Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 4
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Waroma—Yaliyomo

      • Abrahamu alitangazwa kuwa mwadilifu kupitia imani (1-12)

        • Abrahamu, baba ya wale walio na imani (11)

      • Kupokea ahadi kupitia imani (13-25)

Waroma 4:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Mwa 15:6; Gal 3:6; Yak 2:23

Waroma 4:5

Marejeo

  • +Gal 2:15, 16

Waroma 4:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “zimesamehewa.”

Waroma 4:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Zb 32:1, 2

Waroma 4:9

Marejeo

  • +Ro 3:30
  • +Ro 4:3

Waroma 4:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “dhamana ya; uhakikisho wa.”

Marejeo

  • +Mwa 17:1, 2, 11
  • +Ro 4:16; Gal 3:7

Waroma 4:12

Marejeo

  • +Gal 3:29

Waroma 4:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu yake.”

Marejeo

  • +Mwa 12:1-3; 17:5, 6; 22:17, 18
  • +Ebr 11:8

Waroma 4:15

Marejeo

  • +Ro 3:20; 5:20; 2Ko 3:7
  • +Ro 5:13

Waroma 4:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu yake.”

Marejeo

  • +Ro 3:24
  • +Ro 9:8; Gal 3:29
  • +Ro 4:11

Waroma 4:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “anafanya vitu visivyokuwapo viwepo.”

Marejeo

  • +Mwa 17:5

Waroma 4:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu yako.”

Marejeo

  • +Mwa 15:5; Ebr 11:17, 18

Waroma 4:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hali ya kuwa tasa.”

Marejeo

  • +Mwa 17:17
  • +Mwa 18:11; Ebr 11:11, 12

Waroma 4:21

Marejeo

  • +Ebr 11:19

Waroma 4:22

Marejeo

  • +Mwa 15:6; Yak 2:23

Waroma 4:23

Marejeo

  • +Ro 15:4

Waroma 4:24

Marejeo

  • +Mdo 2:24; 13:30; 1Pe 1:21

Waroma 4:25

Marejeo

  • +Mt 20:28
  • +Isa 53:11, 12; 2Ko 5:21

Jumla

Rom. 4:3Mwa 15:6; Gal 3:6; Yak 2:23
Rom. 4:5Gal 2:15, 16
Rom. 4:8Zb 32:1, 2
Rom. 4:9Ro 3:30
Rom. 4:9Ro 4:3
Rom. 4:11Mwa 17:1, 2, 11
Rom. 4:11Ro 4:16; Gal 3:7
Rom. 4:12Gal 3:29
Rom. 4:13Mwa 12:1-3; 17:5, 6; 22:17, 18
Rom. 4:13Ebr 11:8
Rom. 4:15Ro 3:20; 5:20; 2Ko 3:7
Rom. 4:15Ro 5:13
Rom. 4:16Ro 3:24
Rom. 4:16Ro 9:8; Gal 3:29
Rom. 4:16Ro 4:11
Rom. 4:17Mwa 17:5
Rom. 4:18Mwa 15:5; Ebr 11:17, 18
Rom. 4:19Mwa 17:17
Rom. 4:19Mwa 18:11; Ebr 11:11, 12
Rom. 4:21Ebr 11:19
Rom. 4:22Mwa 15:6; Yak 2:23
Rom. 4:23Ro 15:4
Rom. 4:24Mdo 2:24; 13:30; 1Pe 1:21
Rom. 4:25Mt 20:28
Rom. 4:25Isa 53:11, 12; 2Ko 5:21
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Waroma 4:1-25

Kwa Waroma

4 Ikiwa ni hivyo, tutasema alipata faida gani Abrahamu, babu yetu kulingana na mwili? 2 Kwa mfano, ikiwa Abrahamu alitangazwa kuwa mwadilifu kwa sababu ya matendo, angekuwa na sababu ya kujisifu, lakini si mbele za Mungu. 3 Kwani andiko linasema nini? “Abrahamu alikuwa na imani katika Yehova,* na hilo likahesabiwa kwake kuwa uadilifu.”+ 4 Basi kwa mtu anayefanya kazi, malipo yake hayahesabiwi kuwa fadhili zisizostahiliwa bali ni deni. 5 Kwa upande mwingine, mtu asiyefanya kazi bali anaweka imani katika Yule anayemtangaza kuwa mwadilifu mtu asiyemwogopa Mungu, imani yake inahesabiwa kuwa ni uadilifu.+ 6 Kama vile Daudi pia anavyosema kuhusu furaha ya mtu ambaye Mungu humhesabu kuwa mwadilifu bila matendo: 7 “Wenye furaha ni wale ambao matendo yao ya kuasi sheria yamesamehewa na ambao dhambi zao zimefunikwa;* 8 mwenye furaha ni mtu ambaye Yehova* hatahesabu dhambi yake kamwe.”+

9 Basi, je, furaha hiyo huja tu kwa watu waliotahiriwa au pia kwa watu wasiotahiriwa?+ Kwa maana tunasema: “Imani ya Abrahamu ilihesabiwa kwake kuwa uadilifu.”+ 10 Basi, ilihesabiwa kuwa uadilifu chini ya hali gani? Alipokuwa ametahiriwa au kabla ya kutahiriwa? Ni kabla ya kutahiriwa. 11 Naye alipokea ishara+—yaani, kutahiriwa—kuwa muhuri wa* uadilifu kwa imani aliyokuwa nayo alipokuwa katika hali yake ya kutotahiriwa, ili awe baba ya wale wote walio na imani+ ingawa hawajatahiriwa, kusudi wahesabiwe kuwa waadilifu; 12 na ili awe baba ya uzao uliotahiriwa, si kwa wale tu wanaoshikamana na kutahiriwa, bali pia kwa wale wanaotembea kwa utaratibu katika hatua za imani ambayo baba yetu Abrahamu+ alikuwa nayo katika hali ya kutotahiriwa.

13 Kwa maana Abrahamu au uzao wake* hawakupata ahadi kwamba atakuwa mrithi wa ulimwengu kupitia sheria,+ bali kupitia uadilifu kwa imani.+ 14 Kwa maana ikiwa wale wanaoshika sheria ni warithi, imani inakuwa isiyofaa kitu na ahadi imefutwa. 15 Kwa kweli Sheria hutokeza ghadhabu,+ lakini pasipo na sheria, hakuna kosa lolote.+

16 Ndiyo sababu ni kupitia imani, ili iwe kulingana na fadhili zisizostahiliwa,+ kusudi ahadi iwe hakika kwa uzao wake* wote,+ si kwa wale tu wanaoshika Sheria, bali pia kwa wale wanaoshika imani ya Abrahamu, ambaye ni baba yetu sote.+ 17 (Kama tu ilivyoandikwa: “Nimekuweka uwe baba ya mataifa mengi.”)+ Hili lilikuwa machoni pa Mungu, ambaye Abrahamu alimwamini, anayewafanya wafu kuwa hai na kuyaita mambo yasiyokuwako kana kwamba yako.* 18 Ingawa hakukuwa na tumaini, lakini kwa kutegemea tumaini, alikuwa na imani kwamba angekuwa baba ya mataifa mengi kulingana na yale yaliyokuwa yamesemwa: “Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.”*+ 19 Na ingawa imani yake haikudhoofika, alifikiria mwili wake mwenyewe, sasa ukiwa kama tayari umekufa (kwa kuwa alikuwa na umri wa karibu miaka 100),+ na pia hali ya kufa* ya tumbo la uzazi la Sara.+ 20 Lakini kwa sababu ya ahadi ya Mungu, yeye hakusitasita kwa kukosa imani; bali alikuwa mwenye nguvu kwa imani yake, akimpa Mungu utukufu 21 na akiwa na uhakika kamili kwamba Mungu alikuwa na uwezo wa kutimiza kile alichoahidi.+ 22 Kwa hiyo “ikahesabiwa kwake kuwa uadilifu.”+

23 Hata hivyo, maneno “ilihesabiwa kwake” hayakuandikwa kwa ajili yake tu,+ 24 bali pia kwa ajili yetu ambao itahesabiwa, kwa sababu tunamwamini Yeye aliyemfufua Yesu Bwana wetu kutoka kwa wafu.+ 25 Alitolewa kwa ajili ya makosa yetu+ na kufufuliwa kwa ajili ya kututangaza sisi kuwa waadilifu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki