Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 39
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Yeremia—Yaliyomo

      • Kuanguka kwa Yerusalemu (1-10)

        • Sedekia akimbia kisha akamatwa (4-7)

      • Yeremia atalindwa (11-14)

      • Uhai wa Ebed-meleki utaokolewa (15-18)

Yeremia 39:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nebukadreza,” njia nyingine ya kuandika jina hili.

Marejeo

  • +2Fa 25:1, 2; Yer 52:4, 5; Eze 24:1, 2

Yeremia 39:2

Marejeo

  • +2Fa 25:3, 4; Yer 52:6, 7; Eze 33:21

Yeremia 39:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au kulingana na mpangilio tofauti wa maandishi ya Kiebrania, “Nergal-shareza, Samgari-nebo, Sarsekimu, Rabsarisi.”

  • *

    Au “mchawi mkuu (mnajimu).”

Marejeo

  • +Yer 1:15

Yeremia 39:4

Marejeo

  • +Kum 28:25
  • +2Fa 25:4-7; Yer 52:7-11

Yeremia 39:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nebukadreza,” njia nyingine ya kuandika jina hili.

Marejeo

  • +Yer 32:4; 38:18
  • +2Fa 23:31, 33
  • +2Fa 17:24

Yeremia 39:6

Marejeo

  • +Yer 21:7; 34:18-20

Yeremia 39:7

Marejeo

  • +Eze 12:13

Yeremia 39:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “jumba la.”

Marejeo

  • +Isa 5:9; Yer 38:18
  • +2Fa 25:9-11; 2Nya 36:17, 19; Ne 1:3; Yer 52:13-15

Yeremia 39:9

Marejeo

  • +2Fa 25:20; Yer 40:1; 52:12

Yeremia 39:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “wafanye utumishi wa lazima.”

Marejeo

  • +2Fa 25:12; Yer 52:16

Yeremia 39:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nebukadreza,” njia nyingine ya kuandika jina hili.

Yeremia 39:12

Marejeo

  • +Yer 40:2, 4

Yeremia 39:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ofisa mkuu wa makao ya mfalme.”

  • *

    Au “mchawi mkuu (mnajimu).”

Yeremia 39:14

Marejeo

  • +Yer 38:28
  • +2Fa 25:22; Yer 40:5; 41:2
  • +2Nya 34:20, 21; Yer 26:24
  • +2Fa 22:8

Yeremia 39:15

Marejeo

  • +Yer 32:2; 37:21

Yeremia 39:16

Marejeo

  • +Yer 38:7

Yeremia 39:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi yako itakuwa.”

  • *

    Au “Utaponyoka na uhai wako.”

Marejeo

  • +Yer 45:2, 5
  • +Zb 37:39, 40; Yer 17:7

Jumla

Yer. 39:12Fa 25:1, 2; Yer 52:4, 5; Eze 24:1, 2
Yer. 39:22Fa 25:3, 4; Yer 52:6, 7; Eze 33:21
Yer. 39:3Yer 1:15
Yer. 39:4Kum 28:25
Yer. 39:42Fa 25:4-7; Yer 52:7-11
Yer. 39:5Yer 32:4; 38:18
Yer. 39:52Fa 23:31, 33
Yer. 39:52Fa 17:24
Yer. 39:6Yer 21:7; 34:18-20
Yer. 39:7Eze 12:13
Yer. 39:8Isa 5:9; Yer 38:18
Yer. 39:82Fa 25:9-11; 2Nya 36:17, 19; Ne 1:3; Yer 52:13-15
Yer. 39:92Fa 25:20; Yer 40:1; 52:12
Yer. 39:102Fa 25:12; Yer 52:16
Yer. 39:12Yer 40:2, 4
Yer. 39:14Yer 38:28
Yer. 39:142Fa 25:22; Yer 40:5; 41:2
Yer. 39:142Nya 34:20, 21; Yer 26:24
Yer. 39:142Fa 22:8
Yer. 39:15Yer 32:2; 37:21
Yer. 39:16Yer 38:7
Yer. 39:18Yer 45:2, 5
Yer. 39:18Zb 37:39, 40; Yer 17:7
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Yeremia 39:1-18

Yeremia

39 Katika mwaka wa tisa wa utawala wa Mfalme Sedekia wa Yuda, katika mwezi wa kumi, Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni alikuja Yerusalemu na jeshi lake lote, na kulizingira jiji hilo.+

2 Katika mwaka wa 11 wa utawala wa Sedekia, mwezi wa nne, siku ya tisa ya mwezi huo, walibomoa sehemu ya ukuta wa jiji.+ 3 Na wakuu wote wa mfalme wa Babiloni wakaingia na kuketi katika Lango la Kati,+ yaani, Nergal-shareza yule Samgari, Nebo-sarsekimu yule Rabsarisi,* Nergal-shareza yule Rabmagi,* na wakuu wengine wote wa mfalme wa Babiloni.

4 Mfalme Sedekia wa Yuda na wanajeshi wote walipowaona walikimbia,+ wakatoka jijini wakati wa usiku kupitia njia ya bustani ya mfalme, kupitia lango lililokuwa kati ya kuta mbili, nao wakafuata njia inayoelekea Araba.+ 5 Lakini jeshi la Wakaldayo likawafuatia, nao wakamfikia Sedekia katika jangwa tambarare la Yeriko.+ Wakamkamata na kumleta kwa Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni kule Ribla+ katika nchi ya Hamathi,+ ambako alimhukumu. 6 Mfalme wa Babiloni akaagiza wana wa Sedekia wachinjwe mbele ya macho yake kule Ribla, na mfalme wa Babiloni akaagiza wakuu wote wa Yuda wachinjwe.+ 7 Ndipo akayapofusha macho ya Sedekia, kisha akamfunga kwa pingu za shaba ili ampeleke Babiloni.+

8 Halafu Wakaldayo wakaiteketeza nyumba ya* mfalme na nyumba za watu,+ nao wakazibomoa kabisa kuta za Yerusalemu.+ 9 Nebuzaradani+ mkuu wa walinzi akawapeleka uhamishoni kule Babiloni watu waliobaki jijini, na wale waliojisalimisha kwake, na yeyote aliyebaki.

10 Lakini Nebuzaradani mkuu wa walinzi aliwaacha katika nchi ya Yuda baadhi ya watu maskini kabisa, wale ambao hawakuwa na chochote. Siku hiyo aliwapatia pia mashamba ya mizabibu na mashamba mengine ili wayalime.*+

11 Ndipo Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni akamwagiza hivi Nebuzaradani mkuu wa walinzi kumhusu Yeremia: 12 “Mchukue nawe umtunze; usimdhuru, na umpe chochote atakachokuomba.”+

13 Basi Nebuzaradani mkuu wa walinzi, Nebushazbani yule Rabsarisi,* Nergal-shareza yule Rabmagi,* na wakuu wote wa mfalme wa Babiloni wakawatuma watu 14 wamtoe Yeremia katika Ua wa Walinzi+ na kumkabidhi kwa Gedalia+ mwana wa Ahikamu+ mwana wa Shafani+ ili apelekwe nyumbani kwake. Basi akaishi pamoja na watu wengine.

15 Yeremia alipokuwa amefungiwa katika Ua wa Walinzi,+ neno la Yehova lilimjia likisema: 16 “Nenda umwambie Ebed-meleki+ Mwethiopia, ‘Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Ninayatimiza maneno yangu kuhusu jiji hili ili kuleta msiba wala si mema, na siku hiyo utayaona yakitimia.”’

17 “‘Lakini nitakuokoa siku hiyo,’ asema Yehova, ‘nawe hutatiwa mikononi mwa watu unaowaogopa.’

18 “‘Kwa maana hakika nitakuokoa, nawe hutakufa kwa upanga. Uhai wako utakuwa* kama nyara,*+ kwa sababu ulinitumaini,’+ asema Yehova.”

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki