Tafuta Majibu ya Maswali Haya:
1. Tunawezaje ‘kusikia yale ambayo roho inasema’? (Ufu. 1:3, 10, 11; 3:19)
2. Ni nini kitakachotusaidia kuendelea kuwa wenye bidii na kuvumilia? (Ufu. 2:4)
3. Tunaweza kujitayarisha jinsi gani ili tuvumilie mateso kwa ujasiri? (Met. 29:25; Ufu. 2:10, 11)
4. Tunawezaje kuepuka kukana imani yetu katika Yesu? (Ufu. 2:12-16)
5. Tunawezaje kuendelea kushika imara kile tulicho nacho? (Ufu. 2:24, 25; 3:1-3, 7, 8, 10, 11)
6. Ni nini kitakachotusaidia kuendelea kuwa wenye bidii? (Ufu. 3:14-19; Mt. 6:25-27, 31-33)
© 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
CA-brpgm26-SW