Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Petro 4
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Petro—Yaliyomo

      • Kuishi kwa ajili ya mapenzi ya Mungu, kama alivyofanya Kristo (1-6)

      • Mwisho wa mambo yote umekaribia (7-11)

      • Kuteseka kwa kuwa Mkristo (12-19)

1 Petro 4:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “azimio lilelile; uamuzi uleule.”

Marejeo

  • +Flp 2:8
  • +Ro 6:11; Kol 3:5; 1Yo 3:6

1 Petro 4:2

Marejeo

  • +2Ko 5:15
  • +Gal 2:20; Efe 5:17

1 Petro 4:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ufidhuli; matendo ya kuchukiza yanayofanywa bila aibu.” Kigiriki, a·selʹgei·a. Angalia Kamusi.

  • *

    Au “karamu za kupindukia.”

Marejeo

  • +Tit 3:3
  • +Ro 13:13; 1Ko 5:11; Gal 5:19, 21; Efe 4:17-19

1 Petro 4:4

Marejeo

  • +1Pe 3:16

1 Petro 4:5

Marejeo

  • +Mdo 10:42; 17:31; 2Ti 4:1; Ufu 20:12

1 Petro 4:6

Marejeo

  • +Efe 2:1

1 Petro 4:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “muwe chonjo; muwe macho.”

Marejeo

  • +Ro 12:3; 1Ti 3:2; Tit 2:6
  • +Kol 4:2

1 Petro 4:8

Marejeo

  • +Kol 3:14
  • +Met 10:12; 17:9; 1Ko 13:4, 7

1 Petro 4:9

Marejeo

  • +2Ko 9:7; Ebr 13:2

1 Petro 4:10

Marejeo

  • +Ro 12:6-8

1 Petro 4:11

Marejeo

  • +Isa 12:2; Efe 3:20
  • +1Ko 10:31

1 Petro 4:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “majaribu kama moto.”

Marejeo

  • +1Pe 5:9

1 Petro 4:13

Marejeo

  • +Mdo 5:41; Yak 1:2
  • +Ro 8:17; 2Ko 4:10; 2Ti 3:12
  • +1Pe 1:7

1 Petro 4:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mnatukanwa.”

Marejeo

  • +Yak 1:12; 5:11

1 Petro 4:15

Marejeo

  • +1Ti 5:13; 1Pe 2:20

1 Petro 4:16

Marejeo

  • +Kol 1:24; Ebr 12:2

1 Petro 4:17

Marejeo

  • +Ebr 3:6
  • +1Ko 11:32
  • +2Th 1:7, 8

1 Petro 4:18

Marejeo

  • +Met 11:31; Mt 7:13, 14

1 Petro 4:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuzikabidhi nafsi zao.”

Marejeo

  • +2Ti 1:12

Jumla

1 Pet. 4:1Flp 2:8
1 Pet. 4:1Ro 6:11; Kol 3:5; 1Yo 3:6
1 Pet. 4:22Ko 5:15
1 Pet. 4:2Gal 2:20; Efe 5:17
1 Pet. 4:3Tit 3:3
1 Pet. 4:3Ro 13:13; 1Ko 5:11; Gal 5:19, 21; Efe 4:17-19
1 Pet. 4:41Pe 3:16
1 Pet. 4:5Mdo 10:42; 17:31; 2Ti 4:1; Ufu 20:12
1 Pet. 4:6Efe 2:1
1 Pet. 4:7Ro 12:3; 1Ti 3:2; Tit 2:6
1 Pet. 4:7Kol 4:2
1 Pet. 4:8Kol 3:14
1 Pet. 4:8Met 10:12; 17:9; 1Ko 13:4, 7
1 Pet. 4:92Ko 9:7; Ebr 13:2
1 Pet. 4:10Ro 12:6-8
1 Pet. 4:11Isa 12:2; Efe 3:20
1 Pet. 4:111Ko 10:31
1 Pet. 4:121Pe 5:9
1 Pet. 4:13Mdo 5:41; Yak 1:2
1 Pet. 4:13Ro 8:17; 2Ko 4:10; 2Ti 3:12
1 Pet. 4:131Pe 1:7
1 Pet. 4:14Yak 1:12; 5:11
1 Pet. 4:151Ti 5:13; 1Pe 2:20
1 Pet. 4:16Kol 1:24; Ebr 12:2
1 Pet. 4:17Ebr 3:6
1 Pet. 4:171Ko 11:32
1 Pet. 4:172Th 1:7, 8
1 Pet. 4:18Met 11:31; Mt 7:13, 14
1 Pet. 4:192Ti 1:12
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
1 Petro 4:1-19

Barua ya Kwanza ya Petro

4 Kwa kuwa Kristo aliteseka katika mwili,+ ninyi pia jiimarisheni kwa mwelekeo uleule wa akili;* kwa sababu mtu ambaye ameteseka katika mwili ameachana na dhambi,+ 2 ili aishi wakati wake uliobaki katika mwili, si kwa ajili ya tamaa za wanadamu tena,+ bali kwa ajili ya mapenzi ya Mungu.+ 3 Kwa maana wakati uliopita uliwatosha kufanya mapenzi ya mataifa,+ mlipofanya vitendo vya mwenendo mpotovu,* uchu, kunywa kupita kiasi, karamu zenye vurugu,* mashindano ya kunywa, na ibada za sanamu zenye kuchukiza.+ 4 Wanashangaa kwa sababu hamwendelei kukimbia pamoja nao katika mwendo uliooza wa upotovu, basi wanawatukana ninyi.+ 5 Lakini watu hao watatoa hesabu kwa yule aliye tayari kuhukumu walio hai na waliokufa.+ 6 Kwa kweli, hiyo ndiyo sababu habari njema ilitangazwa kwa wafu pia,+ ili ingawa wanahukumiwa katika mwili kwa maoni ya wanadamu, waishi kwa kupatana na roho kwa maoni ya Mungu.

7 Lakini mwisho wa mambo yote umekaribia. Kwa hiyo, iweni na utimamu wa akili,+ na kukesha* kuhusiana na sala.+ 8 Zaidi ya mambo yote, pendaneni sana,+ kwa sababu upendo hufunika dhambi nyingi.+ 9 Mkaribishane bila kunung’unika.+ 10 Kwa kadiri ambayo kila mmoja amepokea zawadi, itumieni kuhudumiana kama wasimamizi wazuri wa fadhili zisizostahiliwa za Mungu zinazoonyeshwa kwa njia mbalimbali.+ 11 Yeyote akisema, na afanye hivyo kana kwamba anasema maneno matakatifu kutoka kwa Mungu; yeyote akihudumu, na afanye hivyo kama anayetegemea nguvu ambazo Mungu hutoa;+ ili katika mambo yote Mungu atukuzwe+ kupitia Yesu Kristo. Utukufu na nguvu ni zake milele na milele. Amina.

12 Wapendwa, msishangazwe na majaribu makali* yanayowapata,+ kana kwamba mnapatwa na jambo geni. 13 Badala yake, endeleeni kushangilia+ kwa kadiri ambayo ninyi ni washiriki katika mateso ya Kristo,+ ili mshangilie na kuwa na shangwe sana pia wakati wa ufunuo wa utukufu wake.+ 14 Ikiwa mnashutumiwa* kwa ajili ya jina la Kristo, ninyi ni wenye furaha,+ kwa sababu roho ya utukufu, yaani roho ya Mungu, inatulia juu yenu.

15 Hata hivyo, yeyote kati yenu asiteseke kwa sababu yeye ni muuaji au mwizi au mkosaji au mtu anayejiingiza katika mambo ya watu wengine.+ 16 Lakini yeyote akiteseka kwa sababu ni Mkristo, asione aibu,+ bali na aendelee kumtukuza Mungu huku akilibeba jina hili. 17 Kwa maana ni wakati uliowekwa wa hukumu kuanza na nyumba ya Mungu.+ Sasa ikiwa inaanza na sisi kwanza,+ basi matokeo kwa wale wasiotii habari njema ya Mungu yatakuwaje?+ 18 “Na ikiwa mtu mwadilifu anaokolewa kwa shida, itakuwaje kwa mtu asiyemwogopa Mungu na mtenda dhambi?”+ 19 Hivyo basi, acheni wale wanaoteseka kwa kufanya mapenzi ya Mungu waendelee kujikabidhi wenyewe* kwa Muumba mwaminifu wanapotenda mema.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki