Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Yeremia—Yaliyomo

      • Mungu aliye hai atofautishwa na miungu ya mataifa (1-16)

      • Uharibifu na uhamisho unaokuja (17, 18)

      • Yeremia aomboleza (19-22)

      • Sala ya nabii (23-25)

        • Mwanadamu hawezi kuongoza hatua yake mwenyewe (23)

Yeremia 10:2

Marejeo

  • +Law 18:3, 30; 20:23; Kum 12:30
  • +Isa 47:13

Yeremia 10:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ubatili.”

  • *

    Au “tezo yake.”

Marejeo

  • +Isa 40:20; 44:14, 15; 45:20; Hab 2:18

Yeremia 10:4

Marejeo

  • +Zb 115:4; Isa 40:19
  • +Isa 41:7

Yeremia 10:5

Marejeo

  • +Hab 2:19
  • +Isa 46:7
  • +Isa 41:23; 44:9; 1Ko 8:4

Yeremia 10:6

Marejeo

  • +Kut 15:11; 2Sa 7:22; Zb 86:8

Yeremia 10:7

Marejeo

  • +Zb 22:28
  • +Zb 89:6; Da 4:35

Yeremia 10:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ubatili.”

Marejeo

  • +Yer 51:17; Hab 2:18
  • +Isa 44:19

Yeremia 10:9

Marejeo

  • +1Fa 10:22

Yeremia 10:10

Marejeo

  • +Yos 3:10; Da 6:26
  • +Da 4:3; Hab 1:12; Ufu 15:3
  • +Nah 1:5

Yeremia 10:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Mwanzoni, mstari wa 11 uliandikwa katika Kiaramu.

Marejeo

  • +Isa 2:18; Yer 51:17, 18; Sef 2:11

Yeremia 10:12

Marejeo

  • +Met 3:19; Isa 45:18
  • +Zb 136:3, 5; Isa 40:22; Yer 51:15, 16

Yeremia 10:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Huufanya mvuke upande.”

  • *

    Au labda, “malango.”

Marejeo

  • +Ayu 37:2; 38:34
  • +Ayu 36:27; Zb 135:7
  • +Mwa 8:1; Kut 14:21; Hes 11:31; Yon 1:4

Yeremia 10:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “sanamu ya kuyeyushwa.”

  • *

    Au “pumzi.”

Marejeo

  • +Isa 42:17; 44:11
  • +Yer 51:17; Hab 2:18, 19

Yeremia 10:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ubatili.”

Marejeo

  • +Isa 41:29

Yeremia 10:16

Marejeo

  • +Kum 32:9; Zb 135:4
  • +Isa 47:4

Yeremia 10:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ninawarusha.”

Marejeo

  • +Kum 28:63; Yer 16:13

Yeremia 10:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “jeraha langu la kuvunjika.”

Marejeo

  • +Yer 8:21

Yeremia 10:20

Marejeo

  • +Yer 4:20
  • +Yer 31:15

Yeremia 10:21

Marejeo

  • +Yer 5:31
  • +Yer 2:8; 8:9
  • +Yer 23:1; Eze 34:5, 6

Yeremia 10:22

Marejeo

  • +Yer 1:15; 4:6; 6:22; Hab 1:6
  • +Yer 9:11

Yeremia 10:23

Marejeo

  • +Zb 17:5; 37:23; Met 16:3; 20:24

Yeremia 10:24

Marejeo

  • +Zb 6:1; 38:1
  • +Yer 30:11

Yeremia 10:25

Marejeo

  • +Isa 34:2
  • +Yer 51:34
  • +Isa 10:22
  • +Zb 79:6, 7; Yer 8:16; Omb 2:22

Jumla

Yer. 10:2Law 18:3, 30; 20:23; Kum 12:30
Yer. 10:2Isa 47:13
Yer. 10:3Isa 40:20; 44:14, 15; 45:20; Hab 2:18
Yer. 10:4Zb 115:4; Isa 40:19
Yer. 10:4Isa 41:7
Yer. 10:5Hab 2:19
Yer. 10:5Isa 46:7
Yer. 10:5Isa 41:23; 44:9; 1Ko 8:4
Yer. 10:6Kut 15:11; 2Sa 7:22; Zb 86:8
Yer. 10:7Zb 22:28
Yer. 10:7Zb 89:6; Da 4:35
Yer. 10:8Yer 51:17; Hab 2:18
Yer. 10:8Isa 44:19
Yer. 10:91Fa 10:22
Yer. 10:10Yos 3:10; Da 6:26
Yer. 10:10Da 4:3; Hab 1:12; Ufu 15:3
Yer. 10:10Nah 1:5
Yer. 10:11Isa 2:18; Yer 51:17, 18; Sef 2:11
Yer. 10:12Met 3:19; Isa 45:18
Yer. 10:12Zb 136:3, 5; Isa 40:22; Yer 51:15, 16
Yer. 10:13Ayu 37:2; 38:34
Yer. 10:13Ayu 36:27; Zb 135:7
Yer. 10:13Mwa 8:1; Kut 14:21; Hes 11:31; Yon 1:4
Yer. 10:14Isa 42:17; 44:11
Yer. 10:14Yer 51:17; Hab 2:18, 19
Yer. 10:15Isa 41:29
Yer. 10:16Kum 32:9; Zb 135:4
Yer. 10:16Isa 47:4
Yer. 10:18Kum 28:63; Yer 16:13
Yer. 10:19Yer 8:21
Yer. 10:20Yer 4:20
Yer. 10:20Yer 31:15
Yer. 10:21Yer 5:31
Yer. 10:21Yer 2:8; 8:9
Yer. 10:21Yer 23:1; Eze 34:5, 6
Yer. 10:22Yer 1:15; 4:6; 6:22; Hab 1:6
Yer. 10:22Yer 9:11
Yer. 10:23Zb 17:5; 37:23; Met 16:3; 20:24
Yer. 10:24Zb 6:1; 38:1
Yer. 10:24Yer 30:11
Yer. 10:25Isa 34:2
Yer. 10:25Yer 51:34
Yer. 10:25Isa 10:22
Yer. 10:25Zb 79:6, 7; Yer 8:16; Omb 2:22
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Yeremia 10:1-25

Yeremia

10 Sikieni neno ambalo Yehova amesema dhidi yenu, enyi watu wa nyumba ya Israeli. 2 Yehova anasema hivi:

“Msijifunze njia ya mataifa,+

Wala msihofu ishara za mbinguni

Kwa sababu mataifa yanazihofu.+

 3 Kwa maana desturi za mataifa ni udanganyifu.*

Ni mti tu wa msituni uliokatwa,

Uliochongwa kwa mikono ya fundi kwa kifaa chake.*+

 4 Wanaupamba kwa fedha na dhahabu+

Wanaupigilia misumari kwa nyundo ili usianguke.+

 5 Kama sanamu ya kufukuza ndege katika shamba la matango, haziwezi kuzungumza;+

Lazima zibebwe, kwa maana haziwezi kutembea.+

Msiziogope kwa maana haziwezi kuwadhuru,

Wala haziwezi kufanya jambo lolote jema.”+

 6 Hakuna yeyote aliye kama wewe, Ee Yehova.+

Wewe ni mkuu, na jina lako ni kuu na lenye nguvu.

 7 Ni nani asiyepaswa kukuogopa, Ee Mfalme wa mataifa,+ kwa maana ni jambo linalofaa;

Kwa sababu kati ya watu wote wenye hekima wa mataifa na kati ya falme zao zote,

Hakuna yeyote yule aliye kama wewe.+

 8 Wote hawatumii akili nao ni wajinga.+

Mafundisho kutoka kwa mti ni udanganyifu* mtupu.+

 9 Mabamba ya fedha huletwa kutoka Tarshishi+ na dhahabu kutoka Ufazi,

Kazi ya fundi, ya mikono ya mhunzi.

Mavazi yao ni nyuzi za bluu na sufu ya zambarau.

Vyote hutengenezwa na wafanyakazi stadi.

10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu.

Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme wa milele.+

Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatetemeka,+

Na hakuna taifa litakalostahimili shutuma yake.

11 * Waambieni hivi:

“Miungu ambayo haikuumba mbingu na dunia

Itaangamia kutoka duniani na kutoka chini ya hizi mbingu.”+

12 Yeye ndiye Muumba wa dunia kwa nguvu zake,

Yule aliyeiimarisha ardhi inayozaa kwa hekima yake+

Na aliyezitandaza mbingu kwa uelewaji wake.+

13 Anapofanya sauti yake isikike,

Maji yaliyo mbinguni husukasuka,+

Naye huyafanya mawingu yapande* kutoka kwenye miisho ya dunia.+

Hutengeneza radi* kwa ajili ya mvua,

Naye huutoa upepo katika maghala yake.+

14 Kila mtu anatenda bila kutumia akili na bila ujuzi.

Kila fundi wa chuma ataaibishwa kwa sababu ya sanamu ya kuchongwa;+

Kwa maana sanamu yake ya chuma* ni uwongo,

Nazo hazina roho* ndani yake.+

15 Sanamu hizo ni udanganyifu,* kazi ya mzaha.+

Siku yao ya hukumu itakapofika, zitaangamia.

16 Fungu la Yakobo si kama vitu hivyo,

Kwa maana Yeye ndiye aliyeumba kila kitu,

Na Israeli ndiyo fimbo ya urithi wake.+

Yehova wa majeshi ndilo jina lake.+

17 Kusanya mzigo wako kutoka ardhini,

Ewe mwanamke uliyezingirwa.

18 Kwa maana Yehova anasema hivi:

“Tazama, ninawatupa* nje wakaaji wa dunia wakati huu,+

Nami nitawafanya wataabike.”

19 Ole wangu kwa sababu ya jeraha langu!*+

Kidonda changu hakiwezi kupona.

Nami nilisema: “Kwa hakika huu ni ugonjwa wangu, na lazima niuvumilie.

20 Hema langu limeharibiwa, na kamba zangu zote za mahema zimekatwa.+

Wanangu wameniacha na hawapo tena.+

Hakuna yeyote aliyebaki wa kulitandaza hema langu au kuviinua vitambaa vyangu vya mahema.

21 Kwa maana wachungaji wametenda kwa upumbavu,+

Wala hawajatafuta ushauri kutoka kwa Yehova.+

Ndiyo sababu hawajatenda kwa ufahamu,

Na kondoo wao wote wametawanyika.”+

22 Sikiliza! Habari! Inakuja!

Kishindo kikubwa kutoka nchi ya kaskazini,+

Ili kuyafanya majiji ya Yuda yawe ukiwa, mapango ya mbwamwitu.+

23 Ninajua vema, Ee Yehova, kwamba njia ya mwanadamu haimo katika uwezo wake.

Mwanadamu anayetembea hana uwezo wa kuongoza hatua yake.+

24 Nirekebishe, Ee Yehova, kulingana na hukumu,

Lakini si katika hasira yako,+ usije ukanimaliza.+

25 Yamwagie ghadhabu yako mataifa yanayokupuuza+

Na familia ambazo haziliitii jina lako.

Kwa maana wamemnyafua Yakobo,+

Naam, wamemnyafua na kumwangamiza kabisa,+

Nao wameifanya nchi yake ukiwa.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki