Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 77
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Sala ya wakati wa taabu

        • Kutafakari kazi za Mungu (11, 12)

        • ‘Ee Mungu, ni nani aliye mkuu kama wewe?’ (13)

Zaburi 77:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +2Nya 35:15

Zaburi 77:1

Marejeo

  • +Zb 34:6; Met 15:29

Zaburi 77:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “bila kufa ganzi.”

  • *

    Au “Nafsi yangu haiwezi.”

Marejeo

  • +Zb 18:6; 50:15

Zaburi 77:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “roho yangu inazimia.”

Marejeo

  • +Zb 42:5
  • +Zb 143:4

Zaburi 77:5

Marejeo

  • +Zb 143:5; Isa 51:9

Zaburi 77:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “muziki wangu wa nyuzi.”

  • *

    Tnn., “Roho yangu inatafuta.”

Marejeo

  • +Zb 42:8
  • +Zb 77:12

Zaburi 77:7

Marejeo

  • +Zb 74:1
  • +Zb 79:5

Zaburi 77:9

Marejeo

  • +Isa 49:14; 63:15

Zaburi 77:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “linalonichoma.”

  • *

    Tnn., “amebadili mkono wake wa kuume dhidi yetu.”

Marejeo

  • +Zb 31:22

Zaburi 77:12

Marejeo

  • +1Nya 16:9; Zb 143:5

Zaburi 77:13

Marejeo

  • +Kut 15:11; Zb 89:8

Zaburi 77:14

Marejeo

  • +Zb 72:18; Ufu 15:3
  • +Kut 9:16; Isa 52:10; Da 3:29; 6:26, 27

Zaburi 77:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mkono wako.”

  • *

    Tnn., “umewakomboa.”

Marejeo

  • +Kut 6:6; Kum 9:29

Zaburi 77:16

Marejeo

  • +Kut 14:21; Yos 3:16; Zb 114:1-3

Zaburi 77:17

Marejeo

  • +2Sa 22:15; Zb 144:6

Zaburi 77:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ardhi inayozaa.”

Marejeo

  • +Zb 29:3
  • +Zb 97:4
  • +Kut 19:18; 2Sa 22:8

Zaburi 77:19

Marejeo

  • +Ne 9:10, 11; Hab 3:15

Zaburi 77:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Kwa mkono.”

Marejeo

  • +Kut 13:21; Zb 78:52
  • +Isa 63:11; Mdo 7:35, 36

Jumla

Zab. 77:utangulizi2Nya 35:15
Zab. 77:1Zb 34:6; Met 15:29
Zab. 77:2Zb 18:6; 50:15
Zab. 77:3Zb 42:5
Zab. 77:3Zb 143:4
Zab. 77:5Zb 143:5; Isa 51:9
Zab. 77:6Zb 42:8
Zab. 77:6Zb 77:12
Zab. 77:7Zb 74:1
Zab. 77:7Zb 79:5
Zab. 77:9Isa 49:14; 63:15
Zab. 77:10Zb 31:22
Zab. 77:121Nya 16:9; Zb 143:5
Zab. 77:13Kut 15:11; Zb 89:8
Zab. 77:14Zb 72:18; Ufu 15:3
Zab. 77:14Kut 9:16; Isa 52:10; Da 3:29; 6:26, 27
Zab. 77:15Kut 6:6; Kum 9:29
Zab. 77:16Kut 14:21; Yos 3:16; Zb 114:1-3
Zab. 77:172Sa 22:15; Zb 144:6
Zab. 77:18Zb 29:3
Zab. 77:18Zb 97:4
Zab. 77:18Kut 19:18; 2Sa 22:8
Zab. 77:19Ne 9:10, 11; Hab 3:15
Zab. 77:20Kut 13:21; Zb 78:52
Zab. 77:20Isa 63:11; Mdo 7:35, 36
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 77:1-20

Zaburi

Kwa kiongozi; mtindo wa Yeduthuni.* Muziki wa Asafu.+

77 Kwa sauti yangu nitamlilia Mungu;

Nitamlilia Mungu kwa sauti kubwa, naye atanisikia.+

 2 Katika siku ya taabu yangu ninamtafuta Yehova.+

Usiku ninamnyooshea mikono yangu bila kuacha.*

Siwezi* kufarijiwa.

 3 Ninapomkumbuka Mungu, ninalia kwa maumivu;+

Ninataabika na nguvu zangu zinaniishia.*+ (Sela)

 4 Unazishika kope zangu ili nisifumbe macho;

Nimefadhaika, nami siwezi kuongea.

 5 Mawazo yangu yanarudi katika siku za zamani za kale,+

Miaka mingi iliyopita.

 6 Wakati wa usiku ninaukumbuka wimbo wangu;*+

Ninatafakari moyoni mwangu;+

Ninatafuta* kwa bidii.

 7 Je, Yehova atatutupa mbali milele?+

Je, hatatuonyesha tena kamwe kibali chake?+

 8 Je, upendo wake mshikamanifu utakoma milele?

Je, ahadi yake itakosa kutimia katika vizazi vyote?

 9 Je, Mungu amesahau kuonyesha kibali chake,+

Au je, hasira yake imekomesha rehema yake? (Sela)

10 Je, ni lazima niendelee kusema: “Hili ndilo linalonitaabisha:*+

Aliye Juu Zaidi amebadili msimamo wake kutuelekea”?*

11 Nitazikumbuka kazi za Yah;

Nitayakumbuka matendo yako yanayostaajabisha ya zamani za kale.

12 Nitautafakari utendaji wako wote

Na kutafakari shughuli zako.+

13 Ee Mungu, njia zako ni takatifu.

Ee Mungu, ni mungu gani aliye mkuu kama wewe?+

14 Wewe ndiye Mungu wa kweli, unayetenda mambo yanayostaajabisha.+

Umeyafunulia mataifa nguvu zako.+

15 Kwa nguvu zako* umewaokoa* watu wako,+

Wana wa Yakobo na wa Yosefu. (Sela)

16 Maji yalikuona, Ee Mungu,

Maji yalikuona yakavurugika.+

Na vilindi vya maji vikatibuka.

17 Mawingu yakamwaga maji.

Anga lenye mawingu likanguruma,

Na mishale yako ikaruka huku na kule.+

18 Sauti ya mngurumo+ wako ilikuwa kama magurudumu ya gari la vita;

Mimweko ya radi iliangaza dunia inayokaliwa;*+

Dunia ilitikisika na kutetemeka.+

19 Njia yako ilipita baharini,+

Kijia chako kilipita katika maji mengi;

Lakini nyayo zako hazingeweza kuonekana.

20 Uliwaongoza watu wako kama kundi la kondoo,+

Chini ya uangalizi* wa Musa na Haruni.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki