Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 94
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Sala ya kuomba Mungu alipize kisasi

        • “Waovu wataendelea mpaka lini?” (3)

        • Kurekebishwa na Yah huleta furaha (12)

        • Mungu hatawaacha watu wake (14)

        • ‘Kutunga matatizo kwa kutumia sheria’ (20)

Zaburi 94:1

Marejeo

  • +Kum 32:35; Nah 1:2; Ro 12:19

Zaburi 94:2

Marejeo

  • +Mwa 18:25; Mdo 17:31
  • +Zb 31:23

Zaburi 94:3

Marejeo

  • +Zb 73:3; 74:10

Zaburi 94:5

Marejeo

  • +Zb 14:4

Zaburi 94:7

Marejeo

  • +Zb 59:2, 7; Eze 8:12
  • +Zb 10:4, 11; 73:3, 11; Isa 29:15

Zaburi 94:8

Marejeo

  • +Met 1:22

Zaburi 94:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “aliyelipanda.”

Marejeo

  • +Zb 34:15

Zaburi 94:10

Marejeo

  • +Zb 9:5; Isa 10:12
  • +Zb 25:8; Isa 28:26; Yoh 6:45

Zaburi 94:11

Marejeo

  • +1Ko 3:20

Zaburi 94:12

Marejeo

  • +Zb 119:71; Met 3:11; 1Ko 11:32; Ebr 12:5, 6
  • +Zb 19:8

Zaburi 94:13

Marejeo

  • +Zb 55:23; 2Pe 2:9

Zaburi 94:14

Marejeo

  • +1Sa 12:22; Zb 37:28; Ebr 13:5
  • +Kum 32:9

Zaburi 94:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nimekaa katika ukimya.”

Marejeo

  • +Zb 124:2, 3; 2Ko 1:10

Zaburi 94:18

Marejeo

  • +1Sa 2:9; Zb 37:24; 121:3; Omb 3:22

Zaburi 94:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Mawazo yenye kufadhaisha.”

  • *

    Au “yalipokuwa mengi ndani yangu.”

  • *

    Au “Faraja zako ziliibembeleza nafsi yangu.”

Marejeo

  • +Zb 86:17; Flp 4:6, 7

Zaburi 94:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “watawala; mahakimu.”

  • *

    Au “kwa kutoa amri.”

Marejeo

  • +Isa 10:1; Da 6:7; Mdo 5:27, 28

Zaburi 94:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Na damu ya asiye na hatia wanaitangaza kuwa na hatia (ovu).”

Marejeo

  • +Zb 59:3
  • +1Fa 21:13

Zaburi 94:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kilele changu salama.”

Marejeo

  • +Zb 18:2

Zaburi 94:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Atawanyamazisha.”

  • *

    Tnn., “atawanyamazisha.”

Marejeo

  • +Met 5:22; 2Th 1:6
  • +1Sa 26:9, 10

Jumla

Zab. 94:1Kum 32:35; Nah 1:2; Ro 12:19
Zab. 94:2Mwa 18:25; Mdo 17:31
Zab. 94:2Zb 31:23
Zab. 94:3Zb 73:3; 74:10
Zab. 94:5Zb 14:4
Zab. 94:7Zb 59:2, 7; Eze 8:12
Zab. 94:7Zb 10:4, 11; 73:3, 11; Isa 29:15
Zab. 94:8Met 1:22
Zab. 94:9Zb 34:15
Zab. 94:10Zb 9:5; Isa 10:12
Zab. 94:10Zb 25:8; Isa 28:26; Yoh 6:45
Zab. 94:111Ko 3:20
Zab. 94:12Zb 119:71; Met 3:11; 1Ko 11:32; Ebr 12:5, 6
Zab. 94:12Zb 19:8
Zab. 94:13Zb 55:23; 2Pe 2:9
Zab. 94:141Sa 12:22; Zb 37:28; Ebr 13:5
Zab. 94:14Kum 32:9
Zab. 94:17Zb 124:2, 3; 2Ko 1:10
Zab. 94:181Sa 2:9; Zb 37:24; 121:3; Omb 3:22
Zab. 94:19Zb 86:17; Flp 4:6, 7
Zab. 94:20Isa 10:1; Da 6:7; Mdo 5:27, 28
Zab. 94:21Zb 59:3
Zab. 94:211Fa 21:13
Zab. 94:22Zb 18:2
Zab. 94:23Met 5:22; 2Th 1:6
Zab. 94:231Sa 26:9, 10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 94:1-23

Zaburi

94 Ee Mungu wa kisasi, Yehova,+

Ee Mungu wa kisasi, angaza!

 2 Inuka, Ee Mwamuzi wa dunia.+

Walipe wanachostahili watu wenye kiburi.+

 3 Waovu wataendelea mpaka lini, Ee Yehova,

Waovu wataendelea mpaka lini kushangilia?+

 4 Wanaropoka na kuongea kwa kiburi;

Watenda dhambi wote wanajigamba kujihusu.

 5 Wanawaponda watu wako, Ee Yehova,+

Na kuukandamiza urithi wako.

 6 Wanamuua mjane na mkaaji mgeni,

Na kuwaua mayatima.

 7 Wanasema: “Yah haoni;+

Mungu wa Yakobo hatambui jambo hilo.”+

 8 Eleweni jambo hili, ninyi msiotumia akili;

Ninyi wajinga, ni lini mtakapoonyesha ufahamu?+

 9 Yule aliyetengeneza* sikio, je, hawezi kusikia?

Yule aliyeumba jicho, je, hawezi kuona?+

10 Yule anayeyarekebisha mataifa, je, hawezi kukaripia?+

Yeye Ndiye anayewafundisha watu ujuzi!+

11 Yehova anajua mawazo ya wanadamu,

Ya kwamba ni pumzi tu.+

12 Mwenye furaha ni mtu unayemrekebisha, Ee Yah,+

Unayemfundisha kwa sheria yako,+

13 Ili kumpa utulivu katika siku za msiba,

Mpaka shimo litakapochimbwa kwa ajili ya mwovu.+

14 Kwa maana Yehova hatawaacha watu wake,+

Wala hatautupa urithi wake.+

15 Kwa maana kwa mara nyingine tena hukumu itakuwa ya uadilifu,

Na wote walio wanyoofu moyoni wataifuata.

16 Ni nani atakayeinuka dhidi ya waovu kwa ajili yangu?

Ni nani atakayenitetea dhidi ya watenda maovu?

17 Ikiwa Yehova hangekuwa msaidizi wangu,

Ningekuwa nimeangamia upesi.*+

18 Niliposema: “Mguu wangu unateleza,”

Upendo wako mshikamanifu, Ee Yehova, uliendelea kunitegemeza.+

19 Mahangaiko* yaliponilemea,*

Ulinifariji na kunibembeleza.*+

20 Je, kiti cha ufalme* chenye ufisadi kinaweza kuungana nawe

Wakati kinapotunga matatizo kwa kutumia sheria?*+

21 Wanamshambulia vikali mwadilifu+

Na kumhukumu asiye na hatia auawe.*+

22 Lakini Yehova atakuwa kimbilio langu salama,*

Mungu wangu ni mwamba wangu ninaokimbilia.+

23 Atafanya matendo yao maovu yawarudie.+

Atawaangamiza* kwa uovu wao wenyewe.

Yehova Mungu wetu atawaangamiza.*+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki