyoandikwa kwa mkono+ ambayo ilikuwa na amri+ na iliyokuwa ikitupinga.+ Ameiondoa njiani kwa kuipigilia misumari kwenye mti wa mateso.*+ 15 Na kupitia mti huo,* amezivua na kuziacha uchi serikali na mamlaka naye amezionyesha hadharani kwamba zimeshindwa,+ akiziongoza katika maandamano ya ushindi.

16 Kwa hiyo, msimruhusu mtu yeyote awahukumu kuhusu mnachokula na kunywa+ au kuhusu kushika sherehe au mwezi mpya+ au sabato.+ 17 Mambo hayo ni kivuli cha mambo yanayokuja,+ bali uhalisi ni wa Kristo.+ 18 Msimruhusu mtu yeyote anayependezwa na unyenyekevu wa uwongo na namna ya ibada ya malaika awanyang’anye tuzo,+ “akichukua msimamo juu ya”* mambo ambayo ameona. Kwa kweli, anajivuna bila sababu inayofaa kwa akili yake ya kimwili, 19 naye hashiki imara kichwa,+ yeye ambaye kupitia kwake mwili wote huandaliwa na kuunganishwa kwa upatano kupitia viungo na kano zake, na kufanywa ukue kwa ukuzi unaotoka kwa Mungu.+

20 Ikiwa mlikufa pamoja na Kristo kuhusiana na mambo ya msingi ya ulimwengu,+ kwa nini mnaishi kana kwamba bado ninyi ni sehemu ya ulimwengu kwa kuendelea kujitiisha chini ya amri hizi:+ 21 “Usishike, wala usionje, wala usiguse,” 22 kuhusiana na mambo yote ambayo huangamia pamoja na matumizi yake, kulingana na amri na mafundisho ya wanadamu?+ 23 Ingawa mambo hayo huonekana kana kwamba yana hekima katika ibada ya kujitungia wenyewe na unyenyekevu wa uwongo, na kuutendea mwili kwa ukali,+ hayana thamani yoyote katika kuzuia kuutosheleza mwili.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki