Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mhubiri 8
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mhubiri—Yaliyomo

      • Mwanadamu asiye mkamilifu anapotawala (1-17)

        • Tii amri za mfalme (2-4)

        • Madhara ya utawala wa mwanadamu (9)

        • Hukumu isipotekelezwa upesi (11)

        • Ule, unywe, na kufurahia (15)

Mhubiri 8:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “maana ya jambo.”

Mhubiri 8:2

Marejeo

  • +Met 24:21, 22; Ro 13:1; Tit 3:1; 1Pe 2:13
  • +2Sa 5:3

Mhubiri 8:3

Marejeo

  • +Mhu 10:4
  • +1Fa 1:5, 7; Met 20:2

Mhubiri 8:4

Marejeo

  • +1Fa 2:24, 25

Mhubiri 8:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hukumu inayofaa.”

Marejeo

  • +Ro 13:5; 1Pe 3:13
  • +1Sa 24:12, 13; 26:8-10; Zb 37:7

Mhubiri 8:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hukumu yake.”

Marejeo

  • +Mhu 3:17

Mhubiri 8:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “pumzi, upepo.”

  • *

    Au labda, “uovu hauwezi kuwaokoa waovu.”

Marejeo

  • +Zb 89:48

Mhubiri 8:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kumdhuru; kumletea hasara.”

Marejeo

  • +Kut 1:13, 14; Mik 7:3

Mhubiri 8:10

Marejeo

  • +Met 10:7

Mhubiri 8:11

Marejeo

  • +Zb 10:4, 6
  • +1Sa 2:22, 23

Mhubiri 8:12

Marejeo

  • +Zb 34:9; 103:13; 112:1; Isa 3:10; 2Pe 2:9

Mhubiri 8:13

Marejeo

  • +Zb 37:10; Isa 57:21
  • +Ayu 24:24

Mhubiri 8:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “linalovunja moyo.”

Marejeo

  • +Mhu 7:15
  • +Zb 37:7; 73:12

Mhubiri 8:15

Marejeo

  • +Zb 100:2
  • +Mhu 2:24; 3:12, 13

Mhubiri 8:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kazi.”

  • *

    Au labda, “kwamba watu hawalali mchana wala usiku.”

Marejeo

  • +Mhu 1:13; 7:25

Mhubiri 8:17

Marejeo

  • +Mhu 3:11; Ro 11:33
  • +Ayu 28:12; Mhu 7:24; 11:5

Jumla

Mhu. 8:2Met 24:21, 22; Ro 13:1; Tit 3:1; 1Pe 2:13
Mhu. 8:22Sa 5:3
Mhu. 8:3Mhu 10:4
Mhu. 8:31Fa 1:5, 7; Met 20:2
Mhu. 8:41Fa 2:24, 25
Mhu. 8:5Ro 13:5; 1Pe 3:13
Mhu. 8:51Sa 24:12, 13; 26:8-10; Zb 37:7
Mhu. 8:6Mhu 3:17
Mhu. 8:8Zb 89:48
Mhu. 8:9Kut 1:13, 14; Mik 7:3
Mhu. 8:10Met 10:7
Mhu. 8:11Zb 10:4, 6
Mhu. 8:111Sa 2:22, 23
Mhu. 8:12Zb 34:9; 103:13; 112:1; Isa 3:10; 2Pe 2:9
Mhu. 8:13Zb 37:10; Isa 57:21
Mhu. 8:13Ayu 24:24
Mhu. 8:14Mhu 7:15
Mhu. 8:14Zb 37:7; 73:12
Mhu. 8:15Zb 100:2
Mhu. 8:15Mhu 2:24; 3:12, 13
Mhu. 8:16Mhu 1:13; 7:25
Mhu. 8:17Mhu 3:11; Ro 11:33
Mhu. 8:17Ayu 28:12; Mhu 7:24; 11:5
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Mhubiri 8:1-17

Mhubiri

8 Ni nani aliye kama mwenye hekima? Ni nani anayejua suluhisho la tatizo?* Hekima ya mtu huutia nuru uso wake na kuilainisha sura yake ngumu.

2 Nasema: “Tii maagizo ya mfalme+ kwa sababu ya kiapo chako kwa Mungu.+ 3 Usifanye haraka kuondoka mbele ya mfalme.+ Usitetee jambo lolote baya;+ kwa kuwa anaweza kufanya jambo lolote apendalo, 4 kwa sababu neno la mfalme ni uamuzi wa mwisho;+ ni nani anayeweza kumuuliza: ‘Unafanya nini?’”

5 Mtu anayeshika amri hatapata madhara,+ na moyo wenye hekima utajua wakati unaofaa na utaratibu unaofaa.*+ 6 Kwa maana kila jambo lina wakati wake na utaratibu wake,*+ kwa sababu matatizo ya wanadamu ni mengi sana. 7 Kwa kuwa hakuna mtu anayejua litakalotukia, ni nani anayeweza kumwambia jinsi litakavyotukia?

8 Kama vile ambavyo hakuna mtu aliye na nguvu juu ya roho* au anayeweza kuizuia roho, vivyo hivyo hakuna yeyote aliye na nguvu juu ya siku ya kufa.+ Kama vile ambavyo hakuna yeyote anayeruhusiwa kurudi nyumbani wakati wa vita, vivyo hivyo uovu hautawaruhusu wale wanaozoea kuutenda waponyoke.*

9 Hayo yote nimeyaona, nami nimetafakari moyoni mwangu kila kazi ambayo imefanywa chini ya jua, wakati ambapo mwanadamu amemtawala mwanadamu mwenzake kwa kumuumiza.*+ 10 Nami nikaona waovu wakizikwa, wale waliokuwa wakiingia na kutoka mahali patakatifu, lakini walisahauliwa upesi katika jiji ambalo walitenda hivyo.+ Hili pia ni ubatili.

11 Kwa sababu hukumu dhidi ya tendo ovu haijatekelezwa upesi,+ moyo wa wanadamu hupata ujasiri wa kutenda uovu.+ 12 Ingawa huenda mwovu akatenda uovu mara mia moja na bado aishi kwa muda mrefu, hata hivyo ninajua kwamba mambo yatawaendea vyema wale wanaomwogopa Mungu wa kweli, kwa sababu wanamwogopa.+ 13 Lakini mambo hayatamwendea vyema mwovu,+ wala hatarefusha siku zake zilizo kama kivuli,+ kwa sababu hamwogopi Mungu.

14 Kuna jambo la ubatili* ambalo hutukia duniani: Kuna watu waadilifu wanaotendewa kana kwamba walikuwa wametenda uovu,+ na kuna watu waovu wanaotendewa kana kwamba walikuwa wametenda uadilifu.+ Nasema kwamba hili pia ni ubatili.

15 Basi nikapendekeza kushangilia,+ kwa sababu hakuna jambo bora kwa mwanadamu chini ya jua kuliko kula na kunywa na kushangilia; mambo hayo yanapaswa kufuatana naye anapofanya kazi kwa bidii sikuzote za maisha yake,+ ambazo Mungu wa kweli anampa chini ya jua.

16 Nilijitahidi sana ili moyo wangu upate hekima na ili nione shughuli* zote zinazofanywa duniani,+ hata nilikosa usingizi usiku na mchana.* 17 Kisha nikatafakari kazi yote ya Mungu wa kweli, nikatambua kwamba wanadamu hawawezi kufahamu kinachotukia chini ya jua.+ Hata wanadamu wakijitahidi kadiri gani, hawawezi kuifahamu. Hata wakidai kwamba wana hekima ya kutosha kujua, kwa kweli hawawezi kuifahamu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki