Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 2
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Ayubu—Yaliyomo

      • Shetani atilia shaka tena nia ya Ayubu (1-5)

      • Shetani aruhusiwa kugusa mwili wa Ayubu (6-8)

      • Mke wa Ayubu: “Mtukane Mungu, ufe!” (9, 10)

      • Ayubu atembelewa na marafiki watatu (11-13)

Ayubu 2:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Msemo wa Kiebrania unaorejelea malaika, wana wa Mungu.

Marejeo

  • +Mwa 6:2; Kum 33:2; Ayu 38:7
  • +Zb 103:20; Da 7:13
  • +Ayu 1:6-8

Ayubu 2:2

Marejeo

  • +1Pe 5:8

Ayubu 2:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “umeuweka moyo wako juu ya.”

  • *

    Au “mtu asiye na lawama na mnyoofu.”

  • *

    Tnn., “nimmeze.”

Marejeo

  • +Mwa 6:9
  • +Ayu 27:5
  • +Ayu 1:11

Ayubu 2:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi yake.”

Ayubu 2:5

Marejeo

  • +Law 24:15, 16; Ayu 1:11, 12; Ufu 12:10

Ayubu 2:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi yake.”

Ayubu 2:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbele za uso wa.”

  • *

    Au “vidonda vibaya sana.”

Marejeo

  • +Ayu 30:30

Ayubu 2:8

Marejeo

  • +Yer 6:26

Ayubu 2:10

Marejeo

  • +Ayu 1:21
  • +Yak 5:10, 11

Ayubu 2:11

Marejeo

  • +Ayu 4:1; 15:1; 22:1; 42:7, 9
  • +Ayu 8:1; 18:1; 25:1
  • +Mwa 25:1, 2
  • +Ayu 11:1; 20:1

Ayubu 2:12

Marejeo

  • +Eze 27:30, 31

Ayubu 2:13

Marejeo

  • +Ayu 16:6

Jumla

Ayu. 2:1Mwa 6:2; Kum 33:2; Ayu 38:7
Ayu. 2:1Zb 103:20; Da 7:13
Ayu. 2:1Ayu 1:6-8
Ayu. 2:21Pe 5:8
Ayu. 2:3Mwa 6:9
Ayu. 2:3Ayu 27:5
Ayu. 2:3Ayu 1:11
Ayu. 2:5Law 24:15, 16; Ayu 1:11, 12; Ufu 12:10
Ayu. 2:7Ayu 30:30
Ayu. 2:8Yer 6:26
Ayu. 2:10Ayu 1:21
Ayu. 2:10Yak 5:10, 11
Ayu. 2:11Ayu 4:1; 15:1; 22:1; 42:7, 9
Ayu. 2:11Ayu 8:1; 18:1; 25:1
Ayu. 2:11Mwa 25:1, 2
Ayu. 2:11Ayu 11:1; 20:1
Ayu. 2:12Eze 27:30, 31
Ayu. 2:13Ayu 16:6
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Ayubu 2:1-13

Ayubu

2 Baadaye siku ilifika ambayo wana wa Mungu wa kweli*+ waliingia na kusimama mbele za Yehova,+ na Shetani pia akaingia kati yao na kusimama mbele za Yehova.+

2 Ndipo Yehova akamuuliza Shetani: “Umetoka wapi?” Shetani akamjibu Yehova: “Nimetoka kuzururazurura na kutembeatembea duniani.”+ 3 Yehova akamwambia Shetani: “Je, umemwona* mtumishi wangu Ayubu? Hakuna yeyote aliye kama yeye duniani. Yeye ni mtu mnyoofu na mtimilifu,*+ anayemwogopa Mungu na kuepuka uovu. Bado anashika kabisa utimilifu+ wake, hata ingawa unajaribu kunichochea dhidi yake+ ili nimwangamize* bila sababu.” 4 Lakini Shetani akamjibu Yehova: “Ngozi kwa ngozi. Mtu atatoa kila kitu alicho nacho ili aokoe uhai wake.* 5 Lakini, ili mambo yabadilike, nyoosha mkono wako upige mfupa na nyama yake, na kwa hakika atakutukana mbele za uso wako mwenyewe.”+

6 Ndipo Yehova akamwambia Shetani: “Tazama! Yumo mikononi mwako! Ila tu usiondoe uhai wake!”* 7 Kwa hiyo Shetani akaondoka mbele za* Yehova, akampiga Ayubu kwa majipu yenye maumivu makali*+ kuanzia wayo wa mguu mpaka utosini. 8 Na Ayubu akachukua kigae na kukitumia kujikuna, naye aliketi kwenye majivu.+

9 Hatimaye mke wake akamwambia: “Je, bado unashika kabisa utimilifu wako? Mtukane Mungu, ufe!” 10 Lakini akamwambia: “Unazungumza kama mmojawapo wa wanawake wapumbavu. Je, tukubali tu mambo mema kutoka kwa Mungu wa kweli, tusikubali pia mambo mabaya?”+ Licha ya hayo yote, Ayubu hakutenda dhambi kwa midomo yake.+

11 Marafiki watatu wa Ayubu wakasikia kuhusu misiba yote iliyompata Ayubu, kila mmoja wao akaja kutoka nyumbani kwake—Elifazi+ Mtemani, Bildadi+ Mshua,+ na Sofari+ Mnaamathi. Basi wakakubaliana kukutana ili waende kumpa pole na kumfariji Ayubu. 12 Walipomwona kwa mbali, hawakumtambua. Wakaanza kulia kwa sauti kubwa na kurarua mavazi yao, wakarusha mavumbi hewani na juu ya vichwa vyao.+ 13 Kisha wakaketi ardhini pamoja naye kwa siku saba, mchana na usiku. Hakuna yeyote kati yao aliyemwambia neno lolote kwa sababu waliona kwamba alikuwa na maumivu makali sana.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki