Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wathesalonike 3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wathesalonike—Yaliyomo

      • Paulo asubiri ripoti kwa hamu akiwa Athene (1-5)

      • Ripoti ya Timotheo yenye kufariji (6-10)

      • Sala kwa ajili ya Wathesalonike (11-13)

1 Wathesalonike 3:1

Marejeo

  • +Mdo 17:15

1 Wathesalonike 3:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “mfanyakazi mwenzi wa Mungu.”

  • *

    Au “awatie nguvu.”

Marejeo

  • +Mdo 16:1, 2; Ro 16:21; 1Ko 16:10

1 Wathesalonike 3:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “asiyumbishwe.”

  • *

    Au “tumewekwa rasmi kwa ajili ya hilo.”

Marejeo

  • +Mdo 14:22; 1Ko 4:9; 1Pe 2:21

1 Wathesalonike 3:4

Marejeo

  • +1Th 2:14

1 Wathesalonike 3:5

Marejeo

  • +1Th 3:2
  • +Mt 4:3; 2Ko 11:3

1 Wathesalonike 3:6

Marejeo

  • +Mdo 18:5

1 Wathesalonike 3:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “uhitaji.”

Marejeo

  • +2Th 1:4

1 Wathesalonike 3:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “tunaishi.”

1 Wathesalonike 3:10

Marejeo

  • +2Th 1:3

1 Wathesalonike 3:12

Marejeo

  • +1Th 4:9; 2Th 1:3

1 Wathesalonike 3:13

Marejeo

  • +1Ko 1:8
  • +1Th 2:19; 5:23; 2Th 2:1, 2

Jumla

1 The. 3:1Mdo 17:15
1 The. 3:2Mdo 16:1, 2; Ro 16:21; 1Ko 16:10
1 The. 3:3Mdo 14:22; 1Ko 4:9; 1Pe 2:21
1 The. 3:41Th 2:14
1 The. 3:51Th 3:2
1 The. 3:5Mt 4:3; 2Ko 11:3
1 The. 3:6Mdo 18:5
1 The. 3:72Th 1:4
1 The. 3:102Th 1:3
1 The. 3:121Th 4:9; 2Th 1:3
1 The. 3:131Ko 1:8
1 The. 3:131Th 2:19; 5:23; 2Th 2:1, 2
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
1 Wathesalonike 3:1-13

Barua ya Kwanza kwa Wathesalonike

3 Basi tuliposhindwa kuvumilia, tuliamua kubaki Athene peke yetu;+ 2 tukamtuma Timotheo,+ ndugu yetu na mhudumu wa Mungu* katika habari njema kuhusu Kristo, ili awaimarishe* na kuwafariji kuhusiana na imani yenu, 3 ili yeyote asitikiswe* na dhiki hizo. Kwa maana ninyi wenyewe mnajua hatuwezi kuepuka mateso hayo.*+ 4 Kwa kuwa tulipokuwa pamoja nanyi, tulikuwa tukiwaambia mapema kwamba tutapatwa na dhiki, na imekuwa hivyo, kama mnavyojua.+ 5 Ndiyo sababu, niliposhindwa kuvumilia hilo, nilimtuma mtu ili nijue kuhusu uaminifu wenu,+ isiwe kwamba Mjaribu+ alikuwa amewajaribu, na kazi yetu ngumu ikawa ya bure.

6 Lakini Timotheo amerudi sasa hivi kutoka kwenu+ na kutujulisha habari njema kuhusu uaminifu na upendo wenu, kwamba mnaendelea kutukumbuka kwa upendo na kwamba mnatamani kutuona kama sisi pia tunavyotamani kuwaona. 7 Hiyo ndiyo sababu, katika taabu* na dhiki zetu zote, tumefarijiwa kwa sababu yenu na uaminifu mnaoonyesha.+ 8 Kwa sababu tunapata nguvu* ikiwa mnasimama imara katika Bwana. 9 Kwa maana tunawezaje kumshukuru Mungu kwa ajili yenu kutokana na shangwe kubwa tuliyo nayo mbele za Mungu wetu kwa sababu yenu? 10 Usiku na mchana tunasali kwa bidii kadiri tunavyoweza ili tuwaone uso kwa uso na kuongeza chochote kilichopungua katika imani yenu.+

11 Sasa Mungu Baba yetu na Bwana wetu Yesu na watufungulie njia ili tuje kwenu. 12 Zaidi ya hayo, Bwana na awawezeshe mwongezeke, ndiyo, mpendane zaidi+ na kuwapenda wote, kama tunavyowapenda ninyi, 13 ili afanye mioyo yenu kuwa imara, isiyolaumika katika utakatifu mbele za Mungu+ na Baba yetu wakati wa kuwapo kwa Bwana wetu Yesu+ pamoja na watakatifu wake wote.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki