Tafsiri ya Ulimwegu Mpya Mika—Yaliyomo MIKA YALIYOMO 1 Hukumu dhidi ya Samaria na Yuda (1-16) Matatizo yasababishwa na dhambi na uasi (5) 2 Ole kwa wakandamizaji! (1-11) Waisraeli wakusanywa na kuunganishwa (12, 13) Nchi itakuwa na kelele za watu (12) 3 Viongozi na manabii washutumiwa (1-12) Mika apata nguvu nyingi kwa sababu ya roho ya Yehova (8) Makuhani wafundisha ili wapate pesa (11) Yerusalemu litabaki marundo ya magofu (12) 4 Mlima wa Yehova wainuliwa (1-5) Panga zitakuwa majembe (3) “Tutatembea katika jina la Yehova” (5) Sayuni lajengwa upya na kuimarishwa (6-13) 5 Mtawala atakayekuwa mkuu katika dunia yote (1-6) Mtawala atatoka Bethlehemu (2) Watu waliobaki watakuwa kama umande na kama simba (7-9) Nchi itatakaswa (10-15) 6 Mungu ana kesi dhidi ya Waisraeli (1-5) Yehova anataka nini? (6-8) Haki, ushikamanifu, kiasi (8) Hatia na adhabu ya Waisraeli (9-16) 7 Maadili mapotovu ya Waisraeli (1-6) Adui watakuwa watu wa nyumbani (6) “Nitaonyesha mtazamo wa kumngojea Mungu” (7) Watu wa Mungu watetewa (8-13) Mika asali na kumsifu Mungu (14-20) Jibu la Yehova (15-17) ‘Ni Mungu gani aliye kama Yehova?’ (18)