Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waefeso 6
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Waefeso—Yaliyomo

      • Ushauri kwa watoto na wazazi (1-4)

      • Ushauri kwa watumwa na mabwana (5-9)

      • Mavazi kamili ya silaha kutoka kwa Mungu (10-20)

      • Salamu za mwisho (21-24)

Waefeso 6:1

Marejeo

  • +Met 1:8; 6:20; Kol 3:20

Waefeso 6:2

Marejeo

  • +Kut 20:12; Kum 5:16; Met 20:20; 23:22; Mt 15:4

Waefeso 6:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Ili ufanikiwe.”

Waefeso 6:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mwelekezo wa; mwongozo wa.” Tnn., “kuweka katika akili.”

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Kol 3:21
  • +Met 13:24
  • +Kum 6:6, 7; Met 3:11; 19:18; 22:6

Waefeso 6:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wa kimwili.”

Marejeo

  • +1Ti 6:1; 1Pe 2:18

Waefeso 6:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “si kwa njia ya utumishi wa macho ili kuwapendeza wanadamu.”

  • *

    Angalia Kamusi, “Nafsi.”

Marejeo

  • +Kol 3:22
  • +Lu 10:27

Waefeso 6:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +1Ko 10:31

Waefeso 6:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Kol 3:23, 24

Waefeso 6:9

Marejeo

  • +1Ko 7:22

Waefeso 6:10

Marejeo

  • +Efe 3:16

Waefeso 6:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “njama za.”

Marejeo

  • +Ro 13:12

Waefeso 6:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “tunapigana mweleka.”

Marejeo

  • +2Ti 4:7
  • +2Pe 2:4

Waefeso 6:13

Marejeo

  • +2Ko 6:4, 7

Waefeso 6:14

Marejeo

  • +Isa 11:5
  • +Met 4:23; Isa 59:17

Waefeso 6:15

Marejeo

  • +Isa 52:7; Ro 10:15

Waefeso 6:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “makombora.”

Marejeo

  • +1Yo 5:4
  • +1Pe 5:8, 9

Waefeso 6:17

Marejeo

  • +Isa 59:17; 1Th 5:8
  • +Ebr 4:12

Waefeso 6:18

Marejeo

  • +Kol 4:2
  • +Yud 20

Waefeso 6:19

Marejeo

  • +Kol 4:3

Waefeso 6:20

Marejeo

  • +2Ko 5:20

Waefeso 6:21

Marejeo

  • +2Ti 4:12; Tit 3:12
  • +Kol 4:7, 8

Jumla

Efe. 6:1Met 1:8; 6:20; Kol 3:20
Efe. 6:2Kut 20:12; Kum 5:16; Met 20:20; 23:22; Mt 15:4
Efe. 6:4Kol 3:21
Efe. 6:4Met 13:24
Efe. 6:4Kum 6:6, 7; Met 3:11; 19:18; 22:6
Efe. 6:51Ti 6:1; 1Pe 2:18
Efe. 6:6Kol 3:22
Efe. 6:6Lu 10:27
Efe. 6:71Ko 10:31
Efe. 6:8Kol 3:23, 24
Efe. 6:91Ko 7:22
Efe. 6:10Efe 3:16
Efe. 6:11Ro 13:12
Efe. 6:122Ti 4:7
Efe. 6:122Pe 2:4
Efe. 6:132Ko 6:4, 7
Efe. 6:14Isa 11:5
Efe. 6:14Met 4:23; Isa 59:17
Efe. 6:15Isa 52:7; Ro 10:15
Efe. 6:161Yo 5:4
Efe. 6:161Pe 5:8, 9
Efe. 6:17Isa 59:17; 1Th 5:8
Efe. 6:17Ebr 4:12
Efe. 6:18Kol 4:2
Efe. 6:18Yud 20
Efe. 6:19Kol 4:3
Efe. 6:202Ko 5:20
Efe. 6:212Ti 4:12; Tit 3:12
Efe. 6:21Kol 4:7, 8
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Waefeso 6:1-24

Kwa Waefeso

6 Enyi watoto, watiini wazazi wenu+ katika muungano na Bwana, kwa maana hilo ni jambo la uadilifu. 2 “Mheshimu baba yako na mama yako,”+ hiyo ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi: 3 “Ili mambo yakuendee vema* nawe ukae muda mrefu duniani.” 4 Nanyi akina baba, msiwe mkiwakasirisha watoto wenu,+ bali endeleeni kuwalea katika nidhamu+ na maagizo ya* Yehova.*+

5 Enyi watumwa, watiini mabwana wenu wanadamu,*+ kwa kuogopa na kutetemeka kwa unyoofu wa mioyo yenu, kama vile kwa Kristo, 6 si wakati tu mnapotazamwa, ili tu kuwapendeza wanadamu,*+ bali kama watumwa wa Kristo mkifanya mapenzi ya Mungu kwa nafsi* yote.+ 7 Tumikieni mkiwa na mtazamo mzuri, kama kwa Yehova,*+ na si kwa wanadamu, 8 kwa maana mnajua kwamba wema wowote ambao kila mtu hufanya, Yehova* atamlipa wema huo,+ iwe ni mtumwa au mtu huru. 9 Pia, enyi mabwana, endeleeni kuwatendea kwa njia hiyohiyo, bila kuwatisha, kwa maana mnajua kwamba Bwana wao na wenu pia yuko mbinguni,+ naye hana ubaguzi wowote.

10 Mwishowe, endeleeni kujipatia nguvu+ katika Bwana na katika uwezo wa nguvu zake. 11 Vaeni mavazi kamili ya silaha+ kutoka kwa Mungu ili mweze kusimama imara dhidi ya matendo yenye hila ya* Ibilisi; 12 kwa sababu tunapambana,*+ si dhidi ya damu na mwili, bali dhidi ya serikali, dhidi ya mamlaka, dhidi ya watawala wa ulimwengu wa giza hili, dhidi ya majeshi ya roho waovu+ katika mahali pa kimbingu. 13 Kwa sababu hiyo chukueni mavazi kamili ya silaha kutoka kwa Mungu,+ ili mweze kupinga katika ile siku ya uovu, na baada ya kutimiza mambo yote, mweze kusimama imara.

14 Kwa hiyo, simameni imara, mkiwa mmejifunga kiunoni mshipi wa ile kweli,+ mkiwa mmevaa bamba la kifuani la uadilifu,+ 15 na mkiwa mmevaa viatu miguuni tayari kutangaza habari njema ya amani.+ 16 Mbali na mambo hayo, chukueni ngao kubwa ya imani,+ ambayo kwa kuitumia mtaizima mishale yote inayowaka moto* ya yule mwovu.+ 17 Pia, pokeeni kofia ya chuma ya wokovu,+ na upanga wa roho, yaani, neno la Mungu,+ 18 na kwa kila namna ya sala+ na dua mkiendelea kusali kila wakati katika roho.+ Na hivyo kaeni macho, daima mkiomba dua kwa ajili ya watakatifu wote. 19 Pia, msali kwa ajili yangu, kwamba ninapofungua kinywa changu nipewe maneno, ili niweze kuzungumza kwa ujasiri ninapojulisha siri takatifu ya habari njema,+ 20 ambayo kwa ajili yake ninatenda kama balozi+ aliyefungwa minyororo, na kwamba niweze kuzungumza kuihusu kwa ujasiri, kama ninavyopaswa kuzungumza.

21 Basi ili ninyi pia mjue kunihusu na jinsi ninavyoendelea, Tikiko,+ ndugu mpendwa na mhudumu mwaminifu katika Bwana, atawajulisha mambo yote.+ 22 Ninamtuma kwenu kwa kusudi hili, ili mjue jinsi tunavyoendelea na aifariji mioyo yenu.

23 Akina ndugu na wawe na amani na upendo pamoja na imani kutoka kwa Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo. 24 Fadhili zisizostahiliwa na ziwe pamoja na wote wanaompenda Bwana wetu Yesu Kristo katika hali ya kutoharibika.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki