Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 13
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Marko—Yaliyomo

      • UMALIZIO WA MFUMO WA MAMBO (1-37)

        • Vita, matetemeko ya ardhi, njaa (8)

        • Habari njema itahubiriwa (10)

        • Dhiki kuu (19)

        • Kuja kwa Mwana wa binadamu (26)

        • Mfano wa mtini (28-31)

        • Endeleeni kukesha (32-37)

Marko 13:1

Marejeo

  • +Mt 24:1; Lu 21:5

Marko 13:2

Marejeo

  • +Law 26:31; Mt 24:2; Lu 19:44; 21:6

Marko 13:4

Marejeo

  • +Mt 24:3; Lu 21:7

Marko 13:5

Marejeo

  • +Mt 24:4, 5; Lu 21:8

Marko 13:7

Marejeo

  • +Mt 24:6; Lu 21:9

Marko 13:8

Marejeo

  • +Ufu 6:4
  • +Mt 24:7; Lu 21:10, 11; Ufu 6:6, 8
  • +Mt 24:8

Marko 13:9

Marejeo

  • +Mdo 4:15
  • +Mt 10:17; Yoh 16:2
  • +Mt 24:9; Lu 21:12, 13; 2Ti 3:12; Ufu 2:10

Marko 13:10

Marejeo

  • +Mt 24:14; Ro 10:18; Ufu 14:6

Marko 13:11

Marejeo

  • +Kut 4:12; Mt 10:19, 20; Lu 12:11, 12; 21:14, 15; Mdo 4:8; 6:9, 10

Marko 13:12

Marejeo

  • +Mik 7:6; Mt 10:21; Lu 21:16; 2Ti 3:1, 3

Marko 13:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anayevumilia.”

Marejeo

  • +Lu 21:17
  • +2Ti 4:7; Ebr 3:6
  • +Mt 10:22; 24:13; Lu 21:19; Ufu 2:10

Marko 13:14

Marejeo

  • +Da 9:27; 11:31
  • +Mt 24:15-20; Lu 21:20-23

Marko 13:17

Marejeo

  • +Lu 21:23; 23:28

Marko 13:19

Marejeo

  • +Ufu 7:14
  • +Da 12:1; Mt 24:21

Marko 13:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Mt 24:22

Marko 13:21

Marejeo

  • +Mt 24:23, 24; Lu 17:23; 21:8; 1Yo 4:1

Marko 13:22

Marejeo

  • +Mt 7:15

Marko 13:23

Marejeo

  • +Mt 24:42; Efe 6:18; 2Pe 3:17

Marko 13:24

Marejeo

  • +Mt 24:29; Lu 21:25, 26

Marko 13:26

Marejeo

  • +Da 7:13
  • +Mt 24:30; Lu 21:27; Ufu 1:7

Marko 13:27

Marejeo

  • +Mt 24:31

Marko 13:28

Marejeo

  • +Mt 24:32; Lu 21:29-33

Marko 13:29

Marejeo

  • +Mt 24:33

Marko 13:30

Marejeo

  • +Mt 24:34; Lu 21:32

Marko 13:31

Marejeo

  • +Isa 51:6
  • +Yos 23:14; Isa 40:8; Mt 24:35

Marko 13:32

Marejeo

  • +Mt 24:36; Mdo 1:7

Marko 13:33

Marejeo

  • +Ro 13:11; 1Th 5:6
  • +Mt 25:13; Lu 21:34

Marko 13:34

Marejeo

  • +Mt 25:14
  • +Lu 12:35, 36

Marko 13:35

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “jogoo anapowika.”

Marejeo

  • +Mt 24:42
  • +Lu 21:36

Marko 13:36

Marejeo

  • +Mt 25:5

Marko 13:37

Marejeo

  • +Hab 2:3

Jumla

Marko 13:1Mt 24:1; Lu 21:5
Marko 13:2Law 26:31; Mt 24:2; Lu 19:44; 21:6
Marko 13:4Mt 24:3; Lu 21:7
Marko 13:5Mt 24:4, 5; Lu 21:8
Marko 13:7Mt 24:6; Lu 21:9
Marko 13:8Ufu 6:4
Marko 13:8Mt 24:7; Lu 21:10, 11; Ufu 6:6, 8
Marko 13:8Mt 24:8
Marko 13:9Mdo 4:15
Marko 13:9Mt 10:17; Yoh 16:2
Marko 13:9Mt 24:9; Lu 21:12, 13; 2Ti 3:12; Ufu 2:10
Marko 13:10Mt 24:14; Ro 10:18; Ufu 14:6
Marko 13:11Kut 4:12; Mt 10:19, 20; Lu 12:11, 12; 21:14, 15; Mdo 4:8; 6:9, 10
Marko 13:12Mik 7:6; Mt 10:21; Lu 21:16; 2Ti 3:1, 3
Marko 13:13Lu 21:17
Marko 13:132Ti 4:7; Ebr 3:6
Marko 13:13Mt 10:22; 24:13; Lu 21:19; Ufu 2:10
Marko 13:14Da 9:27; 11:31
Marko 13:14Mt 24:15-20; Lu 21:20-23
Marko 13:17Lu 21:23; 23:28
Marko 13:19Ufu 7:14
Marko 13:19Da 12:1; Mt 24:21
Marko 13:20Mt 24:22
Marko 13:21Mt 24:23, 24; Lu 17:23; 21:8; 1Yo 4:1
Marko 13:22Mt 7:15
Marko 13:23Mt 24:42; Efe 6:18; 2Pe 3:17
Marko 13:24Mt 24:29; Lu 21:25, 26
Marko 13:26Da 7:13
Marko 13:26Mt 24:30; Lu 21:27; Ufu 1:7
Marko 13:27Mt 24:31
Marko 13:28Mt 24:32; Lu 21:29-33
Marko 13:29Mt 24:33
Marko 13:30Mt 24:34; Lu 21:32
Marko 13:31Isa 51:6
Marko 13:31Yos 23:14; Isa 40:8; Mt 24:35
Marko 13:32Mt 24:36; Mdo 1:7
Marko 13:33Ro 13:11; 1Th 5:6
Marko 13:33Mt 25:13; Lu 21:34
Marko 13:34Mt 25:14
Marko 13:34Lu 12:35, 36
Marko 13:35Mt 24:42
Marko 13:35Lu 21:36
Marko 13:36Mt 25:5
Marko 13:37Hab 2:3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Marko 13:1-37

Kulingana na Marko

13 Alipokuwa akitoka hekaluni mmoja wa wanafunzi wake akamwambia: “Mwalimu, ona! jinsi mawe na majengo haya yalivyo maridadi!”+ 2 Hata hivyo, Yesu akamwambia: “Unayaona majengo haya makubwa? Hakuna jiwe litakaloachwa hapa juu ya jiwe lingine bila kuangushwa chini.”+

3 Alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa Mizeituni, huku hekalu likiwa linaonekana, Petro, Yakobo, Yohana, na Andrea wakamuuliza faraghani: 4 “Tuambie, mambo haya yatatukia lini, na nini itakayokuwa ishara ya wakati ambapo mambo haya yatafikia mwisho?”+ 5 Basi Yesu akaanza kuwaambia: “Jihadharini ili mtu yeyote asiwapotoshe.+ 6 Wengi watakuja kwa msingi wa jina langu, wakisema, ‘Mimi ndiye,’ nao watawapotosha wengi. 7 Zaidi ya hayo, mtakaposikia kuhusu vita na habari za vita, msiogope; lazima mambo hayo yatukie, lakini ule mwisho bado.+

8 “Kwa maana taifa litapigana na taifa na ufalme kupigana na ufalme;+ kutakuwa na matetemeko ya ardhi sehemu mbalimbali; pia kutakuwa na upungufu wa chakula.+ Mambo hayo ni mwanzo wa maumivu ya taabu.+

9 “Lakini ninyi jihadharini. Watu watawapeleka mahakamani,+ nanyi mtapigwa katika masinagogi+ na kusimamishwa mbele ya magavana na wafalme kwa ajili yangu, ili kuwa ushahidi kwao.+ 10 Pia, katika mataifa yote, lazima habari njema ihubiriwe kwanza.+ 11 Na watakapokuwa wakiwapeleka kuwashtaki, msihangaike kuhusu jambo mtakalosema; bali semeni jambo mtakalopewa saa hiyo, kwa maana si ninyi mnaosema, bali ni roho takatifu.+ 12 Isitoshe, ndugu atamtoa ndugu yake ili auawe, na baba atamtoa mtoto, na watoto watainuka dhidi ya wazazi na kufanya wauawe.+ 13 Nanyi mtachukiwa na watu wote kwa sababu ya jina langu.+ Lakini yule atakayevumilia* mpaka mwisho+ ndiye atakayeokolewa.+

14 “Hata hivyo, mtakapoona kile kitu chenye kuchukiza sana kinachosababisha ukiwa+ kikiwa kimesimama mahali ambapo hakipaswi kuwa (msomaji na atumie utambuzi), ndipo wale walio Yudea waanze kukimbilia milimani.+ 15 Mtu aliye juu ya paa la nyumba asishuke wala asiingie kuchukua kitu chochote ndani ya nyumba yake; 16 na mtu aliye shambani asirudi kwenye vitu vilivyo nyuma ili kuchukua vazi lake la nje. 17 Ole wao wanawake wenye mimba na wale wanaonyonyesha mtoto katika siku hizo!+ 18 Endeleeni kusali kwamba isitukie wakati wa majira ya baridi kali; 19 kwa maana siku hizo zitakuwa za dhiki+ ambayo haijawahi kutokea tangu mwanzo wa uumbaji ambao Mungu aliumba mpaka wakati huo, na haitatokea tena.+ 20 Kwa kweli, kama Yehova* hangezifupisha siku hizo, hakuna mwili wowote ambao ungeokolewa. Lakini kwa sababu ya wale waliochaguliwa ambao amewachagua, amezifupisha siku hizo.+

21 “Pia, mtu yeyote akiwaambia, ‘Tazama! Kristo yuko hapa,’ ‘Tazama! yuko pale,’ msiamini.+ 22 Kwa maana Kristo wengi wa uwongo na manabii wa uwongo+ watatokea na kufanya ishara na maajabu ili kuwapotosha, ikiwezekana, hata wale waliochaguliwa. 23 Basi, jihadharini.+ Nimewaambia mambo yote mapema.

24 “Lakini katika siku hizo, baada ya dhiki hiyo, jua litatiwa giza, na mwezi hautatoa nuru yake,+ 25 nazo nyota zitakuwa zikianguka kutoka mbinguni na nguvu zilizo katika mbingu zitatikiswa. 26 Ndipo watakapomwona Mwana wa binadamu+ akija katika mawingu akiwa na nguvu nyingi na utukufu.+ 27 Kisha atawatuma malaika wawakusanye watu wake waliochaguliwa kutoka kwenye zile pepo nne, kuanzia mwisho wa dunia mpaka mwisho wa mbingu.+

28 “Basi jifunzeni mfano huu kutokana na mtini: Mara tu matawi yake machanga yanapokuwa laini na kuchipua majani, mnajua kwamba kiangazi kinakaribia.+ 29 Vivyo hivyo, ninyi pia mtakapoona mambo hayo yakitukia, jueni kwamba yuko karibu, yuko mlangoni.+ 30 Kwa kweli ninawaambia kizazi hiki hakitapitilia mbali kamwe mpaka mambo haya yote yatukie.+ 31 Mbingu na dunia zitapitilia mbali,+ lakini maneno yangu hayatapitilia mbali kamwe.+

32 “Kuhusu siku hiyo au saa hiyo hakuna mtu anayejua, wala malaika mbinguni wala Mwana, ila Baba.+ 33 Endeleeni kutazama, endeleeni kukaa macho,+ kwa maana hamjui wakati uliowekwa ni lini.+ 34 Ni kama mtu anayesafiri ng’ambo ambaye aliacha nyumba yake na kuwapa watumwa wake mamlaka,+ kila mmoja kazi yake, na kumwamuru mlinzi wa mlango aendelee kukesha.+ 35 Kwa hiyo, endeleeni kukesha, kwa maana hamjui bwana wa nyumba anakuja wakati gani,+ iwe ni jioni, usiku wa manane, kabla ya alfajiri,* au asubuhi na mapema,+ 36 ili anapofika ghafla, asiwakute mkiwa mmelala usingizi.+ 37 Lakini ninachowaambia ninyi, ninawaambia pia watu wote: Endeleeni kukesha.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki