Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Petro 2
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Petro—Yaliyomo

      • Kuzeni hamu kwa ajili ya neno (1-3)

      • Mawe yaliyo hai yaliyojengwa kuwa nyumba ya kiroho (4-10)

      • Kuishi kama wageni katika ulimwengu (11, 12)

      • Ujitiisho unaofaa (13-25)

        • Kristo, kielelezo chetu (21)

1 Petro 2:1

Marejeo

  • +Gal 5:16; Yak 1:21

1 Petro 2:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “maziwa safi; maziwa halisi.”

Marejeo

  • +Mk 10:15
  • +2Ti 3:15

1 Petro 2:4

Marejeo

  • +Isa 53:3; Yoh 19:15
  • +Zb 118:22; Isa 42:1; Mt 21:42; Mdo 4:11

1 Petro 2:5

Marejeo

  • +Efe 2:21
  • +Ebr 13:15
  • +Ro 12:1

1 Petro 2:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “hataaibika.”

Marejeo

  • +Isa 28:16

1 Petro 2:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kichwa cha pembeni.”

Marejeo

  • +Zb 69:8
  • +Zb 118:22; Mt 21:42; Lu 20:17; Mdo 4:11

1 Petro 2:8

Marejeo

  • +Isa 8:14

1 Petro 2:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, sifa zake nzuri na matendo mazuri.

Marejeo

  • +Ufu 5:10; 20:6
  • +Kut 19:5, 6; Kum 7:6; 10:15; Mal 3:17
  • +Isa 43:20, 21
  • +Efe 5:8; Kol 1:13

1 Petro 2:10

Marejeo

  • +Ho. 1:10; Mdo 15:14; Ro 9:25
  • +Ho. 2:23

1 Petro 2:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “na nafsi zenu.”

Marejeo

  • +1Pe 1:17
  • +Ro 8:5; Gal 5:24
  • +Gal 5:17; Yak 4:1

1 Petro 2:12

Marejeo

  • +Ro 12:17; 1Ti 3:7
  • +Mt 5:16; Yak 3:13

1 Petro 2:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “shirika la kibinadamu.”

Marejeo

  • +Ro 13:1; Efe 6:5; Tit 3:1
  • +1Pe 2:17

1 Petro 2:14

Marejeo

  • +Ro 13:3, 4

1 Petro 2:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mzibe.”

Marejeo

  • +Tit 2:7, 8

1 Petro 2:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kisingizio.”

Marejeo

  • +Gal 5:1
  • +Gal 5:13
  • +1Ko 7:22

1 Petro 2:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “undugu.”

Marejeo

  • +Law 19:32; Ro 12:10; 13:7
  • +1Yo 2:10; 4:21
  • +Zb 111:10; Met 8:13; 2Ko 7:1
  • +Met 24:21

1 Petro 2:18

Marejeo

  • +Efe 6:5; Kol 3:22; 1Ti 6:1; Tit 2:9

1 Petro 2:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ huzuni; maumivu.”

Marejeo

  • +Ro 13:5

1 Petro 2:20

Marejeo

  • +1Pe 4:15
  • +Mt 5:10; Mdo 5:41; 1Pe 4:14

1 Petro 2:21

Marejeo

  • +1Pe 3:18
  • +Mt 16:24; Yoh 13:15

1 Petro 2:22

Marejeo

  • +Yoh 8:46; Ebr 4:15
  • +Isa 53:9

1 Petro 2:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “akishutumiwa.”

  • *

    Au “hakushutumu.”

Marejeo

  • +Mt 27:39
  • +Isa 53:7; Ro 12:21
  • +Ebr 5:8
  • +Yer 11:20; Yoh 8:50

1 Petro 2:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “tuachane.”

Marejeo

  • +Law 16:21
  • +Flp 2:8
  • +Isa 53:5

1 Petro 2:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wa uhai wenu.”

Marejeo

  • +Isa 53:6
  • +Zb 23:1; Isa 40:11

Jumla

1 Pet. 2:1Gal 5:16; Yak 1:21
1 Pet. 2:2Mk 10:15
1 Pet. 2:22Ti 3:15
1 Pet. 2:4Isa 53:3; Yoh 19:15
1 Pet. 2:4Zb 118:22; Isa 42:1; Mt 21:42; Mdo 4:11
1 Pet. 2:5Efe 2:21
1 Pet. 2:5Ebr 13:15
1 Pet. 2:5Ro 12:1
1 Pet. 2:6Isa 28:16
1 Pet. 2:7Zb 69:8
1 Pet. 2:7Zb 118:22; Mt 21:42; Lu 20:17; Mdo 4:11
1 Pet. 2:8Isa 8:14
1 Pet. 2:9Ufu 5:10; 20:6
1 Pet. 2:9Kut 19:5, 6; Kum 7:6; 10:15; Mal 3:17
1 Pet. 2:9Isa 43:20, 21
1 Pet. 2:9Efe 5:8; Kol 1:13
1 Pet. 2:10Ho. 1:10; Mdo 15:14; Ro 9:25
1 Pet. 2:10Ho. 2:23
1 Pet. 2:111Pe 1:17
1 Pet. 2:11Ro 8:5; Gal 5:24
1 Pet. 2:11Gal 5:17; Yak 4:1
1 Pet. 2:12Ro 12:17; 1Ti 3:7
1 Pet. 2:12Mt 5:16; Yak 3:13
1 Pet. 2:13Ro 13:1; Efe 6:5; Tit 3:1
1 Pet. 2:131Pe 2:17
1 Pet. 2:14Ro 13:3, 4
1 Pet. 2:15Tit 2:7, 8
1 Pet. 2:16Gal 5:1
1 Pet. 2:16Gal 5:13
1 Pet. 2:161Ko 7:22
1 Pet. 2:17Law 19:32; Ro 12:10; 13:7
1 Pet. 2:171Yo 2:10; 4:21
1 Pet. 2:17Zb 111:10; Met 8:13; 2Ko 7:1
1 Pet. 2:17Met 24:21
1 Pet. 2:18Efe 6:5; Kol 3:22; 1Ti 6:1; Tit 2:9
1 Pet. 2:19Ro 13:5
1 Pet. 2:201Pe 4:15
1 Pet. 2:20Mt 5:10; Mdo 5:41; 1Pe 4:14
1 Pet. 2:211Pe 3:18
1 Pet. 2:21Mt 16:24; Yoh 13:15
1 Pet. 2:22Yoh 8:46; Ebr 4:15
1 Pet. 2:22Isa 53:9
1 Pet. 2:23Mt 27:39
1 Pet. 2:23Isa 53:7; Ro 12:21
1 Pet. 2:23Ebr 5:8
1 Pet. 2:23Yer 11:20; Yoh 8:50
1 Pet. 2:24Law 16:21
1 Pet. 2:24Flp 2:8
1 Pet. 2:24Isa 53:5
1 Pet. 2:25Isa 53:6
1 Pet. 2:25Zb 23:1; Isa 40:11
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
1 Petro 2:1-25

Barua ya Kwanza ya Petro

2 Basi, acheni ubaya wote+ na udanganyifu na unafiki na wivu na masengenyo. 2 Kama watoto wachanga waliozaliwa hivi karibuni,+ kuzeni hamu kwa ajili ya maziwa yasiyochanganywa na kitu* ya lile neno, ili kupitia hayo mkue kufikia wokovu,+⁠ 3 mradi tu mmeonja na kuona kwamba Bwana ni mwenye fadhili.

4 Mkimjia yeye, jiwe lililo hai lililokataliwa na wanadamu+ bali lililochaguliwa na lenye thamani kwa Mungu,+ 5 ninyi wenyewe pia kama mawe yaliyo hai mnajengwa kuwa nyumba ya kiroho+ kusudi muwe ukuhani mtakatifu, ili kutoa dhabihu za kiroho+ zenye kukubalika kwa Mungu kupitia Yesu Kristo.+ 6 Kwa maana Andiko linasema: “Tazama! Ninaweka katika Sayuni jiwe lililochaguliwa, jiwe la pembeni la msingi lenye thamani, na yeyote anayeonyesha imani katika hilo hatakata tamaa kamwe.”*+

7 Kwa hiyo, yeye ni mwenye thamani kwenu, kwa sababu ninyi ni waamini; lakini kwa wale wasioamini, “jiwe ambalo wajenzi walilikataa+ limekuwa jiwe kuu la pembeni”*+ 8 na “jiwe la kukwaza na mwamba wa kuangusha.”+ Wanajikwaa kwa sababu hawatii lile neno. Waliwekwa rasmi pia kwa kusudi hilo. 9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ na watu walio mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”*+ za Yule aliyewaita kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+ 10 Kwa kuwa wakati fulani ninyi hamkuwa watu, lakini sasa ninyi ni watu wa Mungu;+ hamkuwa mmeonyeshwa rehema, lakini sasa mmeonyeshwa rehema.+

11 Wapendwa, ninawahimiza ninyi kama wageni na wakaaji wa muda+ kwamba mwendelee kujiepusha na tamaa za mwili,+ ambazo hupigana vita nanyi.*+ 12 Dumisheni mwenendo wenu ukiwa mzuri kati ya mataifa,+ ili wanapowashutumu kuwa watenda dhambi, washuhudie kwa macho yao matendo yenu mazuri+ na hivyo wamtukuze Mungu katika siku ya ukaguzi wake.

13 Kwa ajili ya Bwana jitiisheni wenyewe kwa kila kitu kilichofanywa na binadamu,*+ iwe ni kwa mfalme+ akiwa mkubwa 14 au kwa magavana wakiwa kama wametumwa naye kuwaadhibu watenda maovu lakini kuwasifu wanaotenda mema.+ 15 Kwa maana ni mapenzi ya Mungu kwamba kwa kutenda mema mnyamazishe* maneno ya kijinga ya watu wasio na akili.+ 16 Iweni kama watu huru,+ mkitumia uhuru wenu, si kama kifuniko* cha kufanya mabaya,+ bali kama watumwa wa Mungu.+ 17 Waheshimuni watu wa namna zote,+ upendeni ushirika mzima wa akina ndugu,*+ mwogopeni Mungu,+ mheshimuni mfalme.+

18 Watumishi na wajitiishe kwa mabwana wao kwa woga unaofaa,+ si kwa wale tu walio wema na wapole, bali pia kwa wale ambao ni wagumu kupendeza. 19 Kwa maana inakubalika ikiwa mtu anavumilia taabu* na kuteseka isivyo haki kwa sababu ya dhamiri kwa Mungu.+ 20 Kwa maana kuna faida gani ikiwa mnavumilia mnapopigwa kwa kufanya dhambi?+ Lakini ikiwa mnavumilia mateso kwa sababu ya kufanya mema, jambo hilo linakubalika kwa Mungu.+

21 Kwa kweli, mliitwa kwenye mwendo huu, kwa sababu hata Kristo aliteseka kwa ajili yenu,+ akiwaachia ninyi kielelezo ili mfuate hatua zake kwa ukaribu.+ 22 Yeye hakufanya dhambi,+ wala udanganyifu haukupatikana kinywani mwake.+ 23 Alipokuwa akitukanwa,*+ hakujibu kwa kutukana.*+ Alipokuwa akiteseka,+ hakutoa vitisho, bali alijikabidhi mkononi mwa Yule anayehukumu+ kwa uadilifu. 24 Yeye mwenyewe alichukua dhambi zetu+ katika mwili wake mwenyewe juu ya mti,+ ili tufe kuhusiana* na dhambi na tuishi kuhusiana na uadilifu. Na “kwa vidonda vyake mliponywa.”+ 25 Kwa maana mlikuwa kama kondoo wanaopotea njia,+ lakini sasa mmerudi kwa mchungaji+ na mwangalizi wa nafsi zenu.*

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki