Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 14
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Marko—Yaliyomo

      • Makuhani wapanga njama ya kumuua Yesu (1, 2)

      • Yesu amiminiwa mafuta yenye marashi (3-9)

      • Yuda amsaliti Yesu (10, 11)

      • Pasaka ya mwisho (12-21)

      • Mlo wa Jioni wa Bwana waanzishwa (22-26)

      • Yesu atabiri kwamba Petro atamkana (27-31)

      • Yesu asali akiwa Gethsemane (32-42)

      • Yesu akamatwa (43-52)

      • Kesi mbele ya Sanhedrini (53-65)

      • Petro amkana Yesu (66-72)

Marko 14:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kwa ujanja.”

Marejeo

  • +Yoh 13:1
  • +Kut 12:3, 6; Law 23:5
  • +Law 23:6
  • +Mt 26:2-5; Lu 22:1, 2

Marko 14:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “akiwa ameketi mezani.”

Marejeo

  • +Mt 26:6-9; Yoh 12:2-5

Marko 14:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza B14.

  • *

    Au “wakamkemea.”

Marko 14:6

Marejeo

  • +Mt 26:10; Yoh 12:7

Marko 14:7

Marejeo

  • +Kum 15:11
  • +Mt 26:11; Yoh 12:8

Marko 14:8

Marejeo

  • +Mt 26:12; Yoh 12:7

Marko 14:9

Marejeo

  • +Mt 24:14
  • +Mt 26:13

Marko 14:10

Marejeo

  • +Mt 26:14-16; Lu 22:3-6

Marko 14:11

Marejeo

  • +Zek 11:12

Marko 14:12

Marejeo

  • +Kut 12:15, 18; 23:15
  • +Lu 22:1, 7
  • +Hes 9:2; Mt 26:17-19

Marko 14:13

Marejeo

  • +Lu 22:10-13

Marko 14:17

Marejeo

  • +Mt 26:20; Lu 22:14

Marko 14:18

Marejeo

  • +Zb 41:9; Mt 26:21, 22; Lu 22:21, 23; Yoh 13:21, 22

Marko 14:20

Marejeo

  • +Mt 26:23

Marko 14:21

Marejeo

  • +Lu 22:22
  • +Mt 26:24

Marko 14:22

Marejeo

  • +Mt 26:26; Lu 22:19; 1Ko 11:23, 24

Marko 14:23

Marejeo

  • +Mt 26:27; 1Ko 10:16; 11:25

Marko 14:24

Marejeo

  • +Kut 24:8; Law 17:11; Ebr 9:22
  • +Yer 31:31; Ebr 7:22; 9:15
  • +Isa 53:12; Mt 26:28; Lu 22:20

Marko 14:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “zaburi.”

Marejeo

  • +Mt 26:30; Lu 22:39; Yoh 18:1

Marko 14:27

Marejeo

  • +Isa 53:5; Da 9:26
  • +Zek 13:7; Mt 26:31-33, 56; Mk 14:50; Yoh 16:32

Marko 14:28

Marejeo

  • +Mk 16:7

Marko 14:29

Marejeo

  • +Lu 22:31-33; Yoh 13:37

Marko 14:30

Marejeo

  • +Mt 26:34; Lu 22:34; Yoh 13:38

Marko 14:31

Marejeo

  • +Mt 26:35

Marko 14:32

Marejeo

  • +Mt 26:36, 37; Lu 22:39-41; Yoh 18:1

Marko 14:33

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuhisi mshtuko.”

Marejeo

  • +Mk 9:2

Marko 14:34

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nafsi yangu imehuzunika.”

Marejeo

  • +Yoh 12:27
  • +Mt 26:38

Marko 14:36

Maelezo ya Chini

  • *

    Neno la Kiebrania au Kiaramu linalomaanisha “Ee Baba!”

Marejeo

  • +Ro 8:15; Gal 4:6
  • +Mt 26:39; Lu 22:42; Yoh 6:38; Ebr 5:7

Marko 14:37

Marejeo

  • +Mt 26:40; Lu 22:45

Marko 14:38

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “inapenda.”

Marejeo

  • +Mt 6:13; Lu 11:4; 22:46
  • +Mt 26:41; Ro 7:23

Marko 14:39

Marejeo

  • +Mt 26:42-46

Marko 14:41

Marejeo

  • +Yoh 13:1

Marko 14:42

Marejeo

  • +Yoh 18:2

Marko 14:43

Marejeo

  • +Mt 26:47-51; Lu 22:47-51; Yoh 18:3

Marko 14:47

Marejeo

  • +Mt 26:51; Lu 22:50; Yoh 18:10

Marko 14:48

Marejeo

  • +Mt 26:55, 56; Lu 22:52, 53

Marko 14:49

Marejeo

  • +Lu 19:47; Yoh 18:20
  • +Zb 22:6; Isa 53:7; Da 9:26; Lu 22:37

Marko 14:50

Marejeo

  • +Zek 13:7; Mt 26:31; Yoh 16:32

Marko 14:52

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “akiwa amevaa mavazi machache; akiwa na vazi la ndani tu.”

Marko 14:53

Marejeo

  • +Yoh 18:13
  • +Mt 26:57; Lu 22:54, 55

Marko 14:54

Marejeo

  • +Mt 26:58; Yoh 18:15

Marko 14:55

Marejeo

  • +Mt 26:59, 60

Marko 14:56

Marejeo

  • +Zb 35:11

Marko 14:58

Marejeo

  • +Mt 26:61; Mk 15:29; Yoh 2:19

Marko 14:60

Marejeo

  • +Mt 26:62, 63

Marko 14:61

Marejeo

  • +Isa 53:7; 1Pe 2:23

Marko 14:62

Marejeo

  • +Da 7:13
  • +Zb 110:1; Efe 1:20; Kol 3:1
  • +Mt 24:30; 26:64; Lu 21:27; Ufu 1:7

Marko 14:63

Marejeo

  • +Mt 26:65, 66

Marko 14:64

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Mnaonaje?”

Marejeo

  • +Law 24:16; Yoh 19:7

Marko 14:65

Marejeo

  • +Isa 50:6; 53:3; Mt 26:67, 68
  • +Lu 22:63-65

Marko 14:66

Marejeo

  • +Mt 26:69-75; Lu 22:55-62; Yoh 18:25, 26

Marko 14:68

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “sebuleni.”

Marko 14:72

Marejeo

  • +Yoh 18:27
  • +Mt 26:34; Mk 14:30; Lu 22:34; Yoh 13:38

Jumla

Marko 14:1Yoh 13:1
Marko 14:1Kut 12:3, 6; Law 23:5
Marko 14:1Law 23:6
Marko 14:1Mt 26:2-5; Lu 22:1, 2
Marko 14:3Mt 26:6-9; Yoh 12:2-5
Marko 14:6Mt 26:10; Yoh 12:7
Marko 14:7Kum 15:11
Marko 14:7Mt 26:11; Yoh 12:8
Marko 14:8Mt 26:12; Yoh 12:7
Marko 14:9Mt 24:14
Marko 14:9Mt 26:13
Marko 14:10Mt 26:14-16; Lu 22:3-6
Marko 14:11Zek 11:12
Marko 14:12Kut 12:15, 18; 23:15
Marko 14:12Lu 22:1, 7
Marko 14:12Hes 9:2; Mt 26:17-19
Marko 14:13Lu 22:10-13
Marko 14:17Mt 26:20; Lu 22:14
Marko 14:18Zb 41:9; Mt 26:21, 22; Lu 22:21, 23; Yoh 13:21, 22
Marko 14:20Mt 26:23
Marko 14:21Lu 22:22
Marko 14:21Mt 26:24
Marko 14:22Mt 26:26; Lu 22:19; 1Ko 11:23, 24
Marko 14:23Mt 26:27; 1Ko 10:16; 11:25
Marko 14:24Kut 24:8; Law 17:11; Ebr 9:22
Marko 14:24Yer 31:31; Ebr 7:22; 9:15
Marko 14:24Isa 53:12; Mt 26:28; Lu 22:20
Marko 14:26Mt 26:30; Lu 22:39; Yoh 18:1
Marko 14:27Isa 53:5; Da 9:26
Marko 14:27Zek 13:7; Mt 26:31-33, 56; Mk 14:50; Yoh 16:32
Marko 14:28Mk 16:7
Marko 14:29Lu 22:31-33; Yoh 13:37
Marko 14:30Mt 26:34; Lu 22:34; Yoh 13:38
Marko 14:31Mt 26:35
Marko 14:32Mt 26:36, 37; Lu 22:39-41; Yoh 18:1
Marko 14:33Mk 9:2
Marko 14:34Yoh 12:27
Marko 14:34Mt 26:38
Marko 14:36Ro 8:15; Gal 4:6
Marko 14:36Mt 26:39; Lu 22:42; Yoh 6:38; Ebr 5:7
Marko 14:37Mt 26:40; Lu 22:45
Marko 14:38Mt 6:13; Lu 11:4; 22:46
Marko 14:38Mt 26:41; Ro 7:23
Marko 14:39Mt 26:42-46
Marko 14:41Yoh 13:1
Marko 14:42Yoh 18:2
Marko 14:43Mt 26:47-51; Lu 22:47-51; Yoh 18:3
Marko 14:47Mt 26:51; Lu 22:50; Yoh 18:10
Marko 14:48Mt 26:55, 56; Lu 22:52, 53
Marko 14:49Lu 19:47; Yoh 18:20
Marko 14:49Zb 22:6; Isa 53:7; Da 9:26; Lu 22:37
Marko 14:50Zek 13:7; Mt 26:31; Yoh 16:32
Marko 14:53Yoh 18:13
Marko 14:53Mt 26:57; Lu 22:54, 55
Marko 14:54Mt 26:58; Yoh 18:15
Marko 14:55Mt 26:59, 60
Marko 14:56Zb 35:11
Marko 14:58Mt 26:61; Mk 15:29; Yoh 2:19
Marko 14:60Mt 26:62, 63
Marko 14:61Isa 53:7; 1Pe 2:23
Marko 14:62Da 7:13
Marko 14:62Zb 110:1; Efe 1:20; Kol 3:1
Marko 14:62Mt 24:30; 26:64; Lu 21:27; Ufu 1:7
Marko 14:63Mt 26:65, 66
Marko 14:64Law 24:16; Yoh 19:7
Marko 14:65Isa 50:6; 53:3; Mt 26:67, 68
Marko 14:65Lu 22:63-65
Marko 14:66Mt 26:69-75; Lu 22:55-62; Yoh 18:25, 26
Marko 14:72Yoh 18:27
Marko 14:72Mt 26:34; Mk 14:30; Lu 22:34; Yoh 13:38
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
  • 54
  • 55
  • 56
  • 57
  • 58
  • 59
  • 60
  • 61
  • 62
  • 63
  • 64
  • 65
  • 66
  • 67
  • 68
  • 69
  • 70
  • 71
  • 72
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Marko 14:1-72

Kulingana na Marko

14 Sasa ilikuwa siku mbili kabla+ ya Pasaka+ na Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu.+ Nao wakuu wa makuhani na waandishi walikuwa wakitafuta njia ya kumkamata Yesu kwa hila* na kumuua;+ 2 kwa maana walikuwa wakisema: “Si kwenye sherehe; huenda watu wakafanya ghasia.”

3 Alipokuwa Bethania akila* katika nyumba ya Simoni mwenye ukoma, mwanamke fulani akaja na chupa ya alabasta iliyokuwa na mafuta yenye marashi, nardo halisi, ghali sana. Akaifungua na kuanza kuyamimina juu ya kichwa cha Yesu.+ 4 Ndipo baadhi yao wakakasirika na kuambiana: “Kwa nini mafuta haya ya marashi yapotezwe bure? 5 Kwa maana mafuta haya yangeuzwa kwa zaidi ya dinari* 300 na maskini wapewe pesa hizo!” Nao wakamkasirikia* sana mwanamke huyo. 6 Lakini Yesu akawaambia: “Mwacheni. Kwa nini mnataka kumsumbua? Amenitendea jambo jema.+ 7 Kwa maana maskini mnao sikuzote,+ na mnaweza kuwasaidia wakati wowote mnaotaka, lakini mimi hamtakuwa nami sikuzote.+ 8 Amefanya alichoweza; ameupaka mwili wangu mafuta yenye marashi ili kuutayarisha kwa ajili ya mazishi.+ 9 Kwa kweli ninawaambia, popote ambapo habari njema itahubiriwa ulimwenguni,+ jambo alilofanya mwanamke huyu litatajwa ili kumkumbuka.”+

10 Yuda Iskariote, mmoja wa wale 12, akaenda kwa wakuu wa makuhani ili amsaliti kwao.+ 11 Waliposikia hilo, wakafurahi na kuahidi kumpa fedha.+ Basi akaanza kutafuta nafasi ya kumsaliti.

12 Sasa siku ya kwanza ya Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu,+ wakati ambapo walikuwa na desturi ya kutoa dhabihu ya Pasaka,+ wanafunzi wake wakamwuliza: “Unataka twende tukutayarishie wapi mlo wa Pasaka?”+ 13 Ndipo akawatuma wawili kati ya wanafunzi wake akawaambia: “Nendeni jijini, nanyi mtakutana na mwanamume akiwa amebeba mtungi wa maji. Mfuateni,+ 14 na popote atakapoingia, mwambieni mwenye nyumba, ‘Mwalimu anasema: “Kiko wapi chumba cha wageni ambamo ninaweza kula Pasaka pamoja na wanafunzi wangu?”’ 15 Naye atawaonyesha chumba kikubwa cha juu, chenye vifaa na kilichotayarishwa. Tuandalieni humo.” 16 Basi wanafunzi wakaenda, wakaingia jijini na kupata kama alivyowaambia, nao wakaandaa Pasaka.

17 Ilipofika jioni akaja pamoja na wale 12.+ 18 Walipokuwa wameketi mezani wakila, Yesu akasema: “Kwa kweli ninawaambia, mmoja wenu anayekula pamoja nami atanisaliti.”+ 19 Wakaanza kuhuzunika na kumuuliza mmoja baada ya mwingine: “Je, ni mimi?” 20 Akawaambia: “Ni mmoja kati yenu 12, anayechovya pamoja nami katika bakuli.+ 21 Kwa maana Mwana wa binadamu anaenda zake, kama ilivyoandikwa kumhusu, lakini ole wake mtu atakayemsaliti Mwana wa binadamu!+ Ingekuwa afadhali kama mtu huyo hangezaliwa.”+

22 Walipokuwa wakiendelea kula, akachukua mkate, akatoa baraka, akaumega, akawapa, na kusema: “Chukueni; huu unamaanisha mwili wangu.”+ 23 Kisha akachukua kikombe, akashukuru na kuwapa, wote wakanywa kutoka kwenye kikombe hicho.+ 24 Akawaambia: “Hii inamaanisha ‘damu+ yangu ya agano,’+ ambayo itamwagwa kwa ajili ya wengi.+ 25 Kwa kweli ninawaambia, sitakunywa tena kamwe divai ya mzabibu mpaka siku nitakapokunywa ikiwa mpya katika Ufalme wa Mungu.” 26 Mwishowe, baada ya kuimba sifa,* wakaenda kwenye Mlima wa Mizeituni.+

27 Yesu akawaambia: “Ninyi nyote mtakwazika, kwa maana imeandikwa: ‘Nitampiga mchungaji,+ nao kondoo watatawanyika.’+ 28 Lakini baada ya kufufuliwa, nitawatangulia kuingia Galilaya.”+ 29 Lakini Petro akamwambia: “Hata wengine wote wakikwazika, mimi sitakwazika.”+ 30 Ndipo Yesu akamwambia: “Kwa kweli ninakuambia kwamba leo, ndiyo, usiku huu, kabla jogoo hajawika mara mbili, utanikana mara tatu.”+ 31 Lakini akaendelea kusisitiza: “Hata nikilazimika kufa pamoja nawe, sitakukana kamwe.” Pia, wengine wote wakaanza kusema vivyo hivyo.+

32 Basi wakafika mahali panapoitwa Gethsemane, akawaambia wanafunzi wake: “Ketini hapa ninaposali.”+ 33 Akaondoka pamoja na Petro, Yakobo, na Yohana,+ naye akaanza kufadhaika* na kutaabika sana. 34 Akawaambia: “Nimehuzunika* sana,+ kiasi cha kufa. Kaeni hapa na mwendelee kukesha.”+ 35 Akasonga mbele kidogo, akaanguka chini na kuanza kusali kwamba ikiwezekana, saa hiyo ipitilie mbali kutoka kwake. 36 Naye akasema: “Abba,* Baba,+ mambo yote yanawezekana kwako; niondolee kikombe hiki. Lakini si kama ninavyotaka, bali unavyotaka.”+ 37 Aliporudi akawakuta wakiwa wamelala usingizi, akamwuliza Petro: “Simoni, unalala? Hukuwa na nguvu za kukesha hata kwa saa moja?+ 38 Endeleeni kukesha na kusali bila kuacha, ili msiingie katika majaribu.+ Bila shaka, roho inataka,* lakini mwili ni dhaifu.”+ 39 Naye akaenda zake tena, akasali, akirudia maneno yaleyale.+ 40 Akaja tena na kuwakuta wakiwa wamelala usingizi, kwa maana macho yao yalikuwa yamelemewa, nao hawakujua la kumjibu. 41 Akarudi mara ya tatu akawaambia: “Mnalala na kupumzika wakati kama huu! Imetosha! Saa imefika!+ Tazama! Mwana wa binadamu anasalitiwa mikononi mwa watenda dhambi. 42 Simameni twende. Tazama! Msaliti wangu amekaribia.”+

43 Na mara moja, alipokuwa bado akizungumza, Yuda, mmoja wa wale 12, akafika pamoja na umati wenye mapanga na marungu, walikuwa wametumwa na wakuu wa makuhani, waandishi, na wazee.+ 44 Basi msaliti wake alikuwa amewapa ishara waliyokubaliana akisema: “Yule nitakayembusu, huyo ndiye; mkamateni na kuondoka naye akiwa chini ya ulinzi.” 45 Akaja moja kwa moja akamkaribia na kusema, “Rabi!” kisha akambusu kwa wororo. 46 Basi wakamkamata na kumtia nguvuni. 47 Hata hivyo, mmoja wa wale waliokuwa wamesimama hapo akauchomoa upanga wake, akampiga mtumwa wa kuhani mkuu na kumkata sikio.+ 48 Lakini Yesu akawaambia: “Je, mmekuja kunikamata mkiwa na mapanga na marungu kana kwamba mimi ni mwizi?+ 49 Siku baada ya siku nilikuwa nanyi nikifundisha hekaluni,+ lakini hamkunikamata. Hata hivyo, ni ili Maandiko yatimizwe.”+

50 Ndipo wote wakamwacha na kukimbia.+ 51 Hata hivyo, kijana fulani aliyevaa vazi la kitani bora juu ya mwili wake ulio uchi akaanza kumfuata kwa karibu, nao wakajaribu kumkamata, 52 lakini akaliacha vazi lake la kitani, akakimbia akiwa uchi.*

53 Kisha wakampeleka Yesu kwa kuhani mkuu,+ nao wakuu wote wa makuhani, wazee, na waandishi wakakusanyika.+ 54 Lakini Petro akamfuata kwa mbali mpaka kwenye ua wa kuhani mkuu; akaketi pamoja na watumishi wa nyumbani akiota moto mwangavu.+ 55 Sasa wakuu wa makuhani na Sanhedrini yote walikuwa wakitafuta ushahidi dhidi ya Yesu ili wamuue, lakini hawakupata.+ 56 Kwa kweli, wengi walikuwa wakitoa ushahidi wa uwongo kumhusu,+ lakini ushahidi wao haukupatana. 57 Pia, wengine walikuwa wakisimama na kutoa ushahidi wa uwongo kumhusu, wakisema: 58 “Tulimsikia akisema, ‘Nitaliangusha chini hekalu hili lililojengwa kwa mikono, na kwa siku tatu nitajenga lingine ambalo halijajengwa kwa mikono.’”+ 59 Lakini hata kwa misingi hiyo, ushahidi wao haukupatana.

60 Kisha kuhani mkuu akasimama katikati yao, akamuuliza Yesu: “Kwa nini hujibu? Watu hawa wanashuhudia nini kukuhusu?”+ 61 Lakini akakaa kimya na hakujibu.+ Tena kuhani mkuu akaanza kumuuliza: “Je, wewe ndiye Kristo Mwana wa Yule Mbarikiwa?” 62 Ndipo Yesu akasema: “Mimi ndiye; nanyi mtamwona Mwana wa binadamu+ akiwa ameketi kwenye mkono wa kuume+ wa nguvu, akija pamoja na mawingu ya mbinguni.”+ 63 Ndipo kuhani mkuu akayararua mavazi yake na kusema: “Tunahitaji mashahidi wengine wa nini?+ 64 Mmemsikia akikufuru. Uamuzi wenu ni nini?”* Wote wakaamua kwamba anastahili kufa.+ 65 Wengine wakaanza kumtemea mate,+ wakamfunika uso, wakampiga ngumi na kumwambia: “Toa unabii!” Walinzi wa mahakama wakampiga makofi usoni na kumchukua.+

66 Sasa Petro alipokuwa chini katika ua, mmoja wa wajakazi wa kuhani mkuu akaja.+ 67 Alipomwona Petro akiota moto, akamtazama moja kwa moja na kusema: “Hata wewe ulikuwa pamoja na Yesu Mnazareti.” 68 Lakini akakana, akisema: “Simjui wala sielewi unachosema.” Kisha akatoka na kuelekea langoni.* 69 Yule kijakazi alipomwona akaanza tena kuwaambia wale waliosimama hapo: “Huyu ni mmoja wao.” 70 Petro akakana tena. Baada ya muda mfupi, wale waliosimama hapo wakaanza tena kumwambia: “Hakika wewe ni mmoja wao, kwa maana, wewe ni Mgalilaya.” 71 Lakini akaanza kulaani na kuapa: “Simjui mtu huyu mnayezungumza kumhusu!” 72 Papo hapo jogoo akawika mara ya pili,+ naye Petro akakumbuka maneno ambayo Yesu alimwambia: “Kabla jogoo hajawika mara mbili, utanikana mara tatu.”+ Naye akalemewa akaanza kulia.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki