Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Sefania 1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Sefania—Yaliyomo

      • Siku ya Yehova ya hukumu iko karibu (1-18)

        • Siku ya Yehova inakuja haraka sana (14)

        • Fedha na dhahabu haviwezi kuokoa (18)

Sefania 1:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Yehova Ameficha (Amesitiri Kama Hazina).”

Marejeo

  • +2Fa 22:1, 2; Yer 1:2
  • +2Fa 21:18-20

Sefania 1:2

Marejeo

  • +2Fa 22:16; Isa 6:11; Yer 6:8

Sefania 1:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Inaonekana kwamba ni vitu au mambo yanayohusiana na ibada ya sanamu.

Marejeo

  • +Yer 4:25
  • +Eze 14:3

Sefania 1:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “dalili yoyote ya.”

Marejeo

  • +Hes 25:3; Amu 2:11, 13; 2Nya 28:1, 2; Yer 11:17
  • +2Fa 23:5

Sefania 1:5

Marejeo

  • +2Nya 33:1, 3; Yer 19:13
  • +Isa 48:1
  • +Yos 23:6, 7; 1Fa 11:33; Yer 49:1

Sefania 1:6

Marejeo

  • +Isa 1:4; Yer 2:13
  • +Isa 43:22

Sefania 1:7

Marejeo

  • +Yoe 2:1; 2Pe 3:10

Sefania 1:8

Marejeo

  • +2Fa 25:7; Yer 39:6

Sefania 1:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kwenye kizingiti.” Labda ni jukwaa la kiti cha mfalme.

Sefania 1:10

Marejeo

  • +2Nya 33:1, 14; Ne 3:3; 12:38, 39
  • +2Nya 34:22

Sefania 1:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Inaonekana ni eneo la Yerusalemu lililokuwa karibu na Lango la Samaki.

  • *

    Tnn., “wamenyamazishwa.”

Sefania 1:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wanaoganda juu ya machicha yao,” kana kwamba wamo ndani ya mtungi wa kushinikizia divai.

Marejeo

  • +Zb 10:13; 14:1

Sefania 1:13

Marejeo

  • +Isa 6:11
  • +Kum 28:30; Yer 5:17

Sefania 1:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “inakuja kwa kasi sana!”

Marejeo

  • +Yoe 2:1
  • +Hab 2:3
  • +Isa 66:6
  • +Isa 33:7; Yoe 1:15

Sefania 1:15

Marejeo

  • +Ufu 6:17
  • +Yer 30:7
  • +Amo 5:18, 20; Mdo 2:20
  • +Yoe 2:2

Sefania 1:16

Marejeo

  • +Yer 4:19
  • +Isa 2:12, 15

Sefania 1:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “matumbo.”

Marejeo

  • +Kum 28:28, 29; Isa 59:9, 10
  • +Isa 24:5; Da 9:5, 8
  • +Zb 79:2, 3; Yer 9:22; 16:4

Sefania 1:18

Marejeo

  • +Met 11:4; Isa 2:20; Eze 7:19
  • +Kum 32:22; Yer 7:20
  • +Yer 4:27

Jumla

Sef. 1:12Fa 22:1, 2; Yer 1:2
Sef. 1:12Fa 21:18-20
Sef. 1:22Fa 22:16; Isa 6:11; Yer 6:8
Sef. 1:3Yer 4:25
Sef. 1:3Eze 14:3
Sef. 1:4Hes 25:3; Amu 2:11, 13; 2Nya 28:1, 2; Yer 11:17
Sef. 1:42Fa 23:5
Sef. 1:52Nya 33:1, 3; Yer 19:13
Sef. 1:5Isa 48:1
Sef. 1:5Yos 23:6, 7; 1Fa 11:33; Yer 49:1
Sef. 1:6Isa 1:4; Yer 2:13
Sef. 1:6Isa 43:22
Sef. 1:7Yoe 2:1; 2Pe 3:10
Sef. 1:82Fa 25:7; Yer 39:6
Sef. 1:102Nya 33:1, 14; Ne 3:3; 12:38, 39
Sef. 1:102Nya 34:22
Sef. 1:12Zb 10:13; 14:1
Sef. 1:13Isa 6:11
Sef. 1:13Kum 28:30; Yer 5:17
Sef. 1:14Yoe 2:1
Sef. 1:14Hab 2:3
Sef. 1:14Isa 66:6
Sef. 1:14Isa 33:7; Yoe 1:15
Sef. 1:15Ufu 6:17
Sef. 1:15Yer 30:7
Sef. 1:15Amo 5:18, 20; Mdo 2:20
Sef. 1:15Yoe 2:2
Sef. 1:16Yer 4:19
Sef. 1:16Isa 2:12, 15
Sef. 1:17Kum 28:28, 29; Isa 59:9, 10
Sef. 1:17Isa 24:5; Da 9:5, 8
Sef. 1:17Zb 79:2, 3; Yer 9:22; 16:4
Sef. 1:18Met 11:4; Isa 2:20; Eze 7:19
Sef. 1:18Kum 32:22; Yer 7:20
Sef. 1:18Yer 4:27
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Sefania 1:1-18

Sefania

1 Neno la Yehova lililomjia Sefania* mwana wa Kushi mwana wa Gedalia mwana wa Amaria mwana wa Hezekia katika siku za Yosia+ mwana wa Amoni+ mfalme wa Yuda:

 2 “Nitafagilia mbali kabisa kila kitu kutoka katika nchi,” asema Yehova.+

 3 “Nitamfagilia mbali mwanadamu na mnyama.

Nitamfagilia mbali ndege wa angani na samaki wa baharini,+

Na pia vitu vinavyokwaza*+ pamoja na waovu;

Nami nitawaondoa wanadamu kutoka katika nchi,” asema Yehova.

 4 “Nitaunyoosha mkono wangu dhidi ya watu wa Yuda

Na dhidi ya wakaaji wote wa Yerusalemu,

Nami nitafutilia mbali kutoka mahali hapa kila kitu kinachohusiana na* Baali,+

Jina la makuhani wa miungu ya kigeni pamoja na makuhani wenyewe,+

 5 Na wale wanaoliinamia jeshi la mbinguni wakiwa juu ya paa,+

Na wale wanaoinama chini na kuapa kwamba watakuwa washikamanifu kwa Yehova+

Na wakati uleule wakiapa kwamba watakuwa washikamanifu kwa Malkamu;+

 6 Na wale wanaogeuka na kuacha kumfuata Yehova+

Na wale wasiomtafuta Yehova wala kuomba ushauri wake.”+

 7 Nyamazeni mbele za Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, kwa maana siku ya Yehova iko karibu.+

Yehova ametayarisha dhabihu; amewatakasa wale aliowaalika.

 8 “Katika siku ya dhabihu ya Yehova nitawafanya wakuu wawajibike,

Wana wa mfalme,+ na wote wanaovaa mavazi ya kigeni.

 9 Siku hiyo nitamfanya kila mtu anayepanda jukwaani* awajibike,

Wale wanaojaza nyumba ya bwana wao ukatili na udanganyifu.

10 Siku hiyo,” asema Yehova,

“Kutakuwa na sauti ya kilio kwenye Lango la Samaki,+

Mayowe katika wilaya ya pili ya jiji,+

Na mshindo mkubwa vilimani.

11 Pigeni mayowe, enyi wakaaji wa Makteshi,*

Kwa maana wafanyabiashara wote wameangamizwa;*

Wote wanaopima fedha wameuawa.

12 Wakati huo nitatumia taa kupekua Yerusalemu kwa makini,

Nami nitawafanya wasiojali* wawajibike, wanaosema moyoni mwao,

‘Yehova hatatenda mema, wala hatatenda mabaya.’+

13 Utajiri wao utaporwa na nyumba zao zitaharibiwa kabisa.+

Watajenga nyumba, lakini hawatakaa ndani yake;

Nao watapanda mashamba ya mizabibu, lakini hawatakunywa divai yake.+

14 Ile siku kuu ya Yehova iko karibu!+

Iko karibu, nayo inakuja haraka sana!*+

Sauti ya siku ya Yehova ni chungu.+

Siku hiyo shujaa atalia kwa sauti.+

15 Siku hiyo ni siku ya ghadhabu,+

Siku ya taabu na maumivu makali,+

Siku ya dhoruba na ukiwa,

Siku ya giza na utusitusi,+

Siku ya mawingu na utusitusi mzito,+

16 Siku ya pembe na ya kelele za vita,+

Dhidi ya majiji yenye ngome na dhidi ya minara mirefu ya pembeni.+

17 Nitawataabisha wanadamu,

Nao watatembea kama vipofu,+

Kwa sababu wamemtendea Yehova dhambi.+

Damu yao itamwagwa kama mavumbi,

Na nyama* yao kama mavi.+

18 Fedha yao wala dhahabu yao haitaweza kuwaokoa katika siku ya ghadhabu ya Yehova;+

Kwa maana dunia yote itateketezwa kwa moto wa bidii yake,+

Kwa sababu atawaangamiza kabisa wakaaji wote wa dunia, kwa kweli yatakuwa maangamizi yenye kutisha.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki