Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 55
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Mwaliko wa kula na kunywa bure (1-5)

      • Mtafuteni Yehova na neno lake linalotegemeka (6-13)

        • Njia za Mungu ziko juu kuliko njia za mwanadamu (8, 9)

        • Neno la Mungu hakika litafanikiwa (10, 11)

Isaya 55:1

Marejeo

  • +Zb 42:2; 63:1; Amo 8:11; Mt 5:6
  • +Isa 41:17
  • +Yoe 3:18
  • +Ufu 21:6; 22:17

Isaya 55:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “pesa mlizopata kwa shida.”

  • *

    Tnn., “mtafurahia sana unono.”

Marejeo

  • +Isa 25:6
  • +Zb 36:7, 8; 63:5

Isaya 55:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi yenu itaendelea.”

  • *

    Au “yenye kuaminika; kutegemeka.”

Marejeo

  • +Yak 4:8
  • +Isa 61:8
  • +2Sa 7:8, 16; 23:5; Zb 89:28, 29; Yer 33:25, 26; Mdo 13:34

Isaya 55:4

Marejeo

  • +Ufu 1:5; 3:14
  • +Da 9:25; Mt 23:10
  • +Mwa 49:10

Isaya 55:5

Marejeo

  • +Zek 8:23
  • +Isa 49:3; 60:9

Isaya 55:6

Marejeo

  • +1Nya 28:9
  • +Zb 145:18; Yak 4:8

Isaya 55:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kwa hiari.”

Marejeo

  • +Eze 18:21; Mdo 3:19
  • +Kut 34:6; 2Nya 33:12, 13
  • +Hes 14:18; Zb 103:12, 13; Isa 43:25

Isaya 55:8

Marejeo

  • +Zb 40:5

Isaya 55:9

Marejeo

  • +Zb 103:11

Isaya 55:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “litathibitika kuwa.”

  • *

    Au “mapenzi yangu.”

Marejeo

  • +Hes 23:19; Isa 46:11
  • +Yos 23:14; Isa 45:23
  • +Zb 135:6; Isa 46:10

Isaya 55:12

Marejeo

  • +Isa 35:10
  • +Isa 54:13; 66:12
  • +Isa 42:11
  • +Isa 44:23

Isaya 55:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “litamjengea jina Yehova.”

Marejeo

  • +Isa 41:19; 60:13
  • +Yer 33:9

Jumla

Isa. 55:1Zb 42:2; 63:1; Amo 8:11; Mt 5:6
Isa. 55:1Isa 41:17
Isa. 55:1Yoe 3:18
Isa. 55:1Ufu 21:6; 22:17
Isa. 55:2Isa 25:6
Isa. 55:2Zb 36:7, 8; 63:5
Isa. 55:3Yak 4:8
Isa. 55:3Isa 61:8
Isa. 55:32Sa 7:8, 16; 23:5; Zb 89:28, 29; Yer 33:25, 26; Mdo 13:34
Isa. 55:4Ufu 1:5; 3:14
Isa. 55:4Da 9:25; Mt 23:10
Isa. 55:4Mwa 49:10
Isa. 55:5Zek 8:23
Isa. 55:5Isa 49:3; 60:9
Isa. 55:61Nya 28:9
Isa. 55:6Zb 145:18; Yak 4:8
Isa. 55:7Eze 18:21; Mdo 3:19
Isa. 55:7Kut 34:6; 2Nya 33:12, 13
Isa. 55:7Hes 14:18; Zb 103:12, 13; Isa 43:25
Isa. 55:8Zb 40:5
Isa. 55:9Zb 103:11
Isa. 55:11Hes 23:19; Isa 46:11
Isa. 55:11Yos 23:14; Isa 45:23
Isa. 55:11Zb 135:6; Isa 46:10
Isa. 55:12Isa 35:10
Isa. 55:12Isa 54:13; 66:12
Isa. 55:12Isa 42:11
Isa. 55:12Isa 44:23
Isa. 55:13Isa 41:19; 60:13
Isa. 55:13Yer 33:9
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 55:1-13

Isaya

55 Njooni, ninyi nyote mlio na kiu,+ njooni kwenye maji!+

Ninyi msio na pesa, njooni, nunueni na mle!

Naam, njooni, mnunue divai na maziwa+ bila pesa na bila gharama.+

 2 Kwa nini mnaendelea kulipa pesa kwa ajili ya kitu ambacho si mkate,

Na kwa nini mtumie mapato yenu* kwa ajili ya kitu ambacho hakishibishi?

Nisikilizeni kwa makini, mle kilicho chema,+

Nanyi mtafurahia sana vitu vyenye lishe kwelikweli.*+

 3 Tegeni sikio na mje kwangu.+

Sikilizeni, nanyi mtaendelea* kuwa hai,

Nami nitafanya agano la milele pamoja nanyi bila kusita+

Kulingana na matendo ya upendo mshikamanifu kwa Daudi, ambayo ni ya uaminifu.*+

 4 Tazameni! Nilimfanya awe shahidi+ kwa mataifa,

Kiongozi+ na kamanda+ kwa mataifa.

 5 Tazama! Utaliita taifa ambalo hulijui,

Na watu wa taifa ambao hawajakujua watakukimbilia

Kwa ajili ya Yehova Mungu wako,+ Mtakatifu wa Israeli,

Kwa sababu atakutukuza.+

 6 Mtafuteni Yehova wakati bado anapatikana.+

Mwiteni maadamu yuko karibu.+

 7 Mtu mwovu na aiache njia yake+

Na mtu mbaya mawazo yake;

Na arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+

Kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.*+

 8 “Kwa maana mawazo yangu si mawazo yenu,+

Na njia zenu si njia zangu,” asema Yehova.

 9 “Kwa maana kama mbingu zilivyo juu kuliko dunia,

Ndivyo njia zangu zilivyo juu kuliko njia zenu

Na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.+

10 Kwa maana kama mvua na theluji inavyomwagika kutoka mbinguni

Nayo hairudi huko mpaka iiloweshe dunia na kuifanya izae na kuchipuka,

Na kumpa mbegu mpandaji na mkate yule anayekula,

11 Hivyo ndivyo neno langu linalotoka katika kinywa changu litakavyokuwa.*+

Halitarudi kwangu bila matokeo,+

Bali hakika litatimiza jambo lolote linalonipendeza,*+

Na hakika litafanikiwa katika yale ambayo nimelituma.

12 Kwa maana ninyi mtatoka nje kwa shangwe,+

Nanyi mtarudishwa kwa amani.+

Milima na vilima vitachangamka mbele yenu kwa vigelegele vya shangwe,+

Na miti yote ya msituni itapiga makofi.+

13 Badala ya vichaka vya miiba, mberoshi utakua,+

Na badala ya upupu unaowasha, mhadasi utakua.

Na jambo hilo litamletea Yehova sifa,*+

Ishara ya milele ambayo haitatoweka kamwe.”

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki