Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 75
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Mungu ahukumu kwa haki

        • Waovu watakunywa kikombe cha Yehova (8)

Zaburi 75:utangulizi

Marejeo

  • +2Nya 35:15

Zaburi 75:1

Marejeo

  • +Isa 30:27

Zaburi 75:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “pembe yenu.”

Zaburi 75:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “pembe yenu.”

Zaburi 75:7

Marejeo

  • +Zb 50:6; 58:11
  • +1Sa 2:7; Da 2:21; 4:17; Lu 1:52

Zaburi 75:8

Marejeo

  • +Zb 11:5, 6
  • +Ayu 21:19, 20; Yer 25:15, 28; 49:12; Ufu 14:9, 10; 16:19; 18:6

Zaburi 75:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nitampigia muziki.”

Zaburi 75:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “pembe.”

  • *

    Tnn., “pembe.”

Jumla

Zab. 75:utangulizi2Nya 35:15
Zab. 75:1Isa 30:27
Zab. 75:7Zb 50:6; 58:11
Zab. 75:71Sa 2:7; Da 2:21; 4:17; Lu 1:52
Zab. 75:8Zb 11:5, 6
Zab. 75:8Ayu 21:19, 20; Yer 25:15, 28; 49:12; Ufu 14:9, 10; 16:19; 18:6
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 75:1-10

Zaburi

Kwa kiongozi. Umepatanishwa na muziki wa “Usiharibu.” Wimbo wa Asafu.+

75 Tunakushukuru, Ee Mungu, tunakushukuru;

Jina lako liko karibu,+

Na watu wanatangaza kazi zako zinazostaajabisha.

 2 Unasema: “Ninapoweka wakati hususa,

Ninahukumu kwa haki.

 3 Dunia na wakaaji wake wote walipoyeyushwa,

Mimi ndiye niliyeziimarisha nguzo zake.” (Sela)

 4 Ninawaambia wenye kujigamba, “Msijigambe,”

Na waovu, “Msikweze nguvu zenu.*

 5 Msikweze nguvu zenu* juu sana

Au kuongea kwa kiburi.

 6 Kwa maana kukwezwa

Hakutoki mashariki wala magharibi wala kusini.

 7 Kwa maana Mungu ni Mwamuzi.+

Humshusha huyu na kumkweza yule.+

 8 Kwa maana kuna kikombe mkononi mwa Yehova;+

Divai inatoa povu nayo imechanganywa kikamili.

Hakika ataimwaga,

Na waovu wote duniani watainywa, mpaka machicha yake.”+

 9 Lakini mimi, nitalitangaza hilo milele;

Nitamwimbia sifa* Mungu wa Yakobo.

10 Kwa maana anasema: “Nitazikata nguvu* zote za waovu.”

Lakini nguvu* za waadilifu zitakwezwa.

Tanzanian sign language publications (2020-2026)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki