Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 30
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Msaada wa Misri ni bure kabisa (1-7)

      • Watu wakataa ujumbe wa kinabii (8-14)

      • Mtakuwa na nguvu mkiendelea kuwa na tumaini (15-17)

      • Yehova awaonyesha kibali watu wake (18-26)

        • Yehova, Mfundishaji Mkuu (20)

        • “Hii ndiyo njia” (21)

      • Yehova atatekeleza hukumu dhidi ya Ashuru (27-33)

Isaya 30:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wanaomwaga sadaka ya kinywaji,” inaonekana inarejelea kufanya mapatano.

Marejeo

  • +Isa 1:2; 63:10; 65:2
  • +Isa 29:15

Isaya 30:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “bila kutafuta ushauri kutoka katika kinywa changu.”

  • *

    Tnn., “katika ngome ya Farao.”

Marejeo

  • +Isa 31:1; Eze 29:6
  • +Hes 27:21; 1Fa 22:7

Isaya 30:3

Marejeo

  • +Yer 17:5

Isaya 30:4

Marejeo

  • +Isa 19:11; Eze 30:14

Isaya 30:5

Marejeo

  • +Isa 31:3; Yer 2:36

Isaya 30:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nyoka mwenye sumu anayerukaruka.”

Isaya 30:7

Marejeo

  • +Isa 31:1; Yer 37:7, 8
  • +Zb 87:4; 89:10

Isaya 30:8

Marejeo

  • +Isa 8:1; Yer 36:2
  • +Ro 15:4

Isaya 30:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mafundisho.”

Marejeo

  • +Kum 31:27; Isa 1:4; Yer 44:3
  • +Isa 59:3; Yer 9:3
  • +2Nya 33:10; 36:15, 16; Ne 9:29; Yer 7:13

Isaya 30:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mambo laini.”

Marejeo

  • +2Nya 16:10; 18:7; Yer 11:21; 26:11
  • +Yer 23:16, 17; Eze 13:7; Mik 2:11

Isaya 30:11

Marejeo

  • +Amo 7:13, 16

Isaya 30:12

Marejeo

  • +Amo 2:4, 5
  • +Yer 13:25; Mik 3:11

Isaya 30:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “tangi la maji.”

Isaya 30:15

Marejeo

  • +1Nya 5:20; 2Nya 16:8; Isa 26:3
  • +Mt 23:37; Mdo 7:51

Isaya 30:16

Marejeo

  • +Isa 31:1, 3
  • +Kum 28:49, 50; Yer 4:13; Omb 4:19; Hab 1:6, 8

Isaya 30:17

Marejeo

  • +Law 26:36; Kum 32:30
  • +Eze 12:16

Isaya 30:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anaendelea kuwatarajia.”

  • *

    Au “wanaomngoja kwa hamu.”

Marejeo

  • +Kut 34:6; Eze 36:9, 10
  • +Zb 102:13; Ro 9:15
  • +Zb 99:4; Yer 10:24
  • +Yer 17:7

Isaya 30:19

Marejeo

  • +Ne 11:1; Isa 44:28; 62:1; Yer 31:6; Zek 1:17
  • +Ne 12:27; Isa 61:3
  • +Yer 29:11, 12

Isaya 30:20

Marejeo

  • +Law 26:26; Zb 80:5
  • +Ayu 36:22; Zb 32:8; 71:17; 119:102

Isaya 30:21

Marejeo

  • +Zb 25:8, 9
  • +Kum 5:32; Yos 1:7, 8; Met 4:27

Isaya 30:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “sanamu za kuyeyushwa.”

  • *

    Au labda, “na kuziita uchafu.”

Marejeo

  • +Kut 32:4; Kum 7:5, 25; Amu 17:3, 4
  • +Ho. 14:8; Zek 13:2

Isaya 30:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mkate.”

  • *

    Tnn., “mnono na wenye mafuta.”

Marejeo

  • +Zb 65:9; Zek 10:1
  • +Ho. 2:21, 22
  • +Isa 65:10

Isaya 30:25

Marejeo

  • +Isa 41:18; 44:3

Isaya 30:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “jeraha la kuvunjika.”

Marejeo

  • +Isa 60:20; Ufu 21:23; 22:5
  • +Omb 2:13
  • +Yer 33:6; Amo 9:11

Isaya 30:27

Marejeo

  • +Isa 10:17; Nah 1:6; Sef 3:8

Isaya 30:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Pumzi.”

  • *

    Tnn., “chujio la ubatili.”

Marejeo

  • +2Fa 19:28; Zb 32:9

Isaya 30:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mnapojitakasa.”

  • *

    Au “akisikia sauti ya.”

Marejeo

  • +Kum 16:14; Zb 42:4; Yer 33:10, 11
  • +Kum 32:4; Isa 26:4

Isaya 30:30

Marejeo

  • +Zb 29:3, 4
  • +Kut 15:16; Zb 98:1
  • +Nah 1:2
  • +Zb 18:13
  • +Amu 5:4
  • +Yos 10:11

Isaya 30:31

Marejeo

  • +Isa 37:36
  • +Isa 10:12

Isaya 30:32

Marejeo

  • +Kut 15:20; Amu 11:34
  • +Isa 10:24, 26

Isaya 30:33

Maelezo ya Chini

  • *

    Hapa neno “Tofethi” linatumiwa kurejelea mahali pa mfano pa kuteketezea vitu, panafananisha maangamizi.

Marejeo

  • +2Fa 23:10; Yer 7:32
  • +Isa 37:37, 38; Eze 32:22

Jumla

Isa. 30:1Isa 1:2; 63:10; 65:2
Isa. 30:1Isa 29:15
Isa. 30:2Isa 31:1; Eze 29:6
Isa. 30:2Hes 27:21; 1Fa 22:7
Isa. 30:3Yer 17:5
Isa. 30:4Isa 19:11; Eze 30:14
Isa. 30:5Isa 31:3; Yer 2:36
Isa. 30:7Isa 31:1; Yer 37:7, 8
Isa. 30:7Zb 87:4; 89:10
Isa. 30:8Isa 8:1; Yer 36:2
Isa. 30:8Ro 15:4
Isa. 30:9Kum 31:27; Isa 1:4; Yer 44:3
Isa. 30:9Isa 59:3; Yer 9:3
Isa. 30:92Nya 33:10; 36:15, 16; Ne 9:29; Yer 7:13
Isa. 30:102Nya 16:10; 18:7; Yer 11:21; 26:11
Isa. 30:10Yer 23:16, 17; Eze 13:7; Mik 2:11
Isa. 30:11Amo 7:13, 16
Isa. 30:12Amo 2:4, 5
Isa. 30:12Yer 13:25; Mik 3:11
Isa. 30:151Nya 5:20; 2Nya 16:8; Isa 26:3
Isa. 30:15Mt 23:37; Mdo 7:51
Isa. 30:16Isa 31:1, 3
Isa. 30:16Kum 28:49, 50; Yer 4:13; Omb 4:19; Hab 1:6, 8
Isa. 30:17Law 26:36; Kum 32:30
Isa. 30:17Eze 12:16
Isa. 30:18Kut 34:6; Eze 36:9, 10
Isa. 30:18Zb 102:13; Ro 9:15
Isa. 30:18Zb 99:4; Yer 10:24
Isa. 30:18Yer 17:7
Isa. 30:19Ne 11:1; Isa 44:28; 62:1; Yer 31:6; Zek 1:17
Isa. 30:19Ne 12:27; Isa 61:3
Isa. 30:19Yer 29:11, 12
Isa. 30:20Law 26:26; Zb 80:5
Isa. 30:20Ayu 36:22; Zb 32:8; 71:17; 119:102
Isa. 30:21Zb 25:8, 9
Isa. 30:21Kum 5:32; Yos 1:7, 8; Met 4:27
Isa. 30:22Kut 32:4; Kum 7:5, 25; Amu 17:3, 4
Isa. 30:22Ho. 14:8; Zek 13:2
Isa. 30:23Zb 65:9; Zek 10:1
Isa. 30:23Ho. 2:21, 22
Isa. 30:23Isa 65:10
Isa. 30:25Isa 41:18; 44:3
Isa. 30:26Isa 60:20; Ufu 21:23; 22:5
Isa. 30:26Omb 2:13
Isa. 30:26Yer 33:6; Amo 9:11
Isa. 30:27Isa 10:17; Nah 1:6; Sef 3:8
Isa. 30:282Fa 19:28; Zb 32:9
Isa. 30:29Kum 16:14; Zb 42:4; Yer 33:10, 11
Isa. 30:29Kum 32:4; Isa 26:4
Isa. 30:30Zb 29:3, 4
Isa. 30:30Kut 15:16; Zb 98:1
Isa. 30:30Nah 1:2
Isa. 30:30Zb 18:13
Isa. 30:30Amu 5:4
Isa. 30:30Yos 10:11
Isa. 30:31Isa 37:36
Isa. 30:31Isa 10:12
Isa. 30:32Kut 15:20; Amu 11:34
Isa. 30:32Isa 10:24, 26
Isa. 30:332Fa 23:10; Yer 7:32
Isa. 30:33Isa 37:37, 38; Eze 32:22
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 30:1-33

Isaya

30 “Ole wao wana wakaidi,”+ asema Yehova,

“Wanaotekeleza mipango ambayo si yangu,+

Wanaofanya miungano,* lakini si kwa roho yangu,

Ili kuongeza dhambi juu ya dhambi.

 2 Wanashuka kwenda Misri+ bila kuniomba ushauri,*+

Ili kupata usalama chini ya ulinzi wa Farao*

Na kupata kimbilio katika kivuli cha Misri!

 3 Lakini ulinzi wa Farao utawaletea aibu,

Na kukimbilia katika kivuli cha Misri kutawaletea fedheha.+

 4 Kwa maana wakuu wake wako Soani,+

Na wajumbe wake wamefika Hanesi.

 5 Wote wataaibishwa

Na watu ambao hawawezi kuwanufaisha,

Ambao hawawapi msaada wowote wala manufaa yoyote,

Isipokuwa aibu na fedheha.”+

6 Tangazo dhidi ya wanyama wa kusini:

Katika nchi ya taabu na hali ngumu,

Ya simba, simba anayenguruma,

Ya nyoka kipiri na nyoka wa moto arukaye,*

Wanabeba mali zao juu ya migongo ya punda

Na mizigo yao juu ya nundu za ngamia.

Lakini vitu hivyo havitawanufaisha watu.

 7 Kwa maana msaada wa Misri haufai kitu.+

Kwa hiyo nimemwita huyu: “Rahabu,+ anayeketi tuli.”

 8 “Sasa nenda, iandike juu ya bamba mbele yao,

Na uiandike katika kitabu,+

Ili itumike siku ya baadaye

Kama ushahidi wa kudumu.+

 9 Kwa maana wao ni watu waasi,+ wana wadanganyifu,+

Wana wasiotaka kusikia sheria* ya Yehova.+

10 Wanawaambia waonaji, ‘Msione,’

Na wale wanaopata maono, ‘Msituambie maono ya kweli.+

Tuambieni mambo yanayotupendeza;* oneni maono ya udanganyifu.+

11 Tokeni kwenye njia; ondokeni kwenye kijia.

Acheni kumweka Mtakatifu wa Israeli mbele yetu.’”+

12 Kwa hiyo Mtakatifu wa Israeli anasema hivi:

“Kwa kuwa mnalikataa neno hili+

Nanyi mnatumaini ulaghai na udanganyifu

Na mnayategemea mambo hayo,+

13 Kwa hiyo uovu huu utakuwa kwenu kama ukuta uliobomoka,

Kama ukuta mrefu uliofura unaokaribia kuanguka.

Utaanguka ghafla, mara moja.

14 Utavunjwa kama mtungi mkubwa wa mfinyanzi,

Utapondwapondwa kabisa hivi kwamba hakuna kigae chochote kitakachobaki

Ili kitumiwe kukusanya moto jikoni

Au kuchota maji kutoka kwenye kidimbwi.”*

15 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, Mtakatifu wa Israeli, anasema hivi:

“Mkirudi kwangu na kupumzika, mtaokolewa;

Mtakuwa na nguvu mkiendelea kuwa watulivu na kuwa na tumaini.”+

Lakini hamkutaka.+

16 Badala yake, mlisema: “Hapana, tutakimbia kwa farasi!”

Basi mtakimbia.

“Nasi tutapanda farasi wenye mbio!”+

Kwa hiyo wale wanaowafuatia watakuwa na mbio.+

17 Watu elfu moja watatetemeka wakitishwa na mtu mmoja;+

Mtakapotishwa na watu watano mtakimbia

Mpaka mbaki kama mlingoti juu ya mlima,

Kama nguzo ya ishara juu ya kilima.+

18 Lakini Yehova anangoja kwa subira* ili kuwaonyesha kibali,+

Naye atainuka ili kuwaonyesha rehema.+

Kwa maana Yehova ni Mungu wa haki.+

Wenye furaha ni wote wanaoendelea kumtarajia.*+

19 Watu watakapokaa Sayuni, Yerusalemu,+ hamtalia kamwe.+ Kwa hakika atawaonyesha kibali mara tu atakaposikia kilio chenu cha kuomba msaada; atawajibu mara tu atakaposikia kilio chenu.+ 20 Ingawa Yehova atawapa taabu kama mkate na ukandamizaji kama maji,+ Mfundishaji wako Mkuu hatajificha tena, nawe utamwona Mfundishaji wako Mkuu+ kwa macho yako mwenyewe. 21 Na masikio yako mwenyewe yatasikia neno nyuma yako likisema, “Hii ndiyo njia.+ Tembeeni ndani yake,” ikiwa mtaenda upande wa kulia au mtaenda upande wa kushoto.+

22 Nanyi mtaitia unajisi fedha inayofunika sanamu zenu za kuchongwa na dhahabu inayofunika sanamu zenu za chuma.*+ Mtazitupa mbali kama kitambaa cha hedhi na kuziambia, “Potelea mbali!”*+ 23 Naye ataleta mvua kwa ajili ya mbegu mtakazopanda ardhini,+ na chakula* kitakachotoka ardhini kitakuwa kingi na chenye lishe.*+ Siku hiyo mifugo yenu italisha katika malisho makubwa.+ 24 Na ng’ombe na punda wanaolima mashamba watakula chakula cha mifugo kilichokolezwa kwa mboga chungu, kilichopepetwa kwa sepetu na kwa uma. 25 Na juu ya kila mlima mrefu na juu ya kila kilima kirefu kutakuwa na vijito na mitaro ya maji,+ katika siku ya mauaji makubwa wakati ambapo minara itaanguka. 26 Na mwangaza wa mwezi mpevu utakuwa kama mwangaza wa jua; na mwangaza wa jua utaongezeka mara saba,+ kama mwangaza wa siku saba, katika siku ambayo Yehova atalifunga jeraha* la watu wake+ na kuponya kidonda kikubwa kilichosababishwa na pigo alilowaletea.+

27 Tazama! Jina la Yehova linakuja kutoka mbali sana,

Likiwaka kwa hasira yake na kwa mawingu mazito.

Midomo yake imejaa ghadhabu,

Na ulimi wake ni kama moto unaoteketeza.+

28 Roho* yake ni kama mto unaofurika unaofika mpaka shingoni,

Ili kuyatikisa mataifa katika chujio la maangamizi;*

Na mataifa yatakuwa na lijamu katika mataya yao+ ambayo inawapotosha.

29 Lakini wimbo wenu utakuwa kama wimbo unaoimbwa usiku

Mnapojitayarisha* kwa ajili ya sherehe,+

Na moyo wenu utashangilia kama mtu

Anayetembea na* filimbi

Akielekea kwenye mlima wa Yehova, kwa Mwamba wa Israeli.+

30 Yehova atafanya sauti yake kuu+ isikiwe

Naye ataonyesha mkono wake+ unaposhuka kwa hasira kali,+

Ukiwa na mwali wa moto unaoteketeza,+

Tufani ya mvua na dhoruba yenye ngurumo+ na mvua ya mawe.+

31 Kwa maana kwa sababu ya sauti ya Yehova, Ashuru itashikwa na hofu;+

Ataipiga kwa fimbo.+

32 Na kila pigo la fimbo yake ya adhabu

Ambalo Yehova ataleta juu ya Ashuru

Litaambatana na matari na vinubi+

Anapoutikisa mkono wake dhidi yao vitani.+

33 Kwa maana tayari Tofethi*+ yake imetayarishwa;

Pia imetayarishwa kwa ajili ya mfalme.+

Amefanya rundo la kuni liwe na kina kirefu na liwe pana,

Kwa wingi wa moto na kuni.

Pumzi ya Yehova, kama mto wa kiberiti,

Itaiwasha moto.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki