Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 4
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mathayo—Yaliyomo

      • Ibilisi amjaribu Yesu (1-11)

      • Yesu aanza kuhubiri Galilaya (12-17)

      • Wanafunzi wa kwanza wachaguliwa (18-22)

      • Yesu ahubiri, afundisha, na kuponya (23-25)

Mathayo 4:1

Marejeo

  • +Ebr 4:15
  • +Mk 1:12, 13; Lu 4:1-4

Mathayo 4:3

Marejeo

  • +1Th 3:5

Mathayo 4:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Kum 8:3; Lu 4:4; Yoh 4:34

Mathayo 4:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ukuta wa ukingoni; sehemu ya juu zaidi.”

Marejeo

  • +Ne 11:1; Isa 52:1
  • +Lu 4:9-12

Mathayo 4:6

Marejeo

  • +Zb 91:11, 12

Mathayo 4:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Kum 6:16; Lu 4:12; 1Ko 10:9

Mathayo 4:8

Marejeo

  • +Lu 4:5-8

Mathayo 4:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Ufu 22:9
  • +Kum 6:13; 10:20; Lu 4:8

Mathayo 4:11

Marejeo

  • +Lu 4:13; Yak 4:7
  • +Lu 22:43; Ebr 1:7, 14

Mathayo 4:12

Marejeo

  • +Mk 6:17, 18; Lu 3:19, 20
  • +Mk 1:14; Lu 4:14

Mathayo 4:13

Marejeo

  • +Lu 4:31

Mathayo 4:16

Marejeo

  • +Yoh 1:9
  • +Isa 9:1, 2

Mathayo 4:17

Marejeo

  • +Mt 10:7; Mk 1:14, 15

Mathayo 4:18

Marejeo

  • +Yoh 1:42
  • +Mk 1:16-18

Mathayo 4:19

Marejeo

  • +Lu 5:10, 11

Mathayo 4:20

Marejeo

  • +Mk 10:28; Lu 18:28

Mathayo 4:21

Marejeo

  • +Mt 10:2; 27:55, 56; Mk 3:17; 10:35; Yoh 21:2
  • +Mk 1:19, 20

Mathayo 4:23

Marejeo

  • +Mt 9:35; Mk 1:39; 6:6
  • +Lu 4:16; Mdo 13:13, 14
  • +Lu 9:11; Mdo 10:37, 38

Mathayo 4:24

Marejeo

  • +Mk 6:55
  • +Mk 1:32; Mdo 5:16
  • +Mt 17:15

Mathayo 4:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Eneo lenye Majiji Kumi.”

Jumla

Mt. 4:1Ebr 4:15
Mt. 4:1Mk 1:12, 13; Lu 4:1-4
Mt. 4:31Th 3:5
Mt. 4:4Kum 8:3; Lu 4:4; Yoh 4:34
Mt. 4:5Ne 11:1; Isa 52:1
Mt. 4:5Lu 4:9-12
Mt. 4:6Zb 91:11, 12
Mt. 4:7Kum 6:16; Lu 4:12; 1Ko 10:9
Mt. 4:8Lu 4:5-8
Mt. 4:10Ufu 22:9
Mt. 4:10Kum 6:13; 10:20; Lu 4:8
Mt. 4:11Lu 4:13; Yak 4:7
Mt. 4:11Lu 22:43; Ebr 1:7, 14
Mt. 4:12Mk 6:17, 18; Lu 3:19, 20
Mt. 4:12Mk 1:14; Lu 4:14
Mt. 4:13Lu 4:31
Mt. 4:16Yoh 1:9
Mt. 4:16Isa 9:1, 2
Mt. 4:17Mt 10:7; Mk 1:14, 15
Mt. 4:18Yoh 1:42
Mt. 4:18Mk 1:16-18
Mt. 4:19Lu 5:10, 11
Mt. 4:20Mk 10:28; Lu 18:28
Mt. 4:21Mt 10:2; 27:55, 56; Mk 3:17; 10:35; Yoh 21:2
Mt. 4:21Mk 1:19, 20
Mt. 4:23Mt 9:35; Mk 1:39; 6:6
Mt. 4:23Lu 4:16; Mdo 13:13, 14
Mt. 4:23Lu 9:11; Mdo 10:37, 38
Mt. 4:24Mk 6:55
Mt. 4:24Mk 1:32; Mdo 5:16
Mt. 4:24Mt 17:15
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Mathayo 4:1-25

Kulingana na Mathayo

4 Ndipo Yesu akaongozwa na roho kuingia nyikani ili akajaribiwe+ na Ibilisi.+ 2 Baada ya kufunga kwa siku 40, mchana na usiku, akahisi njaa. 3 Naye Mjaribu+ akaja na kumwambia: “Ikiwa wewe ni mwana wa Mungu, yaambie mawe haya yawe mikate.” 4 Lakini akajibu: “Imeandikwa: ‘Mwanadamu hataishi kwa mkate tu, bali kwa kila neno linalotoka katika kinywa cha Yehova.’”*+

5 Ndipo Ibilisi akampeleka kwenye lile jiji takatifu,+ akamsimamisha juu ya mnara* wa hekalu+ 6 na kumwambia: “Ikiwa wewe ni mwana wa Mungu, jitupe chini, kwa maana imeandikwa: ‘Atawaagiza malaika zake kukuhusu wewe,’ nao ‘Watakubeba mikononi mwao, ili mguu wako usigonge jiwe.’”+ 7 Yesu akamwambia: “Tena imeandikwa: ‘Usimjaribu Yehova* Mungu wako.’”+

8 Tena Ibilisi akampeleka Yesu kwenye mlima mrefu sana, akamwonyesha falme zote za ulimwengu na utukufu wazo.+ 9 Naye akamwambia: “Nitakupa vitu hivi vyote ukianguka chini na kunifanyia tendo la ibada.” 10 Ndipo Yesu akamwambia: “Nenda zako, Shetani! Kwa maana imeandikwa: ‘Yehova* Mungu wako ndiye unayepaswa kumwabudu,+ na yeye peke yake ndiye unayepaswa kumtolea utumishi mtakatifu.’”+ 11 Ndipo Ibilisi akamwacha,+ na tazama! malaika wakaja na kuanza kumhudumia.+

12 Yesu aliposikia kwamba Yohana alikuwa amekamatwa,+ akaenda Galilaya.+ 13 Isitoshe, baada ya kuondoka Nazareti, akaenda kukaa Kapernaumu+ kando ya bahari katika wilaya za Zabuloni na Naftali, 14 ili kutimiza maneno haya yaliyosemwa kupitia nabii Isaya, aliyesema: 15 “Ewe nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali, kando ya barabara ya bahari, ng’ambo ya Yordani, katika Galilaya ya mataifa! 16 Watu wanaokaa katika giza waliona nuru kuu, na wale wanaokaa katika eneo la kivuli cha kifo, nuru+ iliwaangazia.”+ 17 Tangu wakati huo, Yesu alianza kuhubiri na kusema: “Tubuni, kwa maana Ufalme wa mbinguni umekaribia.”+

18 Alipokuwa akitembea kando ya bahari ya Galilaya aliwaona ndugu wawili, Simoni, anayeitwa Petro,+ na Andrea ndugu yake, wakishusha wavu baharini, kwa maana walikuwa wavuvi.+ 19 Akawaambia: “Nifuateni, nami nitawafanya muwe wavuvi wa watu.”+ 20 Mara moja wakaziacha nyavu zao na kumfuata.+ 21 Alipoenda mbele kidogo akawaona ndugu wengine wawili, Yakobo na Yohana wana wa Zebedayo.+ Walikuwa kwenye mashua pamoja na baba yao Zebedayo wakitengeneza nyavu zao, naye akawaita.+ 22 Mara moja wakaacha ile mashua na baba yao, wakamfuata.

23 Kisha akaenda katika Galilaya yote,+ akifundisha katika masinagogi+ yao na kuhubiri habari njema ya Ufalme na kuwaponya watu kila aina ya ugonjwa na kila aina ya udhaifu.+ 24 Na habari kumhusu zikaenea katika Siria yote, nao wakamletea wote waliokuwa na magonjwa mbalimbali na walioteseka,+ wenye roho waovu+ na wenye kifafa+ na watu waliopooza, naye akawaponya. 25 Kwa hiyo, umati mkubwa ukamfuata kutoka Galilaya, Dekapoli,* Yerusalemu, Yudea, na ng’ambo ya Yordani.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki