Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj 87
  • Njooni! Mburudishwe

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Njooni! Mburudishwe
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Kujitayarisha Kuhubiri
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Lazima Tuwe na Imani
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Sifa ya Wema
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • “Mimi Hapa! Nitume Mimi! ”
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj 87

WIMBO NA. 87

Njooni! Mburudishwe

(Waebrania 10:24, 25)

  1. 1. Leo ulimwengu umepotoka;

    Haumtambui Mungu.

    Mwongozo ufaao twahitaji,

    Peke yetu hatuwezi.

    Mikutano yetu huburudisha;

    Imani huimarisha.

    Inatuchochea kutenda mema,

    Inatufariji sana.

    Hatutaacha amri za Yehova;

    Wala kumtumikia.

    Twafunzwa mema kwenye mikutano;

    Ili tuipende kweli.

  2. 2. Mungu ajua mahitaji yetu;

    Neno lake tulitii.

    Tununue wakati wa kuwapo,

    Kwenye mikutano yote.

    Wanaume wamwogopao Mungu,

    hutufunza njia zake.

    Ndugu na dada zetu wa kiroho,

    Hututegemeza sana.

    Twatazamia wakati ujao,

    Kuona wapendwa wetu.

    Twafundishwa maisha yafaayo,

    Kwa hekima toka juu.

(Ona pia Zab. 37:18; 140:1; Met. 18:1; Efe. 5:16; Yak. 3:17.)

    Tanzanian sign language publications(2020-2025)
    Toka
    Ingia
    • Lugha ya Alama ya Tanzania
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki