Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 63
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Kisasi cha Yehova dhidi ya mataifa (1-6)

      • Upendo mshikamanifu wa Yehova nyakati za zamani (7-14)

      • Sala ya toba (15-19)

Isaya 63:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “nyekundu nyangavu.”

Marejeo

  • +Zb 137:7; Isa 34:5, 6
  • +Amo 1:12

Isaya 63:2

Marejeo

  • +Yoe 3:13; Ufu 14:19, 20; 19:15

Isaya 63:3

Marejeo

  • +Isa 34:2

Isaya 63:4

Marejeo

  • +Isa 34:8; 35:4; 61:1, 2

Isaya 63:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ushindi.”

Marejeo

  • +Isa 51:9; 52:10; 59:16

Isaya 63:6

Marejeo

  • +Yer 25:15, 16

Isaya 63:7

Marejeo

  • +Zb 78:12; 105:5

Isaya 63:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ambao hawatakuwa waongo.”

Marejeo

  • +Kut 24:7
  • +Kut 14:30

Isaya 63:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “malaika wa uwepo wake.”

Marejeo

  • +Kut 3:7
  • +Kut 14:19; 23:20
  • +Kum 7:8
  • +Kut 19:4; Kum 1:31

Isaya 63:10

Marejeo

  • +Kum 9:7
  • +Mdo 7:51; Efe 4:30
  • +Law 26:14, 17; Kum 28:63
  • +Yer 21:5

Isaya 63:11

Marejeo

  • +Kut 14:30; Isa 51:10
  • +Zb 77:20
  • +Hes 11:16, 17

Isaya 63:12

Marejeo

  • +Kut 6:1, 6; 15:16
  • +Kut 14:21, 22
  • +Kut 9:15, 16; 14:17; Ro 9:17

Isaya 63:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “maji yenye kina kirefu.”

  • *

    Au “nyikani.”

Isaya 63:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “zuri.”

Marejeo

  • +Yos 22:4
  • +2Sa 7:23; Ne 9:10

Isaya 63:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “uzuri.”

  • *

    Tnn., “Msukosuko wa sehemu zako za ndani.”

Marejeo

  • +Yer 31:20
  • +Kum 4:31; Ne 9:17

Isaya 63:16

Marejeo

  • +Kut 4:22
  • +Isa 41:14

Isaya 63:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “unatufanya.”

  • *

    Tnn., “unafanya.”

Marejeo

  • +Isa 6:10
  • +Zb 74:2; 80:14, 15

Isaya 63:18

Marejeo

  • +2Nya 36:19; Isa 64:11; Omb 1:10

Jumla

Isa. 63:1Zb 137:7; Isa 34:5, 6
Isa. 63:1Amo 1:12
Isa. 63:2Yoe 3:13; Ufu 14:19, 20; 19:15
Isa. 63:3Isa 34:2
Isa. 63:4Isa 34:8; 35:4; 61:1, 2
Isa. 63:5Isa 51:9; 52:10; 59:16
Isa. 63:6Yer 25:15, 16
Isa. 63:7Zb 78:12; 105:5
Isa. 63:8Kut 24:7
Isa. 63:8Kut 14:30
Isa. 63:9Kut 3:7
Isa. 63:9Kut 14:19; 23:20
Isa. 63:9Kum 7:8
Isa. 63:9Kut 19:4; Kum 1:31
Isa. 63:10Kum 9:7
Isa. 63:10Mdo 7:51; Efe 4:30
Isa. 63:10Law 26:14, 17; Kum 28:63
Isa. 63:10Yer 21:5
Isa. 63:11Kut 14:30; Isa 51:10
Isa. 63:11Zb 77:20
Isa. 63:11Hes 11:16, 17
Isa. 63:12Kut 6:1, 6; 15:16
Isa. 63:12Kut 14:21, 22
Isa. 63:12Kut 9:15, 16; 14:17; Ro 9:17
Isa. 63:14Yos 22:4
Isa. 63:142Sa 7:23; Ne 9:10
Isa. 63:15Yer 31:20
Isa. 63:15Kum 4:31; Ne 9:17
Isa. 63:16Kut 4:22
Isa. 63:16Isa 41:14
Isa. 63:17Isa 6:10
Isa. 63:17Zb 74:2; 80:14, 15
Isa. 63:182Nya 36:19; Isa 64:11; Omb 1:10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 63:1-19

Isaya

63 Ni nani huyu anayekuja kutoka Edomu,+

Kutoka Bosra+ akiwa na mavazi yenye rangi zinazong’aa,*

Huyu aliye na mavazi ya kifahari,

Anayetembea kwa nguvu zake nyingi?

“Ni mimi, Yule anayesema kwa uadilifu,

Yule aliye na nguvu nyingi za kuokoa.”

 2 Kwa nini mavazi yako ni mekundu,

Na kwa nini mavazi yako ni kama ya mtu anayekanyaga shinikizo la divai?+

 3 “Nimelikanyaga pipa la divai nikiwa peke yangu.

Hakuna mtu yeyote kutoka katika mataifa aliyekuwa pamoja nami.

Niliendelea kuwakanyaga kwa hasira yangu,

Nami niliendelea kuwakanyaga kwa ghadhabu yangu.+

Mavazi yangu yalijaa madoa ya damu yao,

Nami nimezichafua nguo zangu zote.

 4 Kwa maana siku ya kisasi imo moyoni mwangu,+

Na mwaka wa watu wangu waliokombolewa umefika.

 5 Nilitazama, lakini hapakuwa na yeyote wa kunisaidia;

Nilishangaa kwamba hakuna yeyote aliyenitegemeza.

Basi mkono wangu ukaniletea wokovu,*+

Na ghadhabu yangu mwenyewe ikanitegemeza.

 6 Niliwakanyaga watu kwa hasira yangu,

Niliwalewesha kwa ghadhabu yangu+

Niliimwaga damu yao ardhini.”

 7 Nitayataja matendo ya Yehova ya upendo mshikamanifu,

Matendo ya Yehova yanayostahili sifa,

Kwa sababu ya mambo yote ambayo Yehova ametutendea,+

Mambo mengi mema ambayo ameitendea nyumba ya Israeli,

Kulingana na rehema zake na upendo wake mshikamanifu ulio mwingi.

 8 Kwa maana alisema: “Kwa hakika hawa ni watu wangu, wana ambao hawatakosa kuwa washikamanifu.”*+

Basi akawa Mwokozi wao.+

 9 Katika taabu zao zote, yeye alitaabika.+

Na mjumbe wake binafsi* akawaokoa.+

Kwa upendo na huruma yake aliwakomboa,+

Naye aliwainua na kuwabeba siku zote za zamani.+

10 Lakini waliasi+ na kuihuzunisha roho yake takatifu.+

Naye akageuka na kuwa adui yao,+

Naye akawapiga vita.+

11 Nao wakazikumbuka siku za zamani,

Siku za Musa mtumishi wake:

“Yuko wapi Yule aliyewapandisha kutoka katika bahari+ pamoja na wachungaji wa kundi lake?+

Yuko wapi Yule aliyetia ndani yake roho Yake takatifu,+

12 Yule aliyeufanya mkono Wake mtukufu uende pamoja na mkono wa kulia wa Musa,+

Yule aliyeyatenganisha maji mbele yao+

Ili kujifanyia jina la milele,+

13 Yule aliyewafanya watembee katika maji yenye mawimbi makubwa,*

Hivi kwamba wakatembea bila kujikwaa,

Kama farasi katika nchi iliyo wazi?*

14 Kama mifugo wanavyoteremka katika bonde tambarare,

Ndivyo roho ya Yehova ilivyowapumzisha.”+

Hivyo ndivyo ulivyowaongoza watu wako,

Ili ujijengee jina kuu.*+

15 Tazama kutoka mbinguni uone

Kutoka kwenye makao yako yaliyoinuliwa ya utakatifu na utukufu.*

Iko wapi bidii yako na nguvu zako,

Shauku ya huruma*+ na rehema yako?+

Zimeondolewa kwangu.

16 Kwa maana wewe ni Baba yetu;+

Ingawa huenda Abrahamu asitujue

Na huenda Israeli asitutambue,

Wewe, Ee Yehova, ni Baba yetu.

Mkombozi wetu wa zamani za kale ndilo jina lako.+

17 Kwa nini, Ee Yehova, unaruhusu* tutangetange kutoka kwenye njia zako?

Kwa nini unaruhusu* mioyo yetu iwe migumu ili tusikuogope?+

Rudi, kwa ajili ya watumishi wako,

Makabila ya urithi wako.+

18 Watu wako watakatifu waliimiliki kwa muda mfupi.

Maadui wetu walipakanyaga-kanyaga mahali pako patakatifu.+

19 Kwa muda mrefu sana tumekuwa kama watu ambao hukuwatawala kamwe,

Kama watu ambao hawakuitwa kamwe kwa jina lako.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki