Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Wagalatia 6
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Wagalatia—Yaliyomo

      • Kubebeana mizigo (1-10)

        • Kuvuna ulichopanda (7, 8)

      • Kutahiriwa si muhimu (11-16)

        • Kiumbe kipya (15)

      • Umalizio (17, 18)

Wagalatia 6:1

Marejeo

  • +Met 15:1; Kol 3:12; 1Ti 6:11; Tit 3:2
  • +1Ko 10:12
  • +Yak 3:2

Wagalatia 6:2

Marejeo

  • +1Th 5:14
  • +Yoh 13:34; 15:12; 1Yo 4:21

Wagalatia 6:3

Marejeo

  • +Ro 12:3

Wagalatia 6:4

Marejeo

  • +2Ko 13:5
  • +Gal 5:26

Wagalatia 6:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mzigo wa wajibu.”

Marejeo

  • +Ro 14:4; 2Ko 5:10

Wagalatia 6:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anayefundishwa kwa mdomo.”

  • *

    Au “fundisho hilo la mdomo.”

Marejeo

  • +Mt 10:9, 10; Lu 10:7; Ro 15:27; 1Ko 9:11, 14

Wagalatia 6:7

Marejeo

  • +Ro 2:6-8

Wagalatia 6:8

Marejeo

  • +Ro 8:6, 13

Wagalatia 6:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hatutakufa moyo.”

Marejeo

  • +Ebr 3:14; 12:3; Ufu 2:10

Wagalatia 6:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wakati unaofaa.”

Wagalatia 6:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wanaotaka kuonekana wazuri kwa nje.”

  • *

    Angalia Kamusi.

Wagalatia 6:13

Marejeo

  • +Yak 2:10

Wagalatia 6:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

  • *

    Au “umeuawa kwenye mti.”

Marejeo

  • +1Ko 2:2

Wagalatia 6:15

Marejeo

  • +1Ko 7:19; Gal 5:6; Kol 3:10, 11
  • +2Ko 5:17; Efe 2:10

Wagalatia 6:16

Marejeo

  • +Ro 9:6

Wagalatia 6:17

Marejeo

  • +2Ko 4:10; Flp 3:10

Jumla

Gal. 6:1Met 15:1; Kol 3:12; 1Ti 6:11; Tit 3:2
Gal. 6:11Ko 10:12
Gal. 6:1Yak 3:2
Gal. 6:21Th 5:14
Gal. 6:2Yoh 13:34; 15:12; 1Yo 4:21
Gal. 6:3Ro 12:3
Gal. 6:42Ko 13:5
Gal. 6:4Gal 5:26
Gal. 6:5Ro 14:4; 2Ko 5:10
Gal. 6:6Mt 10:9, 10; Lu 10:7; Ro 15:27; 1Ko 9:11, 14
Gal. 6:7Ro 2:6-8
Gal. 6:8Ro 8:6, 13
Gal. 6:9Ebr 3:14; 12:3; Ufu 2:10
Gal. 6:13Yak 2:10
Gal. 6:141Ko 2:2
Gal. 6:151Ko 7:19; Gal 5:6; Kol 3:10, 11
Gal. 6:152Ko 5:17; Efe 2:10
Gal. 6:16Ro 9:6
Gal. 6:172Ko 4:10; Flp 3:10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Wagalatia 6:1-18

Kwa Wagalatia

6 Akina ndugu, hata mtu akichukua hatua isiyofaa kabla hajajua, ninyi mlio na sifa za kustahili kiroho jaribuni kumrekebisha upya mtu huyo kwa roho ya upole.+ Lakini kila mmoja wenu aendelee kujiangalia,+ kwa kuwa ninyi pia mnaweza kujaribiwa.+ 2 Endeleeni kubebeana mizigo mizito,+ na hivyo mtaitimiza sheria ya Kristo.+ 3 Kwa maana mtu akifikiri yeye ni kitu wakati yeye si kitu,+ anajidanganya mwenyewe. 4 Lakini kila mmoja na achunguze matendo yake mwenyewe,+ kisha atakuwa na sababu ya kushangilia kuhusiana na yeye mwenyewe, na si kwa kujilinganisha na mtu mwingine.+ 5 Kwa maana kila mtu ataubeba mzigo* wake mwenyewe.+

6 Zaidi ya hayo, mtu yeyote anayefundishwa* neno na ashiriki katika mambo yote mema pamoja na yule anayetoa fundisho hilo.*+

7 Msipotoshwe: Mungu si wa kudhihakiwa. Kwa maana lolote analopanda mtu, ndilo atakalovuna pia;+ 8 kwa sababu yule anayepanda kwa mwili wake atavuna uharibifu kutokana na mwili wake, lakini yule anayepanda kwa roho, atavuna uzima wa milele kutokana na roho.+ 9 Basi tusife moyo katika kufanya mema, kwa maana kwa wakati unaofaa tutavuna ikiwa hatutachoka kabisa.*+ 10 Basi, tukiwa bado na nafasi,* acheni tuwatendee watu wote mema, na hasa wale ambao ni ndugu zetu katika imani.

11 Oneni kwamba nimewaandikia kwa herufi kubwa kwa mkono wangu mwenyewe.

12 Wote wanaotaka kujionyesha kuwa wazuri katika mwili* ndio wanaojaribu kuwalazimisha mtahiriwe, wakifanya hivyo ili tu wasiteswe kwa ajili ya mti wa mateso* wa Kristo. 13 Kwa maana hata wale wanaotahiriwa hawaishiki Sheria,+ lakini wanataka mtahiriwe ili wawe na sababu ya kujisifu kuhusu mwili wenu. 14 Lakini sitajisifu kamwe, isipokuwa katika mti wa mateso* wa Bwana wetu Yesu Kristo,+ ambaye kupitia kwake ulimwengu umeuawa* kuhusiana nami, nami kuhusiana na ulimwengu. 15 Kwa maana kutahiriwa si kitu wala kutotahiriwa,+ bali kiumbe kipya ndicho kitu.+ 16 Na wale wote wanaotembea kwa utaratibu kwa kanuni hii ya mwenendo, juu yao na kuwe na amani na rehema, ndiyo, juu ya Israeli wa Mungu.+

17 Kuanzia sasa mtu yeyote asinitaabishe, kwa maana ninabeba mwilini mwangu alama za mtumwa wa Yesu.+

18 Akina ndugu, fadhili zisizostahiliwa za Bwana wetu Yesu Kristo ziwe pamoja na roho mnayoonyesha. Amina.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki