Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj 112
  • Yehova, Mungu wa Amani

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yehova, Mungu wa Amani
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj 112

WIMBO NA. 112

Yehova, Mungu wa Amani

(Wafilipi 4:9)

  1. 1. Mungu wa upendo,

    Yehova Mungu wetu,

    Twakuomba roho yako,

    Tukuze sifa zako.

    Ulitununua,

    Kwa damu ya Mwanao.

    Twaomba utukubali

    Tupe amani Yako.

  2. 2. Roho yako wewe,

    Yatupa ufahamu.

    Twaongozwa na kulindwa

    Katika ulimwengu.

    Tunatazamia

    Mwisho wa matatizo.

    Tupe roho takatifu,

    Tuishi kwa amani.

  3. 3. Umewakusanya

    Wale uwapendao.

    Tumependelewa sana,

    Kukuabudu wewe.

    Utawala wako,

    Utaleta baraka.

    Kisha watumishi wako,

    Waishi kwa amani.

(Ona pia Zab. 4:8; Flp. 4:​6, 7; 1 The. 5:23.)

    Tanzanian sign language publications(2020-2025)
    Toka
    Ingia
    • Lugha ya Alama ya Tanzania
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki