Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

a Pindi fulani, malaika pia walimwakilisha Yehova walipowasilisha jumbe mbalimbali katika jina lake. Hiyo ndiyo sababu kuna sehemu katika Biblia ambazo malaika anatajwa au anarejelewa kana kwamba ni Yehova mwenyewe. (Mwa. 18:​1-33) Ingawa Maandiko yanasema kwamba Musa alipokea Sheria kutoka kwa Yehova, mistari mingine inaonyesha kwamba alipokea Sheria hiyo kupitia malaika.—Law. 27:34; Mdo. 7:​38, 53; Gal. 3:19; Ebr. 2:​2-4.

Tanzanian sign language publications (2020-2026)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki