Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 34
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Yehova huwaokoa watumishi wake

        • “Na tulikweze jina lake pamoja” (3)

        • Malaika wa Yehova hulinda (7)

        • “Onjeni mwone kwamba Yehova ni mwema” (8)

        • ‘Hakuna hata mfupa wake mmoja uliovunjwa’ (20)

Zaburi 34:utangulizi

Marejeo

  • +1Sa 21:12, 13

Zaburi 34:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nafsi yangu itajigamba.”

Marejeo

  • +Yer 9:24; 1Ko 1:31

Zaburi 34:3

Marejeo

  • +Zb 35:27

Zaburi 34:4

Marejeo

  • +Ebr 5:7
  • +Zb 18:48

Zaburi 34:6

Marejeo

  • +2Sa 22:1

Zaburi 34:7

Marejeo

  • +2Fa 6:17; Zb 91:11; Mt 18:10; Ebr 1:7, 14
  • +2Fa 19:35; Da 6:22; Mdo 5:18, 19; 12:11

Zaburi 34:8

Marejeo

  • +1Pe 2:3

Zaburi 34:9

Marejeo

  • +Zb 23:1; Flp 4:19

Zaburi 34:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wanasimba wenye manyoya marefu shingoni ambao ni.”

Marejeo

  • +Zb 23:6; 84:11

Zaburi 34:11

Marejeo

  • +Ayu 28:28; Met 1:7; 8:13

Zaburi 34:12

Marejeo

  • +Kum 6:1, 2; 30:19, 20; 1Pe 3:10-12

Zaburi 34:13

Marejeo

  • +Yak 1:26; 3:8
  • +Met 12:19; 15:4; 1Pe 2:1

Zaburi 34:14

Marejeo

  • +Zb 37:27; 97:10; Amo 5:15; Ro 12:9
  • +Mt 5:9; Ebr 12:14

Zaburi 34:15

Marejeo

  • +Ayu 36:7; Zb 33:18
  • +Zb 18:6; Isa 59:1

Zaburi 34:16

Marejeo

  • +Zb 37:10; Met 10:7

Zaburi 34:17

Marejeo

  • +Zb 145:18, 19
  • +2Nya 32:22; Mdo 12:11

Zaburi 34:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “waliovunjika moyo.”

Marejeo

  • +Zb 147:3; Isa 61:1
  • +Zb 51:17; Isa 57:15; 66:2

Zaburi 34:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “misiba mingi.”

Marejeo

  • +Met 24:16; 2Ti 3:12
  • +Da 6:21, 22; 1Ko 10:13

Zaburi 34:20

Marejeo

  • +Yoh 19:36

Zaburi 34:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anaikomboa nafsi ya.”

Marejeo

  • +Zb 84:11

Jumla

Zab. 34:utangulizi1Sa 21:12, 13
Zab. 34:2Yer 9:24; 1Ko 1:31
Zab. 34:3Zb 35:27
Zab. 34:4Ebr 5:7
Zab. 34:4Zb 18:48
Zab. 34:62Sa 22:1
Zab. 34:72Fa 6:17; Zb 91:11; Mt 18:10; Ebr 1:7, 14
Zab. 34:72Fa 19:35; Da 6:22; Mdo 5:18, 19; 12:11
Zab. 34:81Pe 2:3
Zab. 34:9Zb 23:1; Flp 4:19
Zab. 34:10Zb 23:6; 84:11
Zab. 34:11Ayu 28:28; Met 1:7; 8:13
Zab. 34:12Kum 6:1, 2; 30:19, 20; 1Pe 3:10-12
Zab. 34:13Yak 1:26; 3:8
Zab. 34:13Met 12:19; 15:4; 1Pe 2:1
Zab. 34:14Zb 37:27; 97:10; Amo 5:15; Ro 12:9
Zab. 34:14Mt 5:9; Ebr 12:14
Zab. 34:15Ayu 36:7; Zb 33:18
Zab. 34:15Zb 18:6; Isa 59:1
Zab. 34:16Zb 37:10; Met 10:7
Zab. 34:17Zb 145:18, 19
Zab. 34:172Nya 32:22; Mdo 12:11
Zab. 34:18Zb 147:3; Isa 61:1
Zab. 34:18Zb 51:17; Isa 57:15; 66:2
Zab. 34:19Met 24:16; 2Ti 3:12
Zab. 34:19Da 6:21, 22; 1Ko 10:13
Zab. 34:20Yoh 19:36
Zab. 34:22Zb 84:11
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 34:1-22

