Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • lfb seh. 6
  • Utangulizi wa Sehemu ya 6

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Utangulizi wa Sehemu ya 6
  • Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
  • Habari Zinazolingana
  • Ahadi ya Yeftha
    Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
  • Ruthu na Naomi
    Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
  • Utangulizi wa Sehemu ya 5
    Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
lfb seh. 6
Samsoni akibeba malango ya jiji la Gaza

Utangulizi wa Sehemu ya 6

Waisraeli walipofika Nchi ya Ahadi, maskani ikawa kitovu cha ibada. Makuhani waliwafundisha watu Sheria, na waamuzi wakaongoza taifa hilo. Sehemu hii inaonyesha jinsi maamuzi na matendo ya mtu yanavyoweza kuwaathiri sana watu wengine. Kila Mwisraeli alikuwa na wajibu mbele za Yehova na kwa watu wengine. Onyesha jinsi mifano mizuri ya Debora, Naomi, Yoshua, Hana, binti ya Yeftha, na Samweli ilivyowachochea wengine. Kazia kwamba hata watu fulani ambao hawakuwa Waisraeli, kama vile Rahabu, Ruthu, Yaeli, na Wagibeoni waliamua kujiunga na Waisraeli kwa kuwa walitambua kwamba Mungu alikuwa pamoja nao.

MAMBO MAKUU

  • Yehova aliwatumia waamuzi kuwaokoa watu wake kimuujiza

  • Watu waaminifu, vijana kwa wazee, walithawabishwa kwa kumtegemea Yehova kikamili

  • Mungu hana ubaguzi; anawakubali watu kutoka mataifa yote wanaompenda na kutenda mema

    Tanzanian sign language publications(2020-2025)
    Toka
    Ingia
    • Lugha ya Alama ya Tanzania
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki