Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 24
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Ezekieli—Yaliyomo

      • Yerusalemu kama chungu cha kupikia chenye kutu (1-14)

      • Kifo cha mke wa Ezekieli ni ishara (15-27)

Ezekieli 24:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “jina la siku.”

Marejeo

  • +2Fa 25:1; Yer 39:1; 52:4

Ezekieli 24:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “istiari.”

  • *

    Au “chungu cha kupikia chenye mdomo mpana.”

Marejeo

  • +Eze 11:3

Ezekieli 24:4

Marejeo

  • +Eze 11:7

Ezekieli 24:5

Marejeo

  • +Yer 39:6

Ezekieli 24:6

Marejeo

  • +2Fa 21:16; Mik 7:2; Mt 23:35
  • +Eze 11:7, 9

Ezekieli 24:7

Marejeo

  • +Yer 2:34
  • +Law 17:13; Kum 12:16

Ezekieli 24:8

Marejeo

  • +2Fa 24:3, 4

Ezekieli 24:9

Marejeo

  • +Mt 23:37

Ezekieli 24:11

Marejeo

  • +Yer 21:10; 32:29; Eze 22:15

Ezekieli 24:12

Marejeo

  • +Yer 5:3; 6:29

Ezekieli 24:13

Marejeo

  • +2Nya 36:14; Eze 22:9
  • +Eze 5:12, 13; 8:18

Ezekieli 24:14

Marejeo

  • +Yer 13:14; Eze 5:11

Ezekieli 24:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kukipigapiga kifua chako.”

Marejeo

  • +Eze 24:18, 21

Ezekieli 24:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mdomo wako wa juu.”

  • *

    Tnn., “mkate wa wanadamu.”

Marejeo

  • +Yer 16:5
  • +Law 10:6
  • +2Sa 15:30
  • +Mik 3:7
  • +Yer 16:7

Ezekieli 24:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kitu ambacho nafsi yenu inakihurumia.”

Marejeo

  • +Zb 74:7; 79:1; Yer 7:14; Omb 1:10; 2:7; Eze 9:7
  • +2Nya 36:17; Yer 6:11

Ezekieli 24:22

Marejeo

  • +Eze 24:17

Ezekieli 24:23

Marejeo

  • +Law 26:39; Eze 33:10

Ezekieli 24:24

Marejeo

  • +Isa 8:18; 20:3; Eze 4:3

Ezekieli 24:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi zao.”

Marejeo

  • +Kum 28:32; Yer 11:22

Ezekieli 24:26

Marejeo

  • +Eze 33:21

Ezekieli 24:27

Marejeo

  • +Eze 3:26; 33:22

Jumla

Eze. 24:22Fa 25:1; Yer 39:1; 52:4
Eze. 24:3Eze 11:3
Eze. 24:4Eze 11:7
Eze. 24:5Yer 39:6
Eze. 24:62Fa 21:16; Mik 7:2; Mt 23:35
Eze. 24:6Eze 11:7, 9
Eze. 24:7Yer 2:34
Eze. 24:7Law 17:13; Kum 12:16
Eze. 24:82Fa 24:3, 4
Eze. 24:9Mt 23:37
Eze. 24:11Yer 21:10; 32:29; Eze 22:15
Eze. 24:12Yer 5:3; 6:29
Eze. 24:132Nya 36:14; Eze 22:9
Eze. 24:13Eze 5:12, 13; 8:18
Eze. 24:14Yer 13:14; Eze 5:11
Eze. 24:16Eze 24:18, 21
Eze. 24:17Yer 16:5
Eze. 24:17Law 10:6
Eze. 24:172Sa 15:30
Eze. 24:17Mik 3:7
Eze. 24:17Yer 16:7
Eze. 24:21Zb 74:7; 79:1; Yer 7:14; Omb 1:10; 2:7; Eze 9:7
Eze. 24:212Nya 36:17; Yer 6:11
Eze. 24:22Eze 24:17
Eze. 24:23Law 26:39; Eze 33:10
Eze. 24:24Isa 8:18; 20:3; Eze 4:3
Eze. 24:25Kum 28:32; Yer 11:22
Eze. 24:26Eze 33:21
Eze. 24:27Eze 3:26; 33:22
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Ezekieli 24:1-27

Ezekieli

24 Neno la Yehova likanijia tena katika mwaka wa tisa, mwezi wa kumi, siku ya kumi ya mwezi huo, likisema: 2 “Mwana wa binadamu, andika tarehe hii,* siku hiihii ya leo. Mfalme wa Babiloni ameanza kulishambulia Yerusalemu siku hiihii ya leo.+ 3 Na useme methali* kuhusu nyumba ya uasi, sema hivi kuwahusu:

“‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi:

“Weka motoni chungu cha kupikia;* kiweke motoni na utie maji ndani yake.+

 4 Weka vipande vya nyama ndani yake,+ kila kipande kizuri,

Paja na bega; kijaze kwa mifupa bora zaidi.

 5 Chukua kondoo bora zaidi katika kundi,+ na urundike kuni chini ya chungu kuzunguka pande zote.

Chemsha vipande hivyo, na upike mifupa iliyo ndani yake.’”

 6 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi:

‘Ole wake jiji la umwagaji wa damu,+ chungu cha kupikia chenye kutu, ambacho kutu yake haijaondolewa!

Toeni nyama ndani yake, kipande kwa kipande;+ msizipigie kura.

 7 Kwa maana damu yake imo ndani yake;+ aliimwaga juu ya mwamba ulio wazi.

Hakuimwaga ardhini, ili kuifunika kwa mavumbi.+

 8 Ili kuchochea ghadhabu ya kulipiza kisasi,

Nimeiweka damu yake juu ya mwamba ulio wazi, unaong’aa

Ili isifunikwe.’+

9 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi:

‘Ole wake jiji linalomwaga damu!+

Nitarundika rundo kubwa la kuni.

10 Rundika kuni na uwashe moto,

Chemsha nyama kabisa, umwage mchuzi mzito, na uiache mifupa iungue.

11 Kiweke chungu kisicho na kitu kwenye makaa ili kiwe moto

Ili shaba yake iwe moto kabisa.

Uchafu wake utayeyuka ndani yake,+ na kutu yake itateketezwa.

12 Ni jambo linalokatisha tamaa na kuchosha,

Kwa maana kutu yake nyingi haitatoka.+

Kitupeni motoni pamoja na kutu yake!’

13 “‘Uchafu wako ulisababishwa na mwenendo wako mchafu.+ Nilijaribu kukusafisha lakini hungeweza kuwa safi kutokana na uchafu wako. Hutakuwa safi mpaka ghadhabu yangu dhidi yako itakapotulia.+ 14 Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema. Itatendeka. Nitatenda bila kujizuia, bila huruma, bila kughairi.+ Watakuhukumu kulingana na njia zako na matendo yako,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”

15 Na neno la Yehova likanijia tena likisema: 16 “Mwana wa binadamu, kwa pigo moja niko karibu kumwondoa mpenzi wako kutoka kwako.+ Hupaswi kuomboleza;* wala hupaswi kulia wala kutokwa na machozi. 17 Lia kimyakimya kwa maumivu, wala usifanye desturi za kuwaombolezea waliokufa.+ Jifunge kilemba chako,+ na uvae viatu vyako.+ Hupaswi kufunika masharubu yako,*+ na usile mkate ulioletewa na watu wengine.”*+

18 Nami nikazungumza na watu asubuhi, na mke wangu akafa jioni. Basi asubuhi nikafanya kama nilivyoamriwa. 19 Watu walikuwa wakiniuliza: “Je, hutatuambia jinsi mambo haya unayofanya yanavyotuhusu?” 20 Nikawajibu: “Neno la Yehova limenijia likisema, 21 ‘Waambie watu wa nyumba ya Israeli, “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Niko karibu kupatia unajisi mahali pangu patakatifu,+ chanzo cha fahari yenu kubwa, kitu mnachokipenda sana na tamaa ya moyo wenu.* Wana na mabinti wenu mliowaacha watauawa kwa upanga.+ 22 Nanyi mtalazimika kufanya kama nilivyofanya. Hamtafunika masharubu yenu, nanyi hamtakula mkate mlioletewa na watu wengine.+ 23 Vilemba vyenu vitakuwa kwenye vichwa vyenu na viatu vyenu kwenye miguu yenu. Hamtaomboleza wala kulia. Badala yake mtaoza katika makosa yenu,+ na kila mmoja wenu atamlilia mwenzake kwa maumivu. 24 Ezekieli amekuwa ishara kwenu.+ Mtatenda kama alivyotenda. Jambo hilo litakapotukia, mtalazimika kujua kwamba mimi ndiye Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.’”’”

25 “Nawe, mwana wa binadamu, siku nitakapoondoa ngome yao kutoka kwao—kitu maridadi kinachowaletea shangwe, kitu wanachokipenda sana, tamaa ya moyo wao*—pamoja na wana wao na mabinti wao,+ 26 utajulishwa jambo hilo na yule aliyeponyoka.+ 27 Siku hiyo utafungua kinywa chako na kuzungumza na yule aliyeponyoka, nawe hutakuwa tena bubu.+ Utakuwa ishara kwao, nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.”

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki