Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj 158
  • ‘Haitachelewa!’

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • ‘Haitachelewa!’
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Endelea Kuwa Mwenye Subira
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2023
  • Je, Uko Tayari Kumngojea Yehova?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2021
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj 158

WIMBO NA. 158

‘Haitachelewa!’

(Habakuki 2:3)

  1. 1. Dunia yetu, inapendeza—

    Uliiumba kwa subira nyingi.

    Japo waovu, waiharibu.

    Unasubiri kuifanya upya.

    (KORASI)

    Baba, twatamani Paradiso ije.

    Tupatie subira.

    Siku yako yaja, haitachelewa.

    Iko karibu sana,

    Tuna hakika!

  2. 2. Utafufua waliokufa.

    Unatamani wawe hai tena.

    Baba, twajua unawapenda.

    Tusaidie tuwe na subira.

    (KORASI)

    Baba, twatamani Paradiso ije.

    Tupatie subira.

    Siku yako yaja, haitachelewa.

    Iko karibu sana,

    Tuna hakika!

  3. 3. Unatafuta; watu wazuri.

    Ili uwape uzima milele.

    Tunahubiri, pamoja nawe,

    Hilo hufanya tukukaribie.

    (KORASI)

    Baba, twatamani Paradiso ije.

    Tupatie subira.

    Siku yako yaja, haitachelewa.

    Iko karibu sana,

    Tuna hakika!

    Baba, tupe subira!

(Ona pia Kol. 1:11.)

    Tanzanian sign language publications(2020-2025)
    Toka
    Ingia
    • Lugha ya Alama ya Tanzania
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki