Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 12
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Danieli—Yaliyomo

      • “Wakati wa mwisho” na baadaye (1-13)

        • Mikaeli atenda (1)

        • Wenye ufahamu watang’aa (3)

        • Kuenea kwa ujuzi wa kweli (4)

        • Danieli ataamka na kupokea fungu lake (13)

Danieli 12:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Ni Nani Aliye Kama Mungu?”

  • *

    Au “atainuka.”

  • *

    Tnn., “wana wa watu wako.”

Marejeo

  • +Da 10:13; Yud 9; Ufu 12:7, 8
  • +Da 10:21
  • +Isa 26:20; Yoe 2:31, 32; Mt 24:21, 22; Ufu 7:13, 14
  • +Mal 3:16; Lu 10:20; Ufu 3:5

Danieli 12:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “watakichunguza [yaani, kitabu hiki] kwa makini.”

Marejeo

  • +Da 8:17, 26; 12:9
  • +Isa 11:9

Danieli 12:5

Marejeo

  • +Da 10:4

Danieli 12:6

Marejeo

  • +Da 10:5, 6

Danieli 12:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, nyakati tatu na nusu.

Marejeo

  • +Da 4:34; Ufu 4:9; 10:6
  • +Da 8:24

Danieli 12:8

Marejeo

  • +Lu 18:34; Mdo 1:7; 1Pe 1:10, 11

Danieli 12:9

Marejeo

  • +Da 8:17, 26; 10:14; 12:4

Danieli 12:10

Marejeo

  • +Da 11:35
  • +Zb 111:10; Da 11:33; 12:3

Danieli 12:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kile kitu kinachotolewa kila siku.”

Marejeo

  • +Da 8:11
  • +Da 11:31; Mk 13:14

Danieli 12:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anayengojea kwa hamu kubwa.”

Danieli 12:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mahali pako ulipogawiwa.”

Marejeo

  • +Yoh 11:24; Mdo 17:31; 24:15; Ufu 20:12

Jumla

Dan. 12:1Da 10:13; Yud 9; Ufu 12:7, 8
Dan. 12:1Da 10:21
Dan. 12:1Isa 26:20; Yoe 2:31, 32; Mt 24:21, 22; Ufu 7:13, 14
Dan. 12:1Mal 3:16; Lu 10:20; Ufu 3:5
Dan. 12:4Da 8:17, 26; 12:9
Dan. 12:4Isa 11:9
Dan. 12:5Da 10:4
Dan. 12:6Da 10:5, 6
Dan. 12:7Da 4:34; Ufu 4:9; 10:6
Dan. 12:7Da 8:24
Dan. 12:8Lu 18:34; Mdo 1:7; 1Pe 1:10, 11
Dan. 12:9Da 8:17, 26; 10:14; 12:4
Dan. 12:10Da 11:35
Dan. 12:10Zb 111:10; Da 11:33; 12:3
Dan. 12:11Da 8:11
Dan. 12:11Da 11:31; Mk 13:14
Dan. 12:13Yoh 11:24; Mdo 17:31; 24:15; Ufu 20:12
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Danieli 12:1-13

Danieli

12 “Wakati huo Mikaeli*+ atasimama,* yule mkuu+ anayesimama kwa ajili ya watu wako.* Na kutakuwa na wakati wa taabu ambao haujawahi kamwe kutokea tangu kuanzishwa kwa taifa lolote mpaka wakati huo. Na wakati huo watu wako wataponyoka,+ kila mtu atakayepatikana ameandikwa katika kile kitabu.+ 2 Na wengi kati ya wale wanaolala usingizi katika mavumbi ya dunia wataamka, baadhi yao watapata uzima wa milele na wengine watapata shutuma na chuki ya milele.

3 “Na wale walio na ufahamu watang’aa sana kama anga la mbingu, na wale wanaowaleta wengi kwenye uadilifu watang’aa kama nyota, milele na milele.

4 “Lakini wewe, Danieli, yaweke siri maneno haya, na ukifunge kwa muhuri kitabu hiki mpaka wakati wa mwisho.+ Wengi watazunguka huku na huku,* na ujuzi wa kweli utakuwa mwingi.”+

5 Kisha mimi, Danieli, nikatazama na kuwaona wengine wawili wamesimama mahali hapo, mmoja kwenye ukingo huu wa kijito na yule mwingine kwenye ukingo wa pili wa kijito.+ 6 Kisha mmoja akamuuliza yule mwanamume aliyevaa mavazi ya kitani,+ aliyekuwa juu ya maji ya kijito: “Itachukua muda gani kufikia mwisho wa mambo haya ya kustaajabisha?” 7 Kisha nikamsikia yule mwanamume aliyevaa mavazi ya kitani, aliyekuwa juu ya maji ya kijito, alipokuwa akiinua mkono wake wa kulia na mkono wake wa kushoto kuelekea mbinguni na kuapa hivi kwa jina la Yule anayeishi milele:+ “Itakuwa ni kwa wakati uliowekwa, nyakati zilizowekwa, na nusu ya wakati.* Mara tu kuvunjwavunjwa kwa nguvu za watu watakatifu kutakapofikia mwisho,+ mambo haya yote yatafikia mwisho wake.”

8 Basi mimi, nilisikia, lakini sikuweza kuelewa;+ kwa hiyo nikauliza: “Ee bwana wangu, matokeo ya mambo haya yote yatakuwa nini?”

9 Akajibu: “Nenda, Danieli, kwa sababu maneno haya yanapaswa kuwekwa yakiwa siri na kutiwa muhuri mpaka wakati wa mwisho.+ 10 Wengi watajitakasa na kujifanya weupe nao watasafishwa.+ Na waovu watatenda uovu, na hakuna mwovu yeyote atakayeelewa; lakini wale walio na ufahamu wataelewa.+

11 “Na tangu wakati wa kuondolewa kwa ile dhabihu inayotolewa daima*+ na kusimamishwa kwa kile kitu kinachochukiza sana kinachosababisha ukiwa,+ kutakuwa na siku 1,290.

12 “Mwenye furaha ni yule anayeendelea kutarajia* na anayefika kwenye zile siku 1,335!

13 “Lakini wewe, endelea mpaka mwisho. Utapumzika, lakini utasimama kwa ajili ya fungu lako* mwishoni mwa zile siku.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki