Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 79
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Sala iliyotolewa mataifa yalipowavamia watu wa Mungu

        • ‘Sisi ni kitu cha kushutumiwa’ (4)

        • ‘Tusaidie kwa ajili ya jina lako’ (9)

        • “Walipize jirani zetu mara saba” (12)

Zaburi 79:utangulizi

Marejeo

  • +1Nya 25:1

Zaburi 79:1

Marejeo

  • +Kut 15:17
  • +2Fa 24:12, 13; Zb 74:3, 7; Omb 1:10
  • +2Fa 25:9, 10; 2Nya 36:17-19; Yer 52:13

Zaburi 79:2

Marejeo

  • +Yer 7:33; 15:3; 34:20

Zaburi 79:3

Marejeo

  • +Yer 14:16; 16:4

Zaburi 79:4

Marejeo

  • +Kum 28:37; Eze 36:4

Zaburi 79:5

Marejeo

  • +Zb 74:1; 85:5; Isa 64:9
  • +Sef 1:18

Zaburi 79:6

Marejeo

  • +Yer 10:25

Zaburi 79:7

Marejeo

  • +2Nya 36:20, 21

Zaburi 79:8

Marejeo

  • +Ne 9:34
  • +Zb 69:17; Omb 3:22

Zaburi 79:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ufunike.”

Marejeo

  • +1Nya 16:35
  • +Yos 7:9; 1Sa 12:22; 2Nya 14:11; Zb 115:1, 2; Isa 48:9; Yer 14:7

Zaburi 79:10

Marejeo

  • +Yoe 2:17
  • +Yer 51:35; Eze 36:23

Zaburi 79:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mkono wako.”

  • *

    Au labda, “kuwaweka huru.”

  • *

    Tnn., “wana wa kifo.”

Marejeo

  • +Kut 2:23; Isa 42:6, 7
  • +Zb 102:19, 20

Zaburi 79:12

Marejeo

  • +Yer 12:14
  • +Zb 74:18

Zaburi 79:13

Marejeo

  • +Zb 74:1; 95:7; 100:3
  • +Zb 145:4; Isa 43:21

Jumla

Zab. 79:utangulizi1Nya 25:1
Zab. 79:1Kut 15:17
Zab. 79:12Fa 24:12, 13; Zb 74:3, 7; Omb 1:10
Zab. 79:12Fa 25:9, 10; 2Nya 36:17-19; Yer 52:13
Zab. 79:2Yer 7:33; 15:3; 34:20
Zab. 79:3Yer 14:16; 16:4
Zab. 79:4Kum 28:37; Eze 36:4
Zab. 79:5Zb 74:1; 85:5; Isa 64:9
Zab. 79:5Sef 1:18
Zab. 79:6Yer 10:25
Zab. 79:72Nya 36:20, 21
Zab. 79:8Ne 9:34
Zab. 79:8Zb 69:17; Omb 3:22
Zab. 79:91Nya 16:35
Zab. 79:9Yos 7:9; 1Sa 12:22; 2Nya 14:11; Zb 115:1, 2; Isa 48:9; Yer 14:7
Zab. 79:10Yoe 2:17
Zab. 79:10Yer 51:35; Eze 36:23
Zab. 79:11Kut 2:23; Isa 42:6, 7
Zab. 79:11Zb 102:19, 20
Zab. 79:12Yer 12:14
Zab. 79:12Zb 74:18
Zab. 79:13Zb 74:1; 95:7; 100:3
Zab. 79:13Zb 145:4; Isa 43:21
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 79:1-13

Zaburi

Muziki wa Asafu.+

79 Ee Mungu, mataifa yamevamia urithi wako;+

Yamelichafua hekalu lako takatifu;+

Yamebadili Yerusalemu kuwa rundo la magofu.+

 2 Wamewapa ndege wa angani maiti za watumishi wako kuwa chakula chao

Na miili ya washikamanifu wako wamewapa wanyama wa mwituni wa dunia.+

 3 Wamemwaga damu yao kama maji kotekote Yerusalemu,

Na hakuna aliyebaki wa kuwazika.+

 4 Tumekuwa kitu cha kushutumiwa na majirani wetu;+

Wale wanaotuzunguka wanatudhihaki na kutufanyia mzaha.

 5 Ee Yehova, utaendelea kuwaka hasira mpaka lini? Milele?+

Ghadhabu yako itaendelea kuwaka kama moto mpaka lini?+

 6 Yamwagie ghadhabu yako mataifa ambayo hayakujui

Na falme ambazo haziliitii jina lako.+

 7 Kwa maana wamemnyafua Yakobo

Nao wameifanya nchi yake ukiwa.+

 8 Usitufanye tuwajibike kwa sababu ya makosa ya mababu zetu.+

Tuonyeshe haraka rehema yako,+

Kwa maana tumeshushwa chini sana.

 9 Tusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+

Kwa ajili ya jina lako tukufu;

Tuokoe na kutusamehe* dhambi zetu kwa ajili ya jina lako.+

10 Kwa nini mataifa yaseme: “Mungu wao yuko wapi?”+

Na ijulikane miongoni mwa mataifa mbele ya macho yetu

Kwamba damu iliyomwagwa ya watumishi wako imelipiziwa kisasi.+

11 Na usikie kilio cha maumivu cha mfungwa.+

Tumia nguvu zako kuu* kuwahifadhi* wale waliohukumiwa kifo.*+

12 Walipize majirani wetu mara saba+

Kwa sababu ya shutuma walizotoa dhidi yako, Ee Yehova.+

13 Kisha sisi, watu wako na kondoo wa malisho yako,+

Tutakushukuru milele;

Nasi tutatangaza sifa yako kizazi mpaka kizazi.+

Tanzanian sign language publications (2020-2026)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki