Maelezo ya Chini
c Katika sala yake, Hana alitumia maneno yanayofanana na yale yanayopatikana katika maandishi ya Musa. Ni wazi kwamba alitumia wakati kutafakari Maandiko. (Kum. 4:35; 8:18; 32:4, 39; 1 Sam. 2:2, 6, 7) Karne nyingi baadaye, Maria, mama ya Yesu, alitumia maneno ya sifa yanayofanana sana na maneno aliyosema Hana.—Luka 1:46-55.