Zaburi

Wa Daudi, alipojifanya mwenda wazimu+ mbele ya Abimeleki, hivi kwamba akamfukuza, naye akaenda zake.

א [Aleph]

34 Nitamsifu Yehova nyakati zote;

Sifa yake itakuwa midomoni mwangu daima.

ב [Beth]

 2 Nitajigamba* kwa sababu ya Yehova;+

Wapole watasikia na kushangilia.

ג [Gimel]

 3 Mtukuzeni Yehova pamoja nami;+

Na tulikweze jina lake pamoja.

ד [Daleth]

 4 Nilimwomba Yehova ushauri, naye akanijibu.+

Aliniokoa kutoka katika mambo yote yanayoniogopesha.+

ה [He]

 5 Wale waliomtazama waling’aa;

Nyuso zao hazingeweza kuona aibu.

ז [Zayin]

 6 Mtu huyo wa hali ya chini aliita, na Yehova akasikia.

Alimwokoa kutoka katika taabu zake zote.+

ח [Heth]

 7 Malaika wa Yehova hupiga kambi pande zote kuwazunguka wanaomwogopa Yeye,+

Naye huwaokoa.+

ט [Teth]

 8 Onjeni mwone kwamba Yehova ni mwema;+

Mwenye furaha ni mtu anayemkimbilia.

י [Yod]

 9 Mwogopeni Yehova, ninyi nyote watakatifu wake,

Kwa maana wale wanaomwogopa hawakosi chochote.+

כ [Kaph]

10 Hata wanasimba* wenye nguvu wamelemewa na njaa,

Lakini wale wanaomtafuta Yehova hawatakosa chochote chema.+

ל [Lamed]

11 Njooni, wanangu, nisikilizeni;

Nitawafundisha kumwogopa Yehova.+

מ [Mem]

12 Ni nani miongoni mwenu anayependa uzima

Na angependa kuishi siku nyingi njema?+

נ [Nun]

13 Basi ulinde ulimi wako usiseme mabaya,+

Midomo yako isiseme uwongo.+

ס [Samekh]

14 Acha uovu, utende mema;+

Tafuta amani na uifuatie.+

ע [Ayin]

15 Macho ya Yehova yanawatazama waadilifu,+

Na masikio yake yanasikiliza kilio chao cha kuomba msaada.+

פ [Pe]

16 Lakini uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda maovu,

Ili afutilie mbali kumbukumbu lao lote kutoka duniani.+

צ [Tsade]

17 Walilia kwa sauti, na Yehova akasikia;+

Aliwaokoa kutoka katika taabu zao zote.+

ק [Qoph]

18 Yehova yuko karibu na wale waliovunjika moyo;+

Huwaokoa waliopondeka roho.*+

ר [Resh]

19 Mwadilifu ana matatizo mengi,*+

Lakini Yehova humwokoa kutoka katika matatizo hayo yote.+

ש [Shin]

20 Anailinda mifupa yake yote;

Haujavunjwa hata mmoja.+

ת [Taw]

21 Msiba utamuua mwovu;

Wale wanaomchukia mwadilifu watahesabiwa kuwa na hatia.

22 Yehova anaukomboa uhai wa* watumishi wake;

Hakuna yeyote anayemkimbilia atakayepatikana na hatia.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki