Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 32
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Wenye furaha ni wale waliosamehewa

        • “Nikaungama dhambi yangu kwako” (5)

        • Mungu hukupa ufahamu (8)

Zaburi 32:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Zaburi 32:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “imesamehewa.”

Marejeo

  • +Isa 1:18; Mdo 3:19

Zaburi 32:2

Marejeo

  • +Ro 4:7, 8

Zaburi 32:3

Marejeo

  • +Met 28:13

Zaburi 32:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hasira yako ilinilemea.”

  • *

    Au “Unyevunyevu wa uhai wangu ulibadilika.”

Marejeo

  • +Zb 38:2

Zaburi 32:5

Marejeo

  • +Zb 38:18; 51:4; 1Yo 1:9
  • +Law 5:5; Zb 41:4
  • +2Sa 12:13; Zb 86:5; 103:3; Isa 44:22

Zaburi 32:6

Marejeo

  • +Zb 65:2, 3
  • +Zb 69:13; Isa 55:6

Zaburi 32:7

Marejeo

  • +Zb 9:9
  • +Kut 15:1; 2Sa 22:1

Zaburi 32:8

Marejeo

  • +Zb 86:11
  • +Met 3:6

Zaburi 32:9

Marejeo

  • +Met 26:3; Yer 8:6

Zaburi 32:10

Marejeo

  • +Zb 34:8; Met 13:21; 16:20

Jumla

Zab. 32:1Isa 1:18; Mdo 3:19
Zab. 32:2Ro 4:7, 8
Zab. 32:3Met 28:13
Zab. 32:4Zb 38:2
Zab. 32:5Zb 38:18; 51:4; 1Yo 1:9
Zab. 32:5Law 5:5; Zb 41:4
Zab. 32:52Sa 12:13; Zb 86:5; 103:3; Isa 44:22
Zab. 32:6Zb 65:2, 3
Zab. 32:6Zb 69:13; Isa 55:6
Zab. 32:7Zb 9:9
Zab. 32:7Kut 15:1; 2Sa 22:1
Zab. 32:8Zb 86:11
Zab. 32:8Met 3:6
Zab. 32:9Met 26:3; Yer 8:6
Zab. 32:10Zb 34:8; Met 13:21; 16:20
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 32:1-11

Zaburi

Wa Daudi. Maskili.*

32 Mwenye furaha ni mtu ambaye amesamehewa kosa lake, ambaye dhambi yake imefunikwa.*+

 2 Mwenye furaha ni mtu ambaye Yehova hamwoni kuwa mwenye hatia,+

Asiye na udanganyifu katika roho yake.

 3 Niliponyamaza, mifupa yangu ilidhoofika kwa sababu ya kulia kwa maumivu makali mchana kutwa.+

 4 Kwa maana usiku na mchana mkono wako ulinilemea.*+

Nguvu zangu zilitoweka* kama mvuke katika joto kavu la kiangazi. (Sela)

 5 Mwishowe nikaungama dhambi yangu kwako;

Sikufunika kosa langu.+

Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+

Nawe ukanisamehe kosa la dhambi zangu.+ (Sela)

 6 Ndiyo sababu kila mtu aliye mshikamanifu atasali kwako+

Maadamu unapatikana.+

Ndipo hata mafuriko hayatamfikia.

 7 Wewe ni mahali pangu pa kujificha;

Utanilinda nisipatwe na taabu.+

Utanizunguka kwa kelele za shangwe za ukombozi.+ (Sela)

 8 “Nitakupa ufahamu na kukufundisha njia unayopaswa kufuata.+

Nitakupa ushauri jicho langu likikutazama.+

 9 Usiwe kama farasi au nyumbu, asiye na uelewaji,+

Ambaye ni lazima msisimko wake udhibitiwe kwa hatamu au lijamu

Kabla hajakukaribia.”

10 Mwovu ana maumivu mengi;

Lakini mtu anayemtumaini Yehova amezungukwa na upendo Wake mshikamanifu.+

11 Furahini kwa sababu ya Yehova na kushangilia, enyi waadilifu;

Pazeni sauti kwa shangwe, ninyi nyote mlio wanyoofu moyoni.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki