Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 26
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Wimbo kuhusu tumaini na wokovu (1-21)

        • Yah Yehova, Mwamba wa milele (4)

        • Watu duniani watajifunza uadilifu (9)

        • “Wafu wako wataishi” (19)

        • Ingieni katika vyumba vya ndani mjifiche (20)

Isaya 26:1

Marejeo

  • +Kut 15:1; 2Sa 22:1; Isa 12:5
  • +Yer 33:10, 11
  • +Zb 48:2, 12
  • +Isa 60:18; Zek 2:4, 5

Isaya 26:2

Marejeo

  • +Isa 60:11

Isaya 26:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “wale ambao mwelekeo wao hautikisiki.”

Marejeo

  • +Zb 119:165; Isa 54:13; Flp 4:6, 7
  • +Zb 9:10; Yer 17:7

Isaya 26:4

Maelezo ya Chini

  • *

    “Yah” ni ufupisho wa jina Yehova.

Marejeo

  • +2Nya 20:20; Zb 62:8; Met 3:5
  • +Kum 32:4, 31

Isaya 26:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ni tambarare.”

Isaya 26:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Kwa nafsi zetu tunatamani.”

  • *

    Yaani, kwamba Mungu na jina lake likumbukwe, litangazwe.

Isaya 26:9

Marejeo

  • +Zb 63:6; 119:62; Lu 6:12
  • +Zb 9:8; 58:10, 11; 85:11, 13; 96:13; 97:2; Isa 61:11

Isaya 26:10

Marejeo

  • +Zb 106:43
  • +Yer 2:7; Ho. 11:7
  • +Zb 28:5; Isa 5:12

Isaya 26:11

Marejeo

  • +Isa 6:9

Isaya 26:12

Marejeo

  • +Isa 57:19; Yer 33:6, 7

Isaya 26:13

Marejeo

  • +2Nya 12:7, 8
  • +2Ti 2:19

Isaya 26:14

Marejeo

  • +Yer 51:39

Isaya 26:15

Marejeo

  • +Isa 60:21
  • +1Fa 4:21

Isaya 26:16

Marejeo

  • +Zb 78:34, 35; Ho. 5:15

Isaya 26:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Maiti yangu itaamka.”

  • *

    Au labda, “umande wa mimea (miholi).”

  • *

    Au “itawazaa wale waliokufa ambao hawana uwezo.”

Marejeo

  • +Isa 25:8; Ho. 13:14; Mk 12:26; Yoh 5:28, 29; 11:24, 25; Mdo 24:15; 1Ko 15:21; 1Th 4:14; Ufu 20:12, 13
  • +Mwa 3:19

Isaya 26:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “shutuma.”

Marejeo

  • +Mwa 7:15, 16; Kut 12:22, 23; Met 18:10
  • +Zb 27:5; 91:4

Jumla

Isa. 26:1Kut 15:1; 2Sa 22:1; Isa 12:5
Isa. 26:1Yer 33:10, 11
Isa. 26:1Zb 48:2, 12
Isa. 26:1Isa 60:18; Zek 2:4, 5
Isa. 26:2Isa 60:11
Isa. 26:3Zb 119:165; Isa 54:13; Flp 4:6, 7
Isa. 26:3Zb 9:10; Yer 17:7
Isa. 26:42Nya 20:20; Zb 62:8; Met 3:5
Isa. 26:4Kum 32:4, 31
Isa. 26:9Zb 63:6; 119:62; Lu 6:12
Isa. 26:9Zb 9:8; 58:10, 11; 85:11, 13; 96:13; 97:2; Isa 61:11
Isa. 26:10Zb 106:43
Isa. 26:10Yer 2:7; Ho. 11:7
Isa. 26:10Zb 28:5; Isa 5:12
Isa. 26:11Isa 6:9
Isa. 26:12Isa 57:19; Yer 33:6, 7
Isa. 26:132Nya 12:7, 8
Isa. 26:132Ti 2:19
Isa. 26:14Yer 51:39
Isa. 26:15Isa 60:21
Isa. 26:151Fa 4:21
Isa. 26:16Zb 78:34, 35; Ho. 5:15
Isa. 26:19Isa 25:8; Ho. 13:14; Mk 12:26; Yoh 5:28, 29; 11:24, 25; Mdo 24:15; 1Ko 15:21; 1Th 4:14; Ufu 20:12, 13
Isa. 26:19Mwa 3:19
Isa. 26:20Mwa 7:15, 16; Kut 12:22, 23; Met 18:10
Isa. 26:20Zb 27:5; 91:4
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 26:1-21

Isaya

26 Siku hiyo wimbo huu utaimbwa+ katika nchi ya Yuda:+

“Tuna jiji imara.+

Anaufanya wokovu uwe kuta zake na maboma yake.+

 2 Fungueni malango+ ili taifa la uadilifu liingie,

Taifa linalodumisha mwenendo wa uaminifu.

 3 Utawalinda wale wanaokutegemea kikamili;*

Utawapa amani inayodumu,+

Kwa sababu wanakutumaini wewe.+

 4 Mtumainini Yehova milele,+

Kwa maana Yah* Yehova ni Mwamba wa milele.+

 5 Kwa maana amewashusha chini wale wanaokaa juu, jiji lililoinuliwa.

Analiangusha chini,

Analiangusha chini duniani;

Analitupa chini mavumbini.

 6 Mguu utalikanyaga-kanyaga,

Miguu ya wanaoteseka, nyayo za watu wa hali ya chini.”

 7 Njia ya mwadilifu imenyooka.*

Kwa sababu wewe ni mnyoofu,

Utailainisha njia ya mwadilifu.

 8 Tunapofuata njia ya hukumu zako, Ee Yehova,

Tumaini letu liko kwako.

Tunatamani* sana jina lako na ukumbusho wako.*

 9 Usiku ninakutamani sana kwa nafsi yangu yote,

Naam, roho yangu inaendelea kukutafuta;+

Kwa maana hukumu zinapotoka kwako kwa ajili ya dunia,

Wakaaji wa nchi hujifunza kuhusu uadilifu.+

10 Hata mwovu akionyeshwa kibali,

Hatajifunza uadilifu.+

Hata katika nchi ya unyoofu, atatenda uovu,+

Naye hatauona ukuu wa Yehova.+

11 Ee Yehova, mkono wako umeinuliwa, lakini hawauoni.+

Wataona bidii yako kwa ajili ya watu wako na kuaibishwa.

Naam, moto uliokusudiwa maadui wako utawateketeza.

12 Ee Yehova, utatupatia amani,+

Kwa sababu kila kitu ambacho tumefanya

Ni wewe uliyetutimizia.

13 Ee Yehova Mungu wetu, mabwana wengine mbali na wewe wametutawala,+

Lakini tunalitaja jina lako peke yake.+

14 Wamekufa; hawataishi.

Hawana uwezo katika kifo, hawataamka.+

Kwa maana umewaelekezea fikira

Ili uwaangamize na kufutilia mbali kabisa majina yao.

15 Umeongeza ukubwa wa taifa, Ee Yehova,

Umeongeza ukubwa wa taifa;

Umejitukuza mwenyewe.+

Umepanua sana mipaka yote ya nchi.+

16 Ee Yehova, wakati wa taabu walikutafuta;

Walikumwagia sala yao kwa kunong’ona ulipowatia nidhamu.+

17 Kama vile mwanamke mwenye mimba aliye karibu kuzaa

Anavyopata maumivu na kulia kwa uchungu,

Ndivyo hali yetu ilivyo kwa sababu yako, Ee Yehova.

18 Tulipata mimba, tulikuwa na maumivu ya kuzaa,

Lakini ni kama tumezaa upepo.

Hatujaleta wokovu nchini,

Na hakuna mtu aliyezaliwa ili aishi nchini.

19 “Wafu wako wataishi.

Maiti zangu zitaamka.*+

Amkeni na mpige vigelegele kwa shangwe,

Enyi mnaokaa mavumbini!+

Kwa maana umande wako ni kama umande wa asubuhi,*

Na dunia itawaacha wale waliokufa ambao hawana uwezo wawe hai tena.*

20 Nendeni, watu wangu, ingieni katika vyumba vyenu vya ndani,

Na mfunge milango nyuma yenu.+

Jificheni kwa muda mfupi

Mpaka ghadhabu* itakapopita.+

21 Kwa maana tazama! Yehova anakuja kutoka mahali pake

Ili kuwaita wakaaji wa nchi wawajibike kwa sababu ya uovu wao,

Na nchi itafunua umwagaji wake wa damu

Nayo haitawafunika tena watu wake waliouawa.”

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki