Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 24
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kutoka—Yaliyomo

      • Watu wakubali kushika agano (1-11)

      • Musa akiwa kwenye Mlima Sinai (12-18)

Kutoka 24:1

Marejeo

  • +Law 10:1

Kutoka 24:2

Marejeo

  • +Kut 20:21; Hes 12:8

Kutoka 24:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “maamuzi yote ya hukumu.”

Marejeo

  • +Kut 21:1; Kum 4:1
  • +Kum 5:27; Yos 24:22

Kutoka 24:4

Marejeo

  • +Kut 34:27; Kum 31:9

Kutoka 24:5

Marejeo

  • +Law 3:1; 7:11

Kutoka 24:7

Marejeo

  • +Kum 31:11; Mdo 13:15
  • +Kut 19:8

Kutoka 24:8

Marejeo

  • +Ebr 12:24
  • +Ebr 9:18-20

Kutoka 24:10

Marejeo

  • +Yoh 1:18
  • +Eze 1:26; Ufu 4:3

Kutoka 24:11

Marejeo

  • +Kut 24:1

Kutoka 24:12

Marejeo

  • +Kum 5:22

Kutoka 24:13

Marejeo

  • +Hes 11:28
  • +Kut 24:2

Kutoka 24:14

Marejeo

  • +Kut 32:1
  • +Kut 17:10
  • +Kut 18:25, 26

Kutoka 24:15

Marejeo

  • +Kut 19:9

Kutoka 24:16

Marejeo

  • +Kut 16:10; Law 9:23; Hes 16:42
  • +Kut 19:11

Kutoka 24:18

Marejeo

  • +Kut 19:20
  • +Kut 34:28; Kum 9:9

Jumla

Kut. 24:1Law 10:1
Kut. 24:2Kut 20:21; Hes 12:8
Kut. 24:3Kut 21:1; Kum 4:1
Kut. 24:3Kum 5:27; Yos 24:22
Kut. 24:4Kut 34:27; Kum 31:9
Kut. 24:5Law 3:1; 7:11
Kut. 24:7Kum 31:11; Mdo 13:15
Kut. 24:7Kut 19:8
Kut. 24:8Ebr 12:24
Kut. 24:8Ebr 9:18-20
Kut. 24:10Yoh 1:18
Kut. 24:10Eze 1:26; Ufu 4:3
Kut. 24:11Kut 24:1
Kut. 24:12Kum 5:22
Kut. 24:13Hes 11:28
Kut. 24:13Kut 24:2
Kut. 24:14Kut 32:1
Kut. 24:14Kut 17:10
Kut. 24:14Kut 18:25, 26
Kut. 24:15Kut 19:9
Kut. 24:16Kut 16:10; Law 9:23; Hes 16:42
Kut. 24:16Kut 19:11
Kut. 24:18Kut 19:20
Kut. 24:18Kut 34:28; Kum 9:9
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Kutoka 24:1-18

Kutoka

24 Kisha akamwambia Musa: “Panda uje kwangu mimi Yehova, wewe na Haruni, Nadabu na Abihu,+ na wazee 70 wa Israeli, nanyi mwiname chini mkiwa mbali. 2 Musa anapaswa kunikaribia mimi, Yehova, akiwa peke yake; lakini wale wengine hawapaswi kunikaribia, na watu hawapaswi kupanda pamoja naye.”+

3 Kisha Musa akaja na kuwaambia watu maneno yote ya Yehova na sheria zote,*+ na watu wote wakajibu hivi kwa sauti moja: “Maneno yote ambayo Yehova amesema, tuko tayari kuyafanya.”+ 4 Basi Musa akaandika maneno yote ya Yehova.+ Kisha akaamka asubuhi na mapema na kujenga madhabahu kwenye sehemu ya chini ya mlima huo na nguzo 12 kulingana na idadi ya makabila 12 ya Israeli. 5 Baada ya hayo akawatuma wanaume vijana Waisraeli, nao wakatoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ng’ombe dume ili ziwe dhabihu za ushirika+ kwa Yehova. 6 Kisha Musa akachukua nusu ya damu ya wanyama hao na kuitia ndani ya mabakuli, na nusu ya damu hiyo akainyunyiza kwenye madhabahu. 7 Halafu akachukua kitabu cha agano na kuwasomea watu kwa sauti.+ Nao wakasema: “Mambo yote ambayo Yehova amesema tuko tayari kuyafanya, nasi tutatii.”+ 8 Basi Musa akachukua damu akawanyunyizia watu+ na kusema: “Hii ndiyo damu ya agano ambalo Yehova amefanya pamoja nanyi kulingana na maneno hayo yote.”+

9 Musa na Haruni, Nadabu na Abihu, na wazee 70 wa Israeli wakapanda mlimani, 10 nao wakamwona Mungu wa Israeli.+ Chini ya miguu yake palikuwa na kitu kilichoonekana kama sakafu ya yakuti, nacho kilikuwa safi kama mbingu zenyewe.+ 11 Hakuwadhuru wanaume hao wenye kuheshimika wa Israeli,+ nao walipata maono ya Mungu wa kweli, wakala na kunywa.

12 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Panda uje kwangu mlimani na ukae huku. Nitakupa mabamba ya mawe yenye sheria na amri nitakazoandika ili kuwafundisha watu.”+ 13 Basi Musa akaondoka pamoja na Yoshua mhudumu wake,+ naye Musa akapanda kwenye mlima wa Mungu wa kweli.+ 14 Lakini alikuwa amewaambia wale wazee: “Tungojeeni hapa mpaka tutakaporudi.+ Haruni na Huru+ wako pamoja nanyi. Yeyote aliye na kesi anaweza kuwapelekea.”+ 15 Ndipo Musa akapanda mlimani wingu lilipokuwa likiufunika mlima huo.+

16 Utukufu wa Yehova+ uliendelea kukaa juu ya Mlima Sinai,+ na wingu likaufunika kwa siku sita. Siku ya saba akamwita Musa kutoka katikati ya lile wingu. 17 Kwa Waisraeli waliokuwa wakitazama, utukufu wa Yehova ulionekana kama moto mkali kwenye kilele cha mlima. 18 Ndipo Musa akaingia ndani ya lile wingu na kupanda mlimani.+ Musa akakaa mlimani siku 40, mchana na usiku.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki