Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 13
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Waebrania—Yaliyomo

      • Himizo na salamu za kumalizia (1-25)

        • Msisahau kuwakaribisha wageni (2)

        • Ndoa na iheshimiwe (4)

        • Watiini wale wanaoongoza (7, 17)

        • Kutoa dhabihu ya sifa (15, 16)

Waebrania 13:1

Marejeo

  • +1Th 4:9; 1Pe 1:22

Waebrania 13:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuwaonyesha wageni fadhili; kuwa wakarimu.”

Marejeo

  • +Ro 12:13; 1Ti 3:2
  • +Mwa 18:2, 3; 19:1-3

Waebrania 13:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “waliofungwa; walio katika vifungo.”

  • *

    Au labda, “kana kwamba mnateseka pamoja nao.”

Marejeo

  • +Kol 4:18
  • +Ro 12:15

Waebrania 13:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi, “Uasherati.”

Marejeo

  • +Met 5:16, 20; Mt 5:28
  • +Met 6:32; 1Ko 6:9, 10, 18; Gal 5:19, 21

Waebrania 13:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “vya sasa.”

Marejeo

  • +1Ti 6:10
  • +Met 30:8, 9; 1Ti 6:8
  • +Kum 31:6, 8

Waebrania 13:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Zb 118:6; Da 3:17; Lu 12:4

Waebrania 13:7

Marejeo

  • +1Ti 5:17; Ebr 13:17
  • +1Ko 11:1; 2Th 3:7

Waebrania 13:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, sheria zinazohusu chakula.

Marejeo

  • +Ro 14:17; 1Ko 8:8; Kol 2:16

Waebrania 13:10

Marejeo

  • +1Ko 9:13; 10:18

Waebrania 13:11

Marejeo

  • +Law 16:27

Waebrania 13:12

Marejeo

  • +Yoh 19:17
  • +Ebr 9:13, 14

Waebrania 13:13

Marejeo

  • +Ro 15:3; 2Ko 12:10; 1Pe 4:14

Waebrania 13:14

Marejeo

  • +Ebr 11:10; 12:22

Waebrania 13:15

Marejeo

  • +Law 7:12; Zb 50:14, 23
  • +Zb 69:30, 31; Ho. 14:2
  • +Ro 10:9

Waebrania 13:16

Marejeo

  • +Ro 12:13
  • +Flp 4:18

Waebrania 13:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuzilinda nafsi zenu.”

Marejeo

  • +1Th 5:12
  • +Efe 5:21; 1Pe 5:5
  • +Mdo 20:28

Waebrania 13:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “njema.”

Marejeo

  • +2Ko 1:12

Waebrania 13:20

Marejeo

  • +1Pe 5:4

Waebrania 13:24

Marejeo

  • +Mdo 27:1

Jumla

Ebr. 13:11Th 4:9; 1Pe 1:22
Ebr. 13:2Ro 12:13; 1Ti 3:2
Ebr. 13:2Mwa 18:2, 3; 19:1-3
Ebr. 13:3Kol 4:18
Ebr. 13:3Ro 12:15
Ebr. 13:4Met 5:16, 20; Mt 5:28
Ebr. 13:4Met 6:32; 1Ko 6:9, 10, 18; Gal 5:19, 21
Ebr. 13:51Ti 6:10
Ebr. 13:5Met 30:8, 9; 1Ti 6:8
Ebr. 13:5Kum 31:6, 8
Ebr. 13:6Zb 118:6; Da 3:17; Lu 12:4
Ebr. 13:71Ti 5:17; Ebr 13:17
Ebr. 13:71Ko 11:1; 2Th 3:7
Ebr. 13:9Ro 14:17; 1Ko 8:8; Kol 2:16
Ebr. 13:101Ko 9:13; 10:18
Ebr. 13:11Law 16:27
Ebr. 13:12Yoh 19:17
Ebr. 13:12Ebr 9:13, 14
Ebr. 13:13Ro 15:3; 2Ko 12:10; 1Pe 4:14
Ebr. 13:14Ebr 11:10; 12:22
Ebr. 13:15Law 7:12; Zb 50:14, 23
Ebr. 13:15Zb 69:30, 31; Ho. 14:2
Ebr. 13:15Ro 10:9
Ebr. 13:16Ro 12:13
Ebr. 13:16Flp 4:18
Ebr. 13:171Th 5:12
Ebr. 13:17Efe 5:21; 1Pe 5:5
Ebr. 13:17Mdo 20:28
Ebr. 13:182Ko 1:12
Ebr. 13:201Pe 5:4
Ebr. 13:24Mdo 27:1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Waebrania 13:1-25

Kwa Waebrania

13 Upendo wenu wa kindugu na uendelee.+ 2 Msisahau kuwakaribisha wageni,*+ kwa maana kwa kufanya hivyo watu fulani bila kujua waliwakaribisha malaika.+ 3 Wakumbukeni wale walio gerezani,*+ kana kwamba mmefungwa pamoja nao,+ na wale wanaoteswa, kwa kuwa ninyi pia mko katika mwili.* 4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kisiwe na unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati* na wazinzi.+ 5 Njia yenu ya maisha iwe bila upendo wa pesa,+ huku mkiridhika na vitu mlivyo navyo.*+ Kwa maana amesema: “Sitakuacha wala kukutupa kamwe.”+ 6 Ili tuwe hodari na kusema: “Yehova* ni msaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu atanifanya nini?”+

7 Wakumbukeni wale wanaoongoza kati yenu,+ ambao wamelisema neno la Mungu kwenu, nanyi mnapotafakari matokeo ya mwenendo wao, igeni imani yao.+

8 Yesu Kristo ni yuleyule jana, leo, na milele.

9 Msipotoshwe na mafundisho mbalimbali yaliyo mageni, kwa maana ni bora moyo uimarishwe kwa fadhili zisizostahiliwa, bali si kwa vyakula,* ambavyo haviwanufaishi wale wanaojishughulisha navyo.+

10 Sisi tuna madhabahu ambayo wale wanaofanya utumishi mtakatifu katika hema hawana mamlaka ya kula kilicho juu yake.+ 11 Kwa maana miili ya wanyama ambao kuhani mkuu hupeleka damu yao ndani ya mahali patakatifu kama toleo la dhambi huteketezwa nje ya kambi.+ 12 Kwa hiyo, Yesu pia aliteseka nje ya lango la jiji+ ili awatakase watu kwa damu yake mwenyewe.+ 13 Basi, acheni twende kwake nje ya kambi, tukiibeba shutuma aliyoibeba,+ 14 kwa maana hapa hatuna jiji linalodumu, bali tunatafuta kwa bidii lile litakalokuja.+ 15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo yetu+ ambalo hulitangaza jina lake hadharani.+ 16 Zaidi ya hayo, msisahau kutenda mema na kushiriki vitu vyenu pamoja na wengine,+ kwa maana Mungu hupendezwa na dhabihu kama hizo.+

17 Watiini wale wanaoongoza kati yenu+ na mnyenyekee,+ kwa maana wanaendelea kuwalinda ninyi* kama wale watakaotoa hesabu,+ ili wafanye hivyo kwa shangwe na si kwa huzuni, kwa maana kufanya hivyo kungewadhuru ninyi.

18 Endeleeni kusali kwa ajili yetu, kwa maana tuna hakika kwamba tuna dhamiri nyoofu,* kwa kuwa tunataka kujiendesha kwa unyoofu katika mambo yote.+ 19 Lakini hasa ninawahimiza ninyi msali kwamba nirudi kwenu haraka iwezekanavyo.

20 Basi Mungu wa amani, aliyemrudisha kutoka kwa wafu mchungaji mkuu+ wa kondoo, Bwana wetu Yesu, kwa damu ya agano linalodumu milele, 21 awape vifaa vyote vyema ili mfanye mapenzi yake, akitenda ndani yetu kupitia Yesu Kristo mambo yanayopendeza machoni pake, na awe na utukufu milele na milele. Amina.

22 Sasa ninawahimiza, akina ndugu, msikilize kwa subira neno hili la kutia moyo, kwa maana nimewaandikia barua fupi. 23 Ningependa kuwajulisha kwamba ndugu yetu Timotheo ameachiliwa huru. Akija hivi karibuni, nitakuja pamoja naye kuwaona.

24 Wapeni salamu zangu wote wanaoongoza kati yenu na watakatifu wote. Wale walio Italia+ wanawatumia salamu zao.

25 Fadhili zisizostahiliwa na ziwe pamoja nanyi nyote.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki