Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj 100
  • Wakaribisheni

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Wakaribisheni
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Kuwahubiria Watu wa Namna Zote
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj 100

WIMBO NA. 100

Wakaribisheni

(Matendo 17:7)

  1. 1. Yehova huonyesha ukarimu.

    Ubaguzi hana, si mdhalimu

    Jua nayo mvua,

    hanyimi yeyote.

    Hutoa chakula kwa wote.

    Tuwafadhilipo watu wa chini,

    Twamwiga Yehova, Anathamini.

    Naye Baba yetu,

    atatufadhili,

    Kwa wema wetu na fadhili.

  2. 2. Hatuwezi kujua matokeo,

    Ya kutokuwa na upendeleo.

    Hata iwe kwamba,

    hatuwafahamu,

    Twawakaribisha kwa hamu.

    Nasi twawaambia, ‘karibuni! ’

    Wajistareheshe bila huzuni.

    Mungu awajua

    wote wamwigao.

    Wawafadhilio wenzao.

(Ona pia Mdo. 16:​14, 15; Rom. 12:13; 1 Tim. 3:2; Ebr. 13:2; 1 Pet. 4:9.)

    Tanzanian sign language publications (2020-2025)
    Toka
    Ingia
    • Lugha ya Alama ya Tanzania
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki