Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 28
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mathayo—Yaliyomo

      • Yesu afufuliwa (1-10)

      • Askari wapewa rushwa ili waseme uwongo (11-15)

      • Agizo la kufanya watu kuwa wanafunzi (16-20)

Mathayo 28:1

Marejeo

  • +Mk 16:1; Lu 24:1, 10; Yoh 20:1

Mathayo 28:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Mk 16:4, 5; Lu 24:2, 4

Mathayo 28:3

Marejeo

  • +Mdo 1:10

Mathayo 28:5

Marejeo

  • +Mk 16:6

Mathayo 28:6

Marejeo

  • +Mt 16:21; 17:22, 23; 1Ko 15:3, 4

Mathayo 28:7

Marejeo

  • +Mt 26:32; 28:16; Mk 14:28
  • +Mk 16:7

Mathayo 28:8

Marejeo

  • +Mk 16:8; Lu 24:9

Mathayo 28:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kumwinamia.”

Mathayo 28:11

Marejeo

  • +Mt 27:65

Mathayo 28:13

Marejeo

  • +Mt 27:64

Mathayo 28:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “tutamshawishi.”

Mathayo 28:16

Marejeo

  • +Mt 26:32
  • +1Ko 15:6

Mathayo 28:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wakamwinamia.”

Mathayo 28:18

Marejeo

  • +Efe 1:20, 21; Flp 2:9

Mathayo 28:19

Marejeo

  • +Mdo 1:8; Ro 10:18; 11:13; Ufu 14:6
  • +Mdo 2:38; 8:12

Mathayo 28:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Mdo 20:20; 1Ko 11:23; 2Pe 3:1, 2; 1Yo 3:23
  • +Mt 13:39, 49; 24:3

Jumla

Mt. 28:1Mk 16:1; Lu 24:1, 10; Yoh 20:1
Mt. 28:2Mk 16:4, 5; Lu 24:2, 4
Mt. 28:3Mdo 1:10
Mt. 28:5Mk 16:6
Mt. 28:6Mt 16:21; 17:22, 23; 1Ko 15:3, 4
Mt. 28:7Mt 26:32; 28:16; Mk 14:28
Mt. 28:7Mk 16:7
Mt. 28:8Mk 16:8; Lu 24:9
Mt. 28:11Mt 27:65
Mt. 28:13Mt 27:64
Mt. 28:161Ko 15:6
Mt. 28:16Mt 26:32
Mt. 28:18Efe 1:20, 21; Flp 2:9
Mt. 28:19Mdo 1:8; Ro 10:18; 11:13; Ufu 14:6
Mt. 28:19Mdo 2:38; 8:12
Mt. 28:20Mdo 20:20; 1Ko 11:23; 2Pe 3:1, 2; 1Yo 3:23
Mt. 28:20Mt 13:39, 49; 24:3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Mathayo 28:1-20

Kulingana na Mathayo

28 Baada ya Sabato, kulipokuwa kukipambazuka siku ya kwanza ya juma, Maria Magdalene na yule Maria mwingine wakaenda kulitazama kaburi.+

2 Na tazama! tetemeko kubwa la ardhi lilikuwa limetokea, kwa maana malaika wa Yehova* alikuwa ameshuka kutoka mbinguni akaja na kuliviringisha lile jiwe, naye alikuwa amelikalia.+ 3 Alikuwa aking’aa kama radi, na mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji.+ 4 Ndiyo, wale walinzi wakatetemeka, wakawa kama wafu kwa sababu ya kumwogopa.

5 Lakini malaika akawaambia wale wanawake: “Msiogope, kwa maana ninajua mnamtafuta Yesu aliyeuawa kwenye mti.+ 6 Hayupo hapa, kwa maana amefufuliwa kama alivyosema.+ Njooni, tazameni mahali alipokuwa amelala. 7 Basi nendeni upesi mkawaambie wanafunzi wake kwamba alifufuliwa kutoka kwa wafu, na tazama! anawatangulia kwenda Galilaya.+ Mtamwona huko. Tazama! Nimewaambia ninyi.”+

8 Basi, wakaondoka upesi kwenye kaburi la ukumbusho wakiwa na hofu na shangwe kubwa. Wakakimbia kwenda kuwajulisha wanafunzi wake.+ 9 Na tazama! Yesu akakutana nao na kuwaambia: “Siku njema!” Wakamkaribia, wakamshika miguu na kumsujudia.* 10 Ndipo Yesu akawaambia: “Msiogope! Nendeni, mkawajulishe ndugu zangu ili waende Galilaya, na huko wataniona.”

11 Walipoondoka na kwenda, baadhi ya walinzi+ wakaenda jijini na kuwajulisha wakuu wa makuhani mambo yote yaliyotokea. 12 Baada ya wakuu wa makuhani na wazee kukutana na kushauriana, wakawapa wale wanajeshi kiasi kikubwa cha fedha 13 wakawaambia: “Semeni, ‘Wanafunzi wake walikuja usiku wakamwiba tulipokuwa tumelala usingizi.’+ 14 Na gavana akisikia, sisi tutamwelezea jambo hilo,* nanyi hamtahitaji kuwa na wasiwasi.” 15 Basi wakachukua zile fedha na kufanya kama walivyoagizwa, na hadithi hiyo imeenea miongoni mwa Wayahudi mpaka leo hii.

16 Hata hivyo, wale wanafunzi 11 wakaenda Galilaya+ kwenye mlima ambao Yesu alikuwa amepanga kukutana nao.+ 17 Walipomwona wakasujudu,* lakini baadhi yao walikuwa na shaka. 18 Yesu akakaribia na kuwaambia: “Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.+ 19 Basi, nendeni mkafanye wanafunzi kutoka kwa watu wa mataifa yote,+ mkiwabatiza+ katika jina la Baba na la Mwana na la roho takatifu, 20 na kuwafundisha kushika mambo yote niliyowaamuru.+ Na tazama! mimi nipo pamoja nanyi sikuzote mpaka umalizio wa mfumo wa mambo.”*+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki