Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mwanzo—Yaliyomo

      • Agano kati ya Mungu na Abramu (1-21)

        • Miaka 400 ya mateso yatabiriwa (13)

        • Mungu arudia ahadi aliyompa Abramu (18-21)

Mwanzo 15:1

Marejeo

  • +Zb 27:1; Isa 41:10; Ro 8:31; Ebr 13:6
  • +Kum 33:29; Met 30:5
  • +Mwa 17:5, 6

Mwanzo 15:2

Marejeo

  • +Mwa 24:2, 3

Mwanzo 15:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu yoyote.”

  • *

    Tnn., “mwana.”

Marejeo

  • +Mwa 12:7; Mdo 7:5

Mwanzo 15:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “yule anayetoka katika sehemu zako za ndani.”

Marejeo

  • +Mwa 17:15, 16; 21:12

Mwanzo 15:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “itakavyokuwa mbegu yako.”

Marejeo

  • +Mwa 22:17; Kum 1:10; Ro 4:18; Ebr 11:12

Mwanzo 15:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “akamhesabia uadilifu.”

Marejeo

  • +Ebr 11:8
  • +Ro 4:13, 22; Gal 3:6; Yak 2:23

Mwanzo 15:7

Marejeo

  • +Mwa 11:31; Ne 9:7

Mwanzo 15:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “na kuweka kila kipande ili kilingane na cha pili.”

Mwanzo 15:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu.”

Marejeo

  • +Mwa 21:9; Kut 1:13, 14; 3:7; Mdo 7:6, 7

Mwanzo 15:14

Marejeo

  • +Kut 7:4; Hes 33:4
  • +Kut 3:22; Zb 105:37

Mwanzo 15:15

Marejeo

  • +Mwa 25:8

Mwanzo 15:16

Marejeo

  • +Yos 14:1; Mdo 7:7
  • +1Fa 21:26; 2Fa 21:11

Mwanzo 15:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nitaipa mbegu yako.”

Marejeo

  • +Mwa 17:19; 22:17
  • +Kut 3:8
  • +1Fa 4:21

Mwanzo 15:19

Marejeo

  • +1Sa 15:6

Mwanzo 15:20

Marejeo

  • +Yos 1:4
  • +Kut 3:17
  • +Yos 17:15

Mwanzo 15:21

Marejeo

  • +Kum 7:1

Jumla

Mwa. 15:1Zb 27:1; Isa 41:10; Ro 8:31; Ebr 13:6
Mwa. 15:1Kum 33:29; Met 30:5
Mwa. 15:1Mwa 17:5, 6
Mwa. 15:2Mwa 24:2, 3
Mwa. 15:3Mwa 12:7; Mdo 7:5
Mwa. 15:4Mwa 17:15, 16; 21:12
Mwa. 15:5Mwa 22:17; Kum 1:10; Ro 4:18; Ebr 11:12
Mwa. 15:6Ebr 11:8
Mwa. 15:6Ro 4:13, 22; Gal 3:6; Yak 2:23
Mwa. 15:7Mwa 11:31; Ne 9:7
Mwa. 15:13Mwa 21:9; Kut 1:13, 14; 3:7; Mdo 7:6, 7
Mwa. 15:14Kut 7:4; Hes 33:4
Mwa. 15:14Kut 3:22; Zb 105:37
Mwa. 15:15Mwa 25:8
Mwa. 15:16Yos 14:1; Mdo 7:7
Mwa. 15:161Fa 21:26; 2Fa 21:11
Mwa. 15:18Mwa 17:19; 22:17
Mwa. 15:18Kut 3:8
Mwa. 15:181Fa 4:21
Mwa. 15:191Sa 15:6
Mwa. 15:20Yos 1:4
Mwa. 15:20Kut 3:17
Mwa. 15:20Yos 17:15
Mwa. 15:21Kum 7:1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Mwanzo 15:1-21

Mwanzo

15 Baada ya hayo neno la Yehova likamjia Abramu katika maono, likisema: “Usiogope,+ Abramu. Mimi ni ngao yako.+ Thawabu yako itakuwa kubwa sana.”+ 2 Abramu akasema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, utanipa nini, kwa sababu mpaka sasa sina mtoto na yule atakayerithi nyumba yangu ni Eliezeri,+ mtu wa Damasko?” 3 Abramu akaendelea kusema: “Hujanipa uzao wowote,*+ na mtu* wa nyumba yangu atakuwa mrithi wangu.” 4 Lakini tazama! Yehova akamjibu hivi: “Mtu huyu hatakuwa mrithi wako, lakini mwana wako mwenyewe* atakuwa mrithi wako.”+

5 Ndipo akamtoa nje na kumwambia: “Tafadhali, tazama juu mbinguni uzihesabu nyota, ikiwa unaweza kuzihesabu.” Kisha akamwambia: “Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.”*+ 6 Naye akawa na imani katika Yehova,+ Naye akamhesabu kuwa mwadilifu.*+ 7 Pia akasema hivi: “Mimi ni Yehova, niliyekutoa katika jiji la Uru la Wakaldayo ili nikupe nchi hii iwe miliki yako.”+ 8 Ndipo Abramu akauliza: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, nitajuaje kwamba nitaimiliki?” 9 Mungu akamjibu: “Chukua kwa ajili yangu ndama jike wa miaka mitatu, mbuzi jike wa miaka mitatu, kondoo dume wa miaka mitatu, njiwa tetere, na njiwa mchanga.” 10 Basi akawachukua wote hao na kuwakata vipande viwili na kuweka kila kipande kando ya kipande cha pili,* lakini hakuwakata ndege. 11 Kisha ndege wawindaji wakaanza kushuka juu ya mizoga hiyo, lakini Abramu akawa akiwafukuza.

12 Jua lilipokaribia kutua, usingizi mzito ukamshika Abramu na giza zito lenye kuogopesha likamfunika. 13 Kisha Mungu akamwambia Abramu: “Ujue kwa hakika kwamba wazao* wako watakuwa wageni katika nchi ambayo si yao na kwamba watu wa nchi hiyo watawafanya kuwa watumwa na kuwatesa kwa miaka 400.+ 14 Lakini mimi nitalihukumu taifa watakalolitumikia,+ na baada ya hapo watatoka huko na mali nyingi.+ 15 Lakini wewe, utaenda kwa mababu zako kwa amani; utazikwa baada ya kuishi maisha marefu.+ 16 Lakini wazao wako watarudi hapa+ katika kizazi cha nne, kwa sababu uovu wa Waamori bado haujafikia kipimo chake kamili.”+

17 Jua lilipotua na giza zito kuingia, tanuru linalofuka moshi lilitokea, na mwenge wa moto ukapita katikati ya vile vipande vya nyama. 18 Siku hiyo Yehova alifanya agano+ pamoja na Abramu, akisema: “Nitaupa uzao wako* nchi hii,+ kuanzia mto wa Misri mpaka kwenye ule mto mkubwa, mto Efrati:+ 19 nchi ya Wakeni,+ Wakenizi, Wakadmoni, 20 Wahiti,+ Waperizi,+ Warefaimu,+ 21 Waamori, Wakanaani, Wagirgashi, na Wayebusi.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki