Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 4
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Methali—Yaliyomo

      • Mafundisho ya baba yenye hekima (1-27)

        • Zaidi ya yote, pata hekima (7)

        • Epuka vijia vya uovu (14, 15)

        • Kijia cha waadilifu huzidi kung’aa (18)

        • “Ulinde moyo wako” (23)

Methali 4:1

Marejeo

  • +Kum 6:6, 7; Met 19:20; Efe 6:1

Methali 4:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “sheria.”

Marejeo

  • +1Nya 28:9

Methali 4:3

Marejeo

  • +1Fa 2:12
  • +1Fa 1:16-21

Methali 4:4

Marejeo

  • +Kum 4:9
  • +Law 18:5

Methali 4:5

Marejeo

  • +Ne 8:3, 8; Met 9:10

Methali 4:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “la msingi.”

Marejeo

  • +Mhu 7:12
  • +Met 15:14; Mt 13:23; Ebr 5:14

Methali 4:8

Marejeo

  • +Da 1:17, 20
  • +1Fa 4:29

Methali 4:10

Marejeo

  • +Kum 5:16

Methali 4:11

Marejeo

  • +1Fa 4:29
  • +Isa 26:7

Methali 4:13

Marejeo

  • +Met 8:10; Ebr 2:1; 12:5, 6
  • +Kum 32:45-47; Ebr 12:11

Methali 4:14

Marejeo

  • +Zb 1:1; 1Ko 15:33

Methali 4:15

Marejeo

  • +Amo 5:15; Efe 5:11
  • +Met 5:3, 8; 1Th 5:22

Methali 4:18

Marejeo

  • +2Sa 23:3, 4; Zb 119:105; 1Ko 13:12; 2Ko 4:6; 2Pe 1:19

Methali 4:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Yategee sikio.”

Methali 4:21

Marejeo

  • +Zb 40:8; Met 2:1

Methali 4:22

Marejeo

  • +1Ti 4:8

Methali 4:23

Marejeo

  • +Yer 17:9; Mk 7:21-23; Efe 6:14

Methali 4:24

Marejeo

  • +1Pe 2:1

Methali 4:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “macho yako yanayong’aa.”

Marejeo

  • +Mt 6:22

Methali 4:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Chunguza kwa makini.”

Marejeo

  • +Efe 5:15

Methali 4:27

Marejeo

  • +Kum 12:32; Yos 1:7

Jumla

Met. 4:1Kum 6:6, 7; Met 19:20; Efe 6:1
Met. 4:21Nya 28:9
Met. 4:31Fa 2:12
Met. 4:31Fa 1:16-21
Met. 4:4Kum 4:9
Met. 4:4Law 18:5
Met. 4:5Ne 8:3, 8; Met 9:10
Met. 4:7Mhu 7:12
Met. 4:7Met 15:14; Mt 13:23; Ebr 5:14
Met. 4:8Da 1:17, 20
Met. 4:81Fa 4:29
Met. 4:10Kum 5:16
Met. 4:111Fa 4:29
Met. 4:11Isa 26:7
Met. 4:13Met 8:10; Ebr 2:1; 12:5, 6
Met. 4:13Kum 32:45-47; Ebr 12:11
Met. 4:14Zb 1:1; 1Ko 15:33
Met. 4:15Amo 5:15; Efe 5:11
Met. 4:15Met 5:3, 8; 1Th 5:22
Met. 4:182Sa 23:3, 4; Zb 119:105; 1Ko 13:12; 2Ko 4:6; 2Pe 1:19
Met. 4:21Zb 40:8; Met 2:1
Met. 4:221Ti 4:8
Met. 4:23Yer 17:9; Mk 7:21-23; Efe 6:14
Met. 4:241Pe 2:1
Met. 4:25Mt 6:22
Met. 4:26Efe 5:15
Met. 4:27Kum 12:32; Yos 1:7
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Methali 4:1-27

Methali

4 Wanangu, sikilizeni nidhamu ya baba;+

Sikilizeni kwa makini ili mpate uelewaji,

 2 Kwa maana nitawapa mafundisho mema;

Msiache mafundisho* yangu.+

 3 Nilikuwa mwana halisi wa baba yangu+

Na mama yangu alinipenda sana.+

 4 Baba alinifundisha na kusema: “Moyo wako na ushike kabisa maneno yangu.+

Shika amri zangu, uendelee kuishi.+

 5 Jipatie hekima, jipatie uelewaji.+

Usisahau, wala usiache ninayosema.

 6 Usiiache, nayo itakukinga.

Ipende, nayo itakulinda.

 7 Hekima ndilo jambo muhimu zaidi,*+ kwa hiyo jipatie hekima,

Pamoja na vyote unavyojipatia, jipatie uelewaji.+

 8 Ithamini sana, nayo itakukweza.+

Itakuheshimu kwa sababu unaikumbatia.+

 9 Itakuvika shada lenye kuvutia kichwani;

Itakupamba kwa taji maridadi.”

10 Mwanangu, sikiliza maneno yangu na uyakubali,

Na miaka ya maisha yako itakuwa mingi.+

11 Nitakufundisha katika njia ya hekima;+

Nitakuongoza katika vijia vya unyoofu.+

12 Unapotembea, hatua zako hazitazuiwa;

Na ukikimbia, hutajikwaa.

13 Shika kabisa nidhamu; usiiache.+

Ilinde, kwa maana ni uzima wako.+

14 Usiingie katika kijia cha waovu,

Wala usitembee katika njia ya watu wabaya.+

15 Iepuke, usiifuate;+

Jiepushe nayo, pita mbali nayo.+

16 Kwa maana hawawezi kulala wasipotenda uovu.

Hawapati usingizi wasipomwangusha mtu.

17 Wanajilisha mkate wa uovu,

Na kunywa divai ya ukatili.

18 Lakini kijia cha waadilifu ni kama nuru nyangavu ya asubuhi

Inayong’aa zaidi na zaidi mpaka mchana kamili.+

19 Njia ya waovu ni kama giza;

Hawajui ni nini kinachowafanya wajikwae.

20 Mwanangu, sikiliza maneno yangu;

Sikiliza kwa makini* ninayokwambia.

21 Yasiondoke machoni pako;

Yaweke ndani kabisa moyoni mwako,+

22 Kwa maana ni uzima kwa wale wanaoyapata+

Na afya kwa mwili wao wote.

23 Ulinde moyo wako kuliko vitu vyote unavyolinda,+

Kwa maana humo ndimo zinamotoka chemchemi za uzima.

24 Jiepushe kabisa na maneno yaliyopotoka,+

Na ujitenge mbali na mazungumzo yenye hila.

25 Macho yako yanapaswa kutazama mbele moja kwa moja,

Naam, yakaze macho yako* moja kwa moja mbele yako.+

26 Lainisha* mapito ya miguu yako,+

Na njia zako zote zitakuwa thabiti.

27 Usielekee kulia wala kushoto.+

Iepushe miguu yako na lililo ovu.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